Aisee kwani vipi? Mbona wanifatafata hivyo?
Aisee kwani vipi? Mbona wanifatafata hivyo? Hebu nitaje basi kama unanijua maana yaelekea kila mtu unadhani alivyo hapa ndivyo alivyo kwenye real life.....
Mh mwe jamani lol mimi naanza kupata mashaka kama wewe ni he kwani mh anyway pweeeeeeee sasa nikutaje kama nakujua imetokea wapi tena? kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi shost naona ukapumzike tu nadhan hujisikii vizuri leo
NN acha kuzozana nao hao!wapotezee mkubwa maisha yaendelee!
Tell him, u better tell himoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo haucam uzozane na kinadada? haya mambo ya usawa haya mwe sasa na ndume zinachonga midomo tena kwa kusutana live bado mtaanza kubeba mimba inaelekea usawa unaelekea kwema tutapumzishwa
Maty...minmi ni mdada na natafuta mume hapa. Uko available?
Maty...minmi ni mdada na natafuta mume hapa. Uko available?
Today 01:43 PM
Nyani Ngabu
JF Premium Member
This message has been deleted by PainKiller.
Today 01:43 PM
Nyamayao
JF Premium Member
This message has been deleted by PainKiller.
Today 01:44 PM
Nyamayao
JF Premium Member
This message has been deleted by PainKiller.
Today 01:45 PM
Nyani Ngabu
JF Premium Member
This message has been deleted by PainKiller.Today 01:51 PM
Nyani Ngabu
JF Premium Member
This message has been deleted by Invisible.
Today 01:56 PM
Dena Amsi
Senior Member
This message has been deleted by Invisible.
Today 01:58 PM
Nyani Ngabu
JF Premium Member
This message has been deleted by Invisible.
Hapa nimekosa uhondo sana! Poor me!
Only if you like keyboard crap!
Sasa naona unaanza kwenda vyema, unaongea kwa staha. Mi nilikuwa napendaga sana wewe ila leo ulitaka anza niboa lakini naona sasa naona umerudi katika hali yako ya kawaida
pole kaka....mweh, mwehh....watu wanajifanya wataalamu kumbe wanajidhalilisha tu.
Huyo alirudi kwa mke baada ya mambo kuharibika kwa hawara. Na mke kwa upendo kamrudishia 50% ya unyumba. Akitaka 100% ya unyumba, asubiri mkewe naye aachike huko kwa hawara. What goes around comes around, hakuna short cut. Kilichomfanya ajutie na kurudi kwa mkewe si upendo, ni circumstances. Na kilichompeleka mkewe huko aliko ni circumstances pia. Na ndizo zitakazomrudisha kwa mumewe, lakini bado hazijatokea. Huyo bwana alilikoroga, sasa analinywa. Mfumo wa maisha ulimwenguni haukutengenezwa kwa msingi wa huruma, ni kanuni tu, kila kosa lina adhabu yake, hapahapa!