Japo Uchaguzi wa 2020 ni Uchaguzi halali, Ushindi wa Kishindo wa CCM ni halali? Wapinzani ni Wameshindwa Kihalali au Wamedhulumiwa kwa Figisu?

Japo Uchaguzi wa 2020 ni Uchaguzi halali, Ushindi wa Kishindo wa CCM ni halali? Wapinzani ni Wameshindwa Kihalali au Wamedhulumiwa kwa Figisu?

Kwani Paschal BADO HUJA LAMBA TEUZI TU??
hadi majaliwa kaingia Bungeni, kutoka Ziwani.....

Ama kweli Maisha hayana Fomula
 
Wanabodi,
Kwa maslahi ya taifa, leo naomba kuendesha somo kuhusu kitu kinachoitwa ubatili na haramu.

Ubatili ni kitu ama kilichofanyika kinyume cha sheria, taratibu na kanuni hivyo jambo likifanyika kwa ubatili jambo hilo linakuwa ni batili.

Haramu ni jambo ambalo limefanyika kinyume cha imani na sio lazima iwe ni kinyume cha sheria.

Huu ubatili na uharamu unafanyika katika nyanja nyingi za maisha yetu, kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Sasa ili batili iwe ni batili kweli, lazima batili hiyo ibatilishwe, batili isipobatilishwa inakuwa ni halali!. Vivyo hivyo kwa haramu, ili jambo fulani kuwa ni haramu, lazima haramu hiyo iharimishwe, haramu isipoharimishwa inakuwa ni halali.

Mada kuu ya bandiko hili ni maswali kuhusu uchaguzi mkuu uliopita wa 2020, kuna watu mpaka leo zaidi ya miaka miwili imepita, bado hawataki kukunali matokeo, bado wanaamini uchaguzi ule haukua huru na wa haki hivyo kwao matokeo ya uchaguzi huo sio halali na wengine hata kuuita ulikuwa sio uchaguzi bali ni uchafuzi na matokeo yake ni haramu, hivyo kuendelea kususa hadi leo, hawayatambui matokeo, hawamtambui rais, hawalitambui Bunge hadi kususia nafasi za viti maalum!, hivyo nina viswali kidogo kwako, kuwa japo uchaguzi wa 2020 ni Uchaguzi halali, kwa kanuni ya "the end justifys the means", aliyetangazwa mshindi ndie mshindi halali, jee ushindi wa kishindo wa CCM wa kukomba kila kitu ni ushindi halali au batili na haramu?. Wapinzani ni wameshindwa kihalali kwa kukataliwa na wananchi au ni wameshindwa kwa kudhulumiwa na kufanyiwa Figisu hivyo kushindwa kwao sio halali ni wameshindishwa kwa ubatili na haramu?.

Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili baada ya kusoma hoja hii ya mwana jf huyu

Mkuu WALOLA VUNZYA kwanza naomba kukiri post yako hii imenimotivate kupandisha bandiko linalojitemea, thanks for motivation.

Ili jambo lolote haramu liwe ni haramu kweli ni lazima liharimishwe, ukifanya jambo la haramu, lisipo harimishwa linakuwa ni halali, yaani kitendo cha kutoiharimisha haramu yoyote, kunakuwa ni kuihalalisha hiyo haramu inakuwa halali mpaka pale yule YEYE anapoingilia kati kwa karma ama kuibatilisha haramu hiyo ama kuiacha na hivyo kuibariki.

Kwa vile issues zs uhalali na uharamu ni issues ngumu kueleweka kirahisi, naomba nifungie darasa kabisa niwapige shule kwa kutoa mifano ila pia kwa vile humu tuna simple readers na deep readers, simple readers hawataki vitu virefu, wanataka vitu short, simple and clear, hawa wanaweza kuishia hapa na ku jump kwenye conclusion, wale ma deep readers, tuendelee.

Conclusion
Vivyo hivyo kwa haramu ya demokrasia na ubakwaji wa demokrasia, ili haramu iwe ni haramu kweli lazima haramu hiyo iharimishwe, haramu isipoharimishwa, na batili isipo batilishwa inageuka halal!.

Swali la kujiuliza kuhusu uchaguzi wa 2020 jee kuna mgombea yoyote aliyelalamika rasmi popote kuhusu uchaguzi huo?. Jibu ni hakuna!. Hivyo kwasababu hakuna mtu yoyote aliyelalamika popote, then kumehalalisha kila kilichofanyika kwa kuitumia ile kanuni ya "the end justifies the means" kwa hoja hizo, na kwa muktadha huo, Uchaguzi wa 2020 ni uchaguzi halali, na sio uchafuzi kama unavyodaiwa na baadhi ya walioshindwa!, CCM imeshinda ushindi wa kishindo kihalali, na wapinzani wamekataliwa na wananchi na kushindwa kihalali!, the winner takes it all!, the looser standing small.

