Elimu yako na umri wako haviendani na unafki na kujipendekeza kwako. Tumia ulicho nacho kujitafutia riziki achana na uchawaWanabodi,
Kwa maslahi ya taifa, leo naomba kuendesha somo kuhusu kitu kinachoitwa ubatili na haramu.
Ubatili ni kitu ama kilichofanyika kinyume cha sheria, taratibu na kanuni hivyo jambo likifanyika kwa ubatili jambo hilo linakuwa ni batili.
Haramu ni jambo ambalo limefanyika kinyume cha imani na sio lazima iwe ni kinyume cha sheria.
Huu ubatili na uharamu unafanyika katika nyanja nyingi za maisha yetu, kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Sasa ili batili iwe ni batili kweli, lazima batili hiyo ibatilishwe, batili isipobatilishwa inakuwa ni halali!. Vivyo hivyo kwa haramu, ili jambo fulani kuwa ni haramu, lazima haramu hiyo iharimishwe, haramu isipoharimishwa inakuwa ni halali.
Mada kuu ya bandiko hili ni maswali kuhusu uchaguzi mkuu uliopita wa 2020, kuna watu mpaka leo zaidi ya miaka miwili imepita, bado hawataki kukunali matokeo, bado wanaamini uchaguzi ule haukua huru na wa haki hivyo kwao matokeo ya uchaguzi huo sio halali na wengine hata kuuita ulikuwa sio uchaguzi bali ni uchafuzi na matokeo yake ni haramu, hivyo kuendelea kususa hadi leo, hawayatambui matokeo, hawamtambui rais, hawalitambui Bunge hadi kususia nafasi za viti maalum!, hivyo nina viswali kidogo kwako, kuwa japo uchaguzi wa 2020 ni Uchaguzi halali, kwa kanuni ya "the end justifys the means", aliyetangazwa mshindi ndie mshindi halali, jee ushindi wa kishindo wa CCM wa kukomba kila kitu ni ushindi halali au batili na haramu?. Wapinzani ni wameshindwa kihalali kwa kukataliwa na wananchi au ni wameshindwa kwa kudhulumiwa na kufanyiwa Figisu hivyo kushindwa kwao sio halali ni wameshindishwa kwa ubatili na haramu?.
Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili baada ya kusoma hoja hii ya mwana jf huyu
Mkuu WALOLA VUNZYA kwanza naomba kukiri post yako hii imenimotivate kupandisha bandiko linalojitemea, thanks for motivation.
Ili jambo lolote haramu liwe ni haramu kweli ni lazima liharimishwe, ukifanya jambo la haramu, lisipo harimishwa linakuwa ni halali, yaani kitendo cha kutoiharimisha haramu yoyote, kunakuwa ni kuihalalisha hiyo haramu inakuwa halali mpaka pale yule YEYE anapoingilia kati kwa karma ama kuibatilisha haramu hiyo ama kuiacha na hivyo kuibariki.
Kwa vile issues zs uhalali na uharamu ni issues ngumu kueleweka kirahisi, naomba nifungie darasa kabisa niwapige shule kwa kutoa mifano ila pia kwa vile humu tuna simple readers na deep readers, simple readers hawataki vitu virefu, wanataka vitu short, simple and clear, hawa wanaweza kuishia hapa na ku jump kwenye conclusion, wale ma deep readers, tuendelee.
Conclusion
Vivyo hivyo kwa haramu ya demokrasia na ubakwaji wa demokrasia, ili haramu iwe ni haramu kweli lazima haramu hiyo iharimishwe, haramu isipoharimishwa, na batili isipo batilishwa inageuka halal!.
Swali la kujiuliza kuhusu uchaguzi wa 2020 jee kuna mgombea yoyote aliyelalamika rasmi popote kuhusu uchaguzi huo?. Jibu ni hakuna!. Hivyo kwasababu hakuna mtu yoyote aliyelalamika popote, then kumehalalisha kila kilichofanyika kwa kuitumia ile kanuni ya "the end justifies the means" kwa hoja hizo, na kwa muktadha huo, Uchaguzi wa 2020 ni uchaguzi halali, na sio uchafuzi kama unavyodaiwa na baadhi ya walioshindwa!, CCM imeshinda ushindi wa kishindo kihalali, na wapinzani wamekataliwa na wananchi na kushindwa kihalali!, the winner takes it all!, the looser standing small.
Paskali
Msameheni huyu mtu labda amefumaniwa na uzee na kuna vitu bado haviko mkao, hivyo ana tapatapaPaschall kumbuka kuuliza swali ambalo jibu unalo huo unakua ni zaidi ya ujuha au basi tukuulize na wewe kwakua ulikua sehemu ya uchaguzi (mugombea) mbinu alizotumia mwendazake zilikua halali? Kumbuka hata wewe bila kuponzwa na kile kiswali chako Leo ungekua bungeni kama Gwajima.
