Uchaguzi 2020 Japo ni mchungu 'Kumesa' lakini ndio ukweli wenyewe; watakaorudi Bungeni ni 'wa kijani', kubali kataa. Mwenye masikio na asikie!

Uchaguzi 2020 Japo ni mchungu 'Kumesa' lakini ndio ukweli wenyewe; watakaorudi Bungeni ni 'wa kijani', kubali kataa. Mwenye masikio na asikie!

Kama wewe ni muumini wa dini nadhani unajua malipo ni hapa hapa duniani hakunaga cha mbinguni acha wafanye uhuni wao wanaojua ila at the end wataumbuka IPO SIKU
 
Nimekuelewa sana Paskali namm naona hivyo ni bora zaidi kwani hatutakuwa na vijembe wala kusontana wote tutakuwa rangi moja ndani ya ukumbi wetu pendwa kwa maendeleo yetu sote. Ila nimekumbuka maneno ya mswahili wa kale akisema "ukitaka kujua umuhimu wa matako kalia kichwa".
 
Hakutakuwa na chama kimoja, wapinzani watakuwepo ila sio hao vibaraka wa wakoloni mambo leo, waende huko wakatumike vizuri zaidi lakini sio kwa kodi zetu.
Hakuna hata mtu mmoja hasa huku afrika anayeweza kumzuia mkoloni! wewe mwenye hicho kifaa unacho tumia ni cha huyo mkoloni hata tishu tu ya kuchambia ni ya mkoloni! hahaaah
 
Kwa heri konyagi aka ...faru dume. Tulikupenda lakini ukajidhalilisha Siku ya mwisho mjini Dodoma.
Utakumbukwa kwa kuleta taharuki na fujo, maandamano na vifo. Matusi na kejeri.
Tanzania itapumua sasa.
Tanzania ya hapa kazi tu , imezaliwa.
Kazi itakuwa ni kipimo cha utu.
Midomo ya matusi bye bye.
Utakuwa tajiri sana wakitoka

Ova
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali
Hamna kitu kipya unachotabiri hapo.


Mazingira ya usawa hayapo, democrasia shindani haipo. UNAONGEA NINI SASA? kweli Msyala ni NJAAA 🤩🤩
Paschal
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali


Piga ua garagaza na kuna maeneo Upinzani wataendelea kushinda hasa maeneo ya Kusini mwa Nchi na Zanzibar!
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali
Wakitumia haki bini ukweli kijani hata mtu mbili wasingerudi
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali
Ninakubaliana nawe 100% kwa sababu zifuatazo:
1. Kutokuwepo na Tume huru ya uchaguzi. Tume yote ni mali na makada wa kijani. Watahakikisha yeyote asiye na rangi hiyo hapati, na hata akipata hatangazwi kupata. Kijani atatangazwa badala ya rangi nyingine.
2. Sheria na Kanuni zote za maadili ya uchaguzi zilizopo kwa sasa zinawabeba kijani.
3. Katibu Mkuu wa Kijani alishatamka hadharani kuwa ni udhaifu kupoteza mchezo wakati una dola mkononi. Kwa hiyo dola itafanya kila linalowezekana kulinda ushindi wa Kijani.
4. Wapinzani kwa kutokana na haya (1, 2, na 3); "they at the mercy of the Electoral Commission and Kijani population". Kwa huruma wanaweza kupewa madiwani na wabunge "kiduchu" ili kuonyesha dunia kuwa kuna demokrasia.
Hongera kwa kuliona hili. Kwa mazigira haya upinzani "ulie tu".
 
Sisi wananchi tulio wengi, hatutaona Rais akikwamishwa na hao vibaraka wasoitakia mema nchi yetu, maendeleo yatapaa sana sababu Rais atakuwa na full support ya wananchi.
Umekosea. Uwingi wenu ni upi? Umepima kwa mizania gani? Mizania ya kweli ni uchaguzi huru na haki ndipo utasema nani wengi.
 
Mtapata nini kuwa na utawala wa chama kimoja?

Je kitaleta chakula mezani kwenu? au kitawalipa mshahara bila kufanya kazi?

Watu wote watapata ajira? au ndio hata zile za buku 7 zinaenda kukoma!

Ni mpumbavu tu atakayeshangilia kufa kwa upinzani maana hakuna faida kwa mtu yeyote zaidi ya hasara.

