Japo ni Mwafrika mweusi siwezi kuwa zuzu wa kushangilia timu za Afrika huko Qatarl katika Kombe la Dunia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nitabakia kuwa timu Argentina, France na Germany pekee, na hakuna timu nisiyoipenda na ninayoiombea mabaya kama ya Brazil kutokana na jezi yao, na hasa baada ya GENTAMYCINE kugundua kuwa 99.9% ya mashabiki wa timu nisiyoipenda na ninayoichukia Tanzania ya Avic Town Magodoro Kunguni Tigo Pesa FC wanaishabikia Brazil kwakuwa rangi ya jezi zao zinafanana.
 
Hii ngo'mbe hii basi acha tu
 
Mi tangu zamani kwenye mpira hata taifa stars sishabikii, hata simba na yanga sijawahi
 
Tayari Mbuzi katafuna mkeka.
 
Argentina washapigwa
 
Mayele anajua kukubandua.Leo kakubandua mawili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…