Kuna wakati njaa inakupofusha macho mkuuElimu yako na umri wako haviendani na unafki na kujipendekeza kwako. Tumia ulicho nacho kujitafutia riziki achana na uchawa
Vipi wewe kukosa nafasi bunge la Afrika Mashariki ilikuwa halali au mi zengwe?ebu tuweke sawa kwenye hili swala ..Mimi nimesimamia uchaguzi kiukweli sidhani Kama kweli uchaguzi ulikuwa unawizi mkubwa suala ni kwamba wapinzani hawakujitokeza kabisa kupiga kura so unawezaje kusema umeibiwa wakati wafuasi wenu hawakupiga kura...Kama nikuibiwa ni mwaka 2015....ntakubali lakini kwa uchaguzi wa 2020 hapana baada ya kushindwa kushawishi wananchi na kushindwa vibaya ndio wakaja na kigezo Cha ubatili wa uchaguzi...na hili ni kwa sababu mpaka viongozi wakubwa wa upinzani kushindwa vibaya so ili kuficha aibu ndio wakaja kudai ni kwamba wameibiwa...
Umeandika saana umefikiria kidogo ilitakiwa kuwa vice versa! Nahili nitatizo lenu wanasheria wasomi kilakitu mnakiweka kivitabu vyakizungu mlivyokaririshwa!! Sio kila mahali ni kotini ndugu Mayala...sasa Nikuulize haya ,Wanabodi,
Kwa maslahi ya taifa, leo naomba kuendesha somo kuhusu kitu kinachoitwa ubatili na haramu.
Ubatili ni kitu ama kilichofanyika kinyume cha sheria, taratibu na kanuni hivyo jambo likifanyika kwa ubatili jambo hilo linakuwa ni batili.
Haramu ni jambo ambalo limefanyika kinyume cha imani na sio lazima iwe ni kinyume cha sheria.
Huu ubatili na uharamu unafanyika katika nyanja nyingi za maisha yetu, kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Sasa ili batili iwe ni batili kweli, lazima batili hiyo ibatilishwe, batili isipobatilishwa inakuwa ni halali!. Vivyo hivyo kwa haramu, ili jambo fulani kuwa ni haramu, lazima haramu hiyo iharimishwe, haramu isipoharimishwa inakuwa ni halali.
Mada kuu ya bandiko hili ni maswali kuhusu uchaguzi mkuu uliopita wa 2020, kuna watu mpaka leo zaidi ya miaka miwili imepita, bado hawataki kukunali matokeo, bado wanaamini uchaguzi ule haukua huru na wa haki hivyo kwao matokeo ya uchaguzi huo sio halali na wengine hata kuuita ulikuwa sio uchaguzi bali ni uchafuzi na matokeo yake ni haramu, hivyo kuendelea kususa hadi leo, hawayatambui matokeo, hawamtambui rais, hawalitambui Bunge hadi kususia nafasi za viti maalum!, hivyo nina viswali kidogo kwako, kuwa japo uchaguzi wa 2020 ni Uchaguzi halali, kwa kanuni ya "the end justifys the means", aliyetangazwa mshindi ndie mshindi halali, jee ushindi wa kishindo wa CCM wa kukomba kila kitu ni ushindi halali au batili na haramu?. Wapinzani ni wameshindwa kihalali kwa kukataliwa na wananchi au ni wameshindwa kwa kudhulumiwa na kufanyiwa Figisu hivyo kushindwa kwao sio halali ni wameshindishwa kwa ubatili na haramu?.
Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili baada ya kusoma hoja hii ya mwana jf huyu
Mkuu WALOLA VUNZYA kwanza naomba kukiri post yako hii imenimotivate kupandisha bandiko linalojitemea, thanks for motivation.
Ili jambo lolote haramu liwe ni haramu kweli ni lazima liharimishwe, ukifanya jambo la haramu, lisipo harimishwa linakuwa ni halali, yaani kitendo cha kutoiharimisha haramu yoyote, kunakuwa ni kuihalalisha hiyo haramu inakuwa halali mpaka pale yule YEYE anapoingilia kati kwa karma ama kuibatilisha haramu hiyo ama kuiacha na hivyo kuibariki.
Kwa vile issues zs uhalali na uharamu ni issues ngumu kueleweka kirahisi, naomba nifungie darasa kabisa niwapige shule kwa kutoa mifano ila pia kwa vile humu tuna simple readers na deep readers, simple readers hawataki vitu virefu, wanataka vitu short, simple and clear, hawa wanaweza kuishia hapa na ku jump kwenye conclusion, wale ma deep readers, tuendelee.