Hakuna ambaye hatoguswa kwa kufa kwa upinzani hata yeye uwenda siku moja akawa nje ya madaraka akaguswa tuendelee kuwepo.
Upinzani hautakufa utaendelea kuwepo ila hatutaki watu kama akina lissu, wakatumike vizuri na mabeberu wao.
 
mazingira ya kufanya siasa hayapo fair,hivyo kupitia hilo kijani watarudi na sijui Kama kutakuepo na kambi rasmi ya upinzani,kwa upande wangu naona haina afya sana,have a good moment kaka p mayalla.
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali
Mwaka huu. Ngoma droo yani ,nyie jidanganye ,kwatume hii nakuhakishia ngoma droo , sisi tuchague mwakilisha tunae mpenda alafu eti mkurugenz au mtendaji wa kata afanye yale anayojisikia ,kufanya ivyo ni kubet amani ya nchi
Binafsi naona hakuna uchaguzi mgum
kama huu,namanisha uchaguzi huu waweza kutuacha vipandevipande kama tume ya uchaguzi ikiweka pamba masikion na mwisho wanaweza ishia icc au Utuache kama taifa moja kama tume itachezesha
Fair kwa pande zote,
Wananchi watachagua kiongonzi wanae mtaka na si kuchaguliwa ,sasa ikifika kuchaguliwa basi tuombe mungu tu
 
Paskali ni kuwa umeamua kuanzisha uzi kuwa hiyo nia ya Magufuli kunajisi uchaguz, ili wanaccm tu ndio warejee bungeni ndio umeijua sasa? Mbona hilo alitamka wazi toka alipoingia madarakani, na amekuwa akitekeleza tokea kwenye chaguzi za marudio, na hata huu uchaguzi wa serikali za mitaa.m? Halafu ww ndiyo unasema hii ni ccm imara na inayokubalika! Kutoka kwenye haya madaraka yanayotumuka vibaya, humo ndiko kura za ccm zilipo.
Huwa nikikutana na thread ya Pascal Mayalla ,bila kujali ameianzisha yeye, au amechangia tu, huwa ni lazima niisome.
Lakini miaka ya hivi karibuni, amekuwa hatutendei haki sisi ambao tumekuwa tukijifunza kupitia maandishi yake. Kwa sasa, amekuwa haandiki ukweli unaojulikana kwa watu ambao hawajaweka itikadi mbele. Amekuwa sawa na Bia yetu ,Magonjwa Mtambuka na wale wafia CHADEMA!
 
Mtapata nini kuwa na utawala wa chama kimoja?

Je kitaleta chakula mezani kwenu? au kitawalipa mshahara bila kufanya kazi?

Watu wote watapata ajira? au ndio hata zile za buku 7 zinaenda kukoma!

Ni mpumbavu tu atakayeshangilia kufa kwa upinzani maana hakuna faida kwa mtu yeyote zaidi ya hasara.

Hakuna ambaye hatoguswa kwa kufa kwa upinzani hata yeye uwenda siku moja akawa nje ya madaraka akaguswa tuendelee kuwepo.
Sasa Kama Upinzani wenyewe ndio huu kwanini Upinzani usife...Ni Wapumbavu tu ndio watakaong'ng'ania Upinzani wakijinga huu uendelee nchini
 
Mtapata nini kuwa na utawala wa chama kimoja?

Je kitaleta chakula mezani kwenu? au kitawalipa mshahara bila kufanya kazi?

Watu wote watapata ajira? au ndio hata zile za buku 7 zinaenda kukoma!

Ni mpumbavu tu atakayeshangilia kufa kwa upinzani maana hakuna faida kwa mtu yeyote zaidi ya hasara.

Hakuna ambaye hatoguswa kwa kufa kwa upinzani hata yeye uwenda siku moja akawa nje ya madaraka akaguswa tuendelee kuwepo.
Toa hoja suala la atapata nini halina mashiko. Kwa sababu hata wakirudi wapinzani hakuna mtu ataletewa chakula mezani bila kufanya kazi.
Wapinzani wamekuwepo humo sisi tulipata nini bila kufanya kazi?
 
Narudia tena swali langu la kila siku! Kwa nini mtu akishakuwa ni CCM lazima awe na akili fupi? Kwani anaeamua ni mbunge yupi arudi bungeni na ni mbunge yupi asirudi bungeni ni Magufuli au ni wananchi?!
 
Back
Top Bottom