#COVID19 Japo tumechelewa serikali ipige marufuku safari za mwisho wa mwaka kwa hali ilivyo sasa

#COVID19 Japo tumechelewa serikali ipige marufuku safari za mwisho wa mwaka kwa hali ilivyo sasa

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
IMG_20211218_160500.jpg

Mwisho wa mwaka kuna makabila yanapenda sana kumalizia kwao. Yani wanatoka mjini wanarudi walikozaliwa.
Kwa hali jinsi ilivyo vikohozi,kifua pamoja na mlipuko wa nne wa UVIKO-19 yan kirusi cha Omicron.

Kitendo cha watu kuingiliana kwa wingi huenda ikasababisha madhara hususa ni kwa wakaazi waishio vijijini wasio na mwingiliano mkubwa sana.

Serikali ipige marufuku tu waende hata kipindi kingine
 
View attachment 2048868
Mwisho wa mwaka kuna makabila yanapenda sana kumalizia kwao. Yani wanatoka mjini wanarudi walikozaliwa.
Kwa hali jinsi ilivyo vikohozi,kifua pamoja na mlipuko wa nne wa UVIKO-19 yan kirusi cha Omicron.

Kitendo cha watu kuingiliana kwa wingi huenda ikasababisha madhara hususa ni kwa wakaazi waishio vijijini wasio na mwingiliano mkubwa sana.

Serikali ipige marufuku tu waende hata kipindi kingine

Kuna hawa wahuni:

IMG_20211216_215554_004.jpg


Watakuelewa kweli?
 
View attachment 2048868
Mwisho wa mwaka kuna makabila yanapenda sana kumalizia kwao. Yani wanatoka mjini wanarudi walikozaliwa.
Kwa hali jinsi ilivyo vikohozi,kifua pamoja na mlipuko wa nne wa UVIKO-19 yan kirusi cha Omicron.

Kitendo cha watu kuingiliana kwa wingi huenda ikasababisha madhara hususa ni kwa wakaazi waishio vijijini wasio na mwingiliano mkubwa sana.

Serikali ipige marufuku tu waende hata kipindi kingine
Wazo lako ni zuri sana, lakini ngumu kulitelekeza, kikubwa kila mmoja achukue tahadhari japo inaweza kutokea majanga sana
 
Acha wivu na watu kusafiri wewe, kwani wewe kabila lenu mumenyimwa kusafiri?
Na kwa taarifa yako acha tuende tuka busti betri zijae Ili tukirudi tutafte hela vizuri zaidi
 
Acha wivu na watu kusafiri wewe, kwani wewe kabila lenu mumenyimwa kusafiri?
Na kwa taarifa yako acha tuende tuka busti betri zijae Ili tukirudi tutafte hela vizuri zaidi
Mjiandae kuzikana pia
 
Mleta mada huwezi kueleweka,ngoja waje wafuasi wa Kibwetere uone comment zao.
 
Wazo halitekelezeki, yaani hiyo haina tofauti na lockdown.
Ko serikali ikae Mbezi au Chalinze ianze kuchuja wasafiri? Au safari za mabasi zisitishwe? Ebu tuambie vizuri, wewe ungekuwa serikali hili ungelitekeleza vipi?
 
Wazo halitekelezeki, yaani hiyo haina tofauti na lockdown.
Ko serikali ikae Mbezi au Chalinze ianze kuchuja wasafiri? Au safari za mabasi zisitishwe? Ebu tuambie vizuri, wewe ungekuwa serikali hili ungelitekeleza vipi?
Serikali haishindwi kitu, unaamini?
 
Yani umzuie mtu kusafiri!

Labda serikali inayoongozwa na mwehu ndo itakusikiliza.
 
Wazo halitekelezeki, yaani hiyo haina tofauti na lockdown.
Ko serikali ikae Mbezi au Chalinze ianze kuchuja wasafiri? Au safari za mabasi zisitishwe? Ebu tuambie vizuri, wewe ungekuwa serikali hili ungelitekeleza vipi?
Ingekuwa kwa kiduku mbona hili swala lingekuwa jepesi
 
Acha wivu na watu kusafiri wewe, kwani wewe kabila lenu mumenyimwa kusafiri?
Na kwa taarifa yako acha tuende tuka busti betri zijae Ili tukirudi tutafte hela vizuri zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
one for the rubbish cans, nani kakwambia omnicron is a virulent strain? hizi fear porn zinawasaidia nn,,naona kuna mpuuzi mwenzio brazaj kaku-support hapo juu, na nilijua tu
 
Back
Top Bottom