Conclusion
Vivyo hivyo kwa haramu ya demokrasia na ubakwaji wa demokrasia, ili haramu iwe ni haramu kweli lazima haramu hiyo iharimishwe, haramu isipoharimishwa, na batili isipo batilishwa inageuka halal!.
Swali la kujiuliza kuhusu uchaguzi wa 2020 jee kuna mgombea yoyote aliyelalamika rasmi popote kuhusu uchaguzi huo?. Jibu ni hakuna!. Hivyo kwasababu hakuna mtu yoyote aliyelalamika popote, then kumehalalisha kila kilichofanyika kwa kuitumia ile kanuni ya "the end justifies the means" kwa hoja hizo, na kwa muktadha huo, Uchaguzi wa 2020 ni uchaguzi halali, na sio uchafuzi kama unavyodaiwa na baadhi ya walioshindwa!, CCM imeshinda ushindi wa kishindo kihalali, na wapinzani wamekataliwa na wananchi na kushindwa kihalali!, the winner takes it all!, the looser standing small.
Paskali
Acha uongo bora upige kimya sio wewe tuu ulosimamia uchaguzi alafu kuna sehemu na sehemu.ebu tuweke sawa kwenye hili swala ..Mimi nimesimamia uchaguzi kiukweli sidhani Kama kweli uchaguzi ulikuwa unawizi mkubwa suala ni kwamba wapinzani hawakujitokeza kabisa kupiga kura so unawezaje kusema umeibiwa wakati wafuasi wenu hawakupiga kura...Kama nikuibiwa ni mwaka 2015....ntakubali lakini kwa uchaguzi wa 2020 hapana baada ya kushindwa kushawishi wananchi na kushindwa vibaya ndio wakaja na kigezo Cha ubatili wa uchaguzi...na hili ni kwa sababu mpaka viongozi wakubwa wa upinzani kushindwa vibaya so ili kuficha aibu ndio wakaja kudai ni kwamba wameibiwa...
Acheni kujizima data nyinyi chawa was ccm! Unazungumzia mahakama zipi zinazotenda haki na ambazo hazifuati maagizo kutoka juu? Mnaishi huko Tanzania au Burundi?Washindi ni halali kwa sababu washindwa hawakwenda mahakamani
Yeye Mwenyewe Magufuli hadi anafariki alikuwa anashangaa kwa nini CHADEMA hawajenda Mahakamani. Hicho kitu hadi anakufa kitakuwa kilimtesa sana.Washindi ni halali kwa sababu washindwa hawakwenda mahakamani
Unampa mwanamke mimba kiharamu anazaa mtoto halali hata kama humlei ataendelea kuwa mtoto.Wanabodi,
Kwa maslahi ya taifa, leo naomba kuendesha somo kuhusu kitu kinachoitwa ubatili na haramu.
Ubatili ni kitu ama kilichofanyika kinyume cha sheria, taratibu na kanuni hivyo jambo likifanyika kwa ubatili jambo hilo linakuwa ni batili.
Haramu ni jambo ambalo limefanyika kinyume cha imani na sio lazima iwe ni kinyume cha sheria.
Huu ubatili na uharamu unafanyika katika nyanja nyingi za maisha yetu, kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Sasa ili batili iwe ni batili kweli, lazima batili hiyo ibatilishwe, batili isipobatilishwa inakuwa ni halali!. Vivyo hivyo kwa haramu, ili jambo fulani kuwa ni haramu, lazima haramu hiyo iharimishwe, haramu isipoharimishwa inakuwa ni halali.
Mada kuu ya bandiko hili ni maswali kuhusu uchaguzi mkuu uliopita wa 2020, kuna watu mpaka leo zaidi ya miaka miwili imepita, bado hawataki kukunali matokeo, bado wanaamini uchaguzi ule haukua huru na wa haki hivyo kwao matokeo ya uchaguzi huo sio halali na wengine hata kuuita ulikuwa sio uchaguzi bali ni uchafuzi na matokeo yake ni haramu, hivyo kuendelea kususa hadi leo, hawayatambui matokeo, hawamtambui rais, hawalitambui Bunge hadi kususia nafasi za viti maalum!, hivyo nina viswali kidogo kwako, kuwa japo uchaguzi wa 2020 ni Uchaguzi halali, kwa kanuni ya "the end justifys the means", aliyetangazwa mshindi ndie mshindi halali, jee ushindi wa kishindo wa CCM wa kukomba kila kitu ni ushindi halali au batili na haramu?. Wapinzani ni wameshindwa kihalali kwa kukataliwa na wananchi au ni wameshindwa kwa kudhulumiwa na kufanyiwa Figisu hivyo kushindwa kwao sio halali ni wameshindishwa kwa ubatili na haramu?.
Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili baada ya kusoma hoja hii ya mwana jf huyu
Mkuu WALOLA VUNZYA kwanza naomba kukiri post yako hii imenimotivate kupandisha bandiko linalojitemea, thanks for motivation.
Ili jambo lolote haramu liwe ni haramu kweli ni lazima liharimishwe, ukifanya jambo la haramu, lisipo harimishwa linakuwa ni halali, yaani kitendo cha kutoiharimisha haramu yoyote, kunakuwa ni kuihalalisha hiyo haramu inakuwa halali mpaka pale yule YEYE anapoingilia kati kwa karma ama kuibatilisha haramu hiyo ama kuiacha na hivyo kuibariki.
Kwa vile issues zs uhalali na uharamu ni issues ngumu kueleweka kirahisi, naomba nifungie darasa kabisa niwapige shule kwa kutoa mifano ila pia kwa vile humu tuna simple readers na deep readers, simple readers hawataki vitu virefu, wanataka vitu short, simple and clear, hawa wanaweza kuishia hapa na ku jump kwenye conclusion, wale ma deep readers, tuendelee.
Conclusion
Vivyo hivyo kwa haramu ya demokrasia na ubakwaji wa demokrasia, ili haramu iwe ni haramu kweli lazima haramu hiyo iharimishwe, haramu isipoharimishwa, na batili isipo batilishwa inageuka halal!.
Swali la kujiuliza kuhusu uchaguzi wa 2020 jee kuna mgombea yoyote aliyelalamika rasmi popote kuhusu uchaguzi huo?. Jibu ni hakuna!. Hivyo kwasababu hakuna mtu yoyote aliyelalamika popote, then kumehalalisha kila kilichofanyika kwa kuitumia ile kanuni ya "the end justifies the means" kwa hoja hizo, na kwa muktadha huo, Uchaguzi wa 2020 ni uchaguzi halali, na sio uchafuzi kama unavyodaiwa na baadhi ya walioshindwa!, CCM imeshinda ushindi wa kishindo kihalali, na wapinzani wamekataliwa na wananchi na kushindwa kihalali!, the winner takes it all!, the looser standing small.
Paskali
π€£π€£π€£π π ππhuyu jamaa huwa nashangaa hata baadh ya members humu jf kumshobokea wakat ni empty kabisa.
Mahakama ipi inapokea pingamizi juu ya matokeo ya URAIS?Yeye Mwenyewe Magufuli hadi anafariki alikuwa anashangaa kwa nini CHADEMA hawajenda Mahakamani. Hicho kitu hadi anakufa kitakuwa kilimtesa sana.
Na hadi sasa ndiyo uchaguzi mkuu pekee nchini ambao hakuna mgombea ambaye alienda mahakani kupinga ushindi wa aidha ubunge au hata udiwani
Mjumbe ni bora ule matapish yako kuiko kula ya wenziyo. Kenya kuna tumehuru, inatangazwa regions mnaomba, mnahojiwa hazarani, wanatoa marks. Ni sawa na Jaji Warioba na Jaji Kisanga na Askofu Pengo, waombe kazi na kuhojiwa na matusi ya Mr Tundu. Kenya wanayo, kina Wafula Chapukati na Gloria Sesere walipiga kura watu wa Raila wakashinda 4-3 lakini wakakosa urais. Ninachotaka Mjumbe ni kuwa Tume ya Uchaguzi inafaa sana, na Katiba yetu inajitosheleza.Mahakama ipi inapokea pingamizi juu ya matokeo ya URAIS?
Hiyo ndo moja ya sababu kuu ya kuidai KATIBA mpya.
Nawe ni mmoja wa wahitimu wa Kidato Cha nne ambao matokeo ni ya kuhuzunisha?Mjumbe ni bora ule matapish yako kuiko kula ya wenziyo. Kenya kuna tumehuru, inatangazwa regions mnaomba, mnahojiwa hazarani, wanatoa marks. Ni sawa na Jaji Warioba na Jaji Kisanga na Askofu Pengo, waombe kazi na kuhojiwa na matusi ya Mr Tundu. Kenya wanayo, kina Wafula Chapukati na Gloria Sesere walipiga kura watu wa Raila wakashinda 4-3 lakini wakakosa urais. Ninachotaka Mjumbe ni kuwa Tume ya Uchaguzi inafaa sana, na Katiba yetu inajitosheleza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawe ni mmoja wa wahitimu wa Kidato Cha nne ambao matokeo ni ya kuhuzunisha?