Uchaguzi 2020 Japo ni mchungu 'Kumesa' lakini ndio ukweli wenyewe; watakaorudi Bungeni ni 'wa kijani', kubali kataa. Mwenye masikio na asikie!

Bunge la Chama kimoja halitakua na mawazo kinzani, matokeo yake hakuna kuhoji.. kitu ambacho ni hatari sana kwa mambo muhimu ya nchi.

Wapinzani msikatishwe tamaa, njooni mtaani kura tunazo. Wanaojitambua hawaishi ila watapungua. [emoji411]
 
Ok asante
 
P
Unatabiri usahihi wa matamshi na kusahau uhalisia
Tunajua sisi Watz ni matahira hivyo mantiki kwetu haipo tunategemea usaidizi wa wenye akili 'wa kijani' watuongoze huo si uhalisia
Uhalisia ni kuwa tunamantiki na tunaweza kuamua bila kushikwa mkono
System 2020haiwezi kuvunjwa na JPM atarudi lkn till 2025 'tutakuwa tumeupungu' mark my words
System inazeeka na kupitwa na wakati kwa kuwa wanaokabidhiwa wamekuwa too ambitous kuliko wazee wao
Nafurahi kukuona ukiwa sehemu yetu kwani unatamani baba yako aheshimike tena pia uache legacy njema tz na kwa familia yako
Ukijani utaendelea lkn umilele wa System haupo

Democracy hadharani haitoi mshindi halali isipokuwa democracy ya mficho ndiyo inayoamua mshindi

Nawashauri wapinzani wa kweli watafute hatua( maendeleo) na si madaraka, waufuate 'muelekeo sahihi' mambo yale matatu hata ukiwa nje ya mfumo wa utendaji wa organi ya bunge au serikali

Nimeamua kusema kwa kuwa leo umeichefua akili yangu kwa msomi kama wewe tena wa sheria kuhukumu MTU kwa circumstancial evidence na kusahau solidi and concrete evidence that cannot be fabricated or cajoled
 
Wamepanga kufanya zaidi ya goli la mkono. Wizi wa kura zaidi ya balaa na kufuru.
 
Mayalla hivi ndivyo jamii inavyokutazama. Shtuka unapoteza kuliko unavyofikiria.
 
Sasa we Pascal unatumia nini kufikiri.
Demokrasia hamna, watu walifumbwa midomo, hakuna mikutano, uchaguzi serikali za mitaa walipeana CCM, uchaguzi huu walichakachua kupitisha wapinzani, shetani nae aliapa hataki wapinzani, nae kashika mpini, tume mfu ya uchaguzi, ukanda wa magharibi vyote hivi huoni?
 
Mzee pascala Mayala anafuata Nyendo za Mtabiri Maarufu afrika mashariki na kati Marehemu Yahaya Husein.

UNAKAZI NGUMU SANA PASCAL MAYALA AKA YAHAYA HUSEIN.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…