Paskali
Elimu yako na umri wako haviendani na unafki na kujipendekeza kwako. Tumia ulicho nacho kujitafutia riziki achana na uchawa
 
CDM wasirudie kosa like lile, Wanashiriki uchaguzi wakijua fika matokeo ya Urais hayahojiwi mahakamani,

Baada ya matokeo wanakataa kumtambua Rais wakati wameshiriki uchaguzi ambao hautoi fursa ya matokeo ya Urais kuhojiwa mahakamani.

Pia nimemsikia Mbowe akimwita Sa100 Mh Rais wakati chama hakitambui matokeo na Rais aliyetokana na matokeo hayo.

Wangemtambua Rais, Leo wangekuwa na Ruzuku, na hao COVID wangeshatimuliwa.

Time hii naona CDM wamestuka, viongozi wanasema hawatoshiriki uchaguzi kabla ya kupatikana KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.

Bt, CDM imechangia sana kutuchelewesha kufika TAHRIL square.
 
Paschall kumbuka kuuliza swali ambalo jibu unalo huo unakua ni zaidi ya ujuha au basi tukuulize na wewe kwakua ulikua sehemu ya uchaguzi (mugombea) mbinu alizotumia mwendazake zilikua halali? Kumbuka hata wewe bila kuponzwa na kile kiswali chako Leo ungekua bungeni kama Gwajima.
Msameheni huyu mtu labda amefumaniwa na uzee na kuna vitu bado haviko mkao, hivyo ana tapatapa
 
ebu tuweke sawa kwenye hili swala ..Mimi nimesimamia uchaguzi kiukweli sidhani Kama kweli uchaguzi ulikuwa unawizi mkubwa suala ni kwamba wapinzani hawakujitokeza kabisa kupiga kura so unawezaje kusema umeibiwa wakati wafuasi wenu hawakupiga kura...Kama nikuibiwa ni mwaka 2015....ntakubali lakini kwa uchaguzi wa 2020 hapana baada ya kushindwa kushawishi wananchi na kushindwa vibaya ndio wakaja na kigezo Cha ubatili wa uchaguzi...na hili ni kwa sababu mpaka viongozi wakubwa wa upinzani kushindwa vibaya so ili kuficha aibu ndio wakaja kudai ni kwamba wameibiwa...
 
ebu tuweke sawa kwenye hili swala ..Mimi nimesimamia uchaguzi kiukweli sidhani Kama kweli uchaguzi ulikuwa unawizi mkubwa suala ni kwamba wapinzani hawakujitokeza kabisa kupiga kura so unawezaje kusema umeibiwa wakati wafuasi wenu hawakupiga kura...Kama nikuibiwa ni mwaka 2015....ntakubali lakini kwa uchaguzi wa 2020 hapana baada ya kushindwa kushawishi wananchi na kushindwa vibaya ndio wakaja na kigezo Cha ubatili wa uchaguzi...na hili ni kwa sababu mpaka viongozi wakubwa wa upinzani kushindwa vibaya so ili kuficha aibu ndio wakaja kudai ni kwamba wameibiwa...
Vipi wewe kukosa nafasi bunge la Afrika Mashariki ilikuwa halali au mi zengwe?
 
Wanabodi,
Kwa maslahi ya taifa, leo naomba kuendesha somo kuhusu kitu kinachoitwa ubatili na haramu.

Ubatili ni kitu ama kilichofanyika kinyume cha sheria, taratibu na kanuni hivyo jambo likifanyika kwa ubatili jambo hilo linakuwa ni batili.

Haramu ni jambo ambalo limefanyika kinyume cha imani na sio lazima iwe ni kinyume cha sheria.

Huu ubatili na uharamu unafanyika katika nyanja nyingi za maisha yetu, kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Sasa ili batili iwe ni batili kweli, lazima batili hiyo ibatilishwe, batili isipobatilishwa inakuwa ni halali!. Vivyo hivyo kwa haramu, ili jambo fulani kuwa ni haramu, lazima haramu hiyo iharimishwe, haramu isipoharimishwa inakuwa ni halali.

Mada kuu ya bandiko hili ni maswali kuhusu uchaguzi mkuu uliopita wa 2020, kuna watu mpaka leo zaidi ya miaka miwili imepita, bado hawataki kukunali matokeo, bado wanaamini uchaguzi ule haukua huru na wa haki hivyo kwao matokeo ya uchaguzi huo sio halali na wengine hata kuuita ulikuwa sio uchaguzi bali ni uchafuzi na matokeo yake ni haramu, hivyo kuendelea kususa hadi leo, hawayatambui matokeo, hawamtambui rais, hawalitambui Bunge hadi kususia nafasi za viti maalum!, hivyo nina viswali kidogo kwako, kuwa japo uchaguzi wa 2020 ni Uchaguzi halali, kwa kanuni ya "the end justifys the means", aliyetangazwa mshindi ndie mshindi halali, jee ushindi wa kishindo wa CCM wa kukomba kila kitu ni ushindi halali au batili na haramu?. Wapinzani ni wameshindwa kihalali kwa kukataliwa na wananchi au ni wameshindwa kwa kudhulumiwa na kufanyiwa Figisu hivyo kushindwa kwao sio halali ni wameshindishwa kwa ubatili na haramu?.

Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili baada ya kusoma hoja hii ya mwana jf huyu

Mkuu WALOLA VUNZYA kwanza naomba kukiri post yako hii imenimotivate kupandisha bandiko linalojitemea, thanks for motivation.

Ili jambo lolote haramu liwe ni haramu kweli ni lazima liharimishwe, ukifanya jambo la haramu, lisipo harimishwa linakuwa ni halali, yaani kitendo cha kutoiharimisha haramu yoyote, kunakuwa ni kuihalalisha hiyo haramu inakuwa halali mpaka pale yule YEYE anapoingilia kati kwa karma ama kuibatilisha haramu hiyo ama kuiacha na hivyo kuibariki.

Kwa vile issues zs uhalali na uharamu ni issues ngumu kueleweka kirahisi, naomba nifungie darasa kabisa niwapige shule kwa kutoa mifano ila pia kwa vile humu tuna simple readers na deep readers, simple readers hawataki vitu virefu, wanataka vitu short, simple and clear, hawa wanaweza kuishia hapa na ku jump kwenye conclusion, wale ma deep readers, tuendelee.

Conclusion
Vivyo hivyo kwa haramu ya demokrasia na ubakwaji wa demokrasia, ili haramu iwe ni haramu kweli lazima haramu hiyo iharimishwe, haramu isipoharimishwa, na batili isipo batilishwa inageuka halal!.

Swali la kujiuliza kuhusu uchaguzi wa 2020 jee kuna mgombea yoyote aliyelalamika rasmi popote kuhusu uchaguzi huo?. Jibu ni hakuna!. Hivyo kwasababu hakuna mtu yoyote aliyelalamika popote, then kumehalalisha kila kilichofanyika kwa kuitumia ile kanuni ya "the end justifies the means" kwa hoja hizo, na kwa muktadha huo, Uchaguzi wa 2020 ni uchaguzi halali, na sio uchafuzi kama unavyodaiwa na baadhi ya walioshindwa!, CCM imeshinda ushindi wa kishindo kihalali, na wapinzani wamekataliwa na wananchi na kushindwa kihalali!, the winner takes it all!, the looser standing small.

Paskali
Umeandika saana umefikiria kidogo ilitakiwa kuwa vice versa! Nahili nitatizo lenu wanasheria wasomi kilakitu mnakiweka kivitabu vyakizungu mlivyokaririshwa!! Sio kila mahali ni kotini ndugu Mayala...sasa Nikuulize haya ,
*Mbakaji asiposhtakiwa anakuwa hajafanya haramu/tendo batili? Mwizi je?
*Wakoloni wengine hatujawashtaki kwahiyo hawakufanya ubatili na haramu?
*waislamu husema nguruwe ni haramu na batili wewe unawapinga?
Nionavyo mimi
Haramu ni batili na nimambo yoote yaliyofanyika kinyume cha dini/imani,sheria maadili na miiko ya jamii fulani iliyostaarabika.
 
ebu tuweke sawa kwenye hili swala ..Mimi nimesimamia uchaguzi kiukweli sidhani Kama kweli uchaguzi ulikuwa unawizi mkubwa suala ni kwamba wapinzani hawakujitokeza kabisa kupiga kura so unawezaje kusema umeibiwa wakati wafuasi wenu hawakupiga kura...Kama nikuibiwa ni mwaka 2015....ntakubali lakini kwa uchaguzi wa 2020 hapana baada ya kushindwa kushawishi wananchi na kushindwa vibaya ndio wakaja na kigezo Cha ubatili wa uchaguzi...na hili ni kwa sababu mpaka viongozi wakubwa wa upinzani kushindwa vibaya so ili kuficha aibu ndio wakaja kudai ni kwamba wameibiwa...
Acha uongo bora upige kimya sio wewe tuu ulosimamia uchaguzi alafu kuna sehemu na sehemu.
Bila tafiti hunahaki kutoa hitimisho!! Kiufupi hakuna maana kufanya uchaguzi wakidemokrasia kihuni hiyo ni wastage of ETM (Efforts,Time & Money) bora turudie chama kimoja
 
Washindi ni halali kwa sababu washindwa hawakwenda mahakamani
Acheni kujizima data nyinyi chawa was ccm! Unazungumzia mahakama zipi zinazotenda haki na ambazo hazifuati maagizo kutoka juu? Mnaishi huko Tanzania au Burundi?
Hao walodhulumiwa ushindi wao pamoja na wananchi walitumia agizo la Mungu kwani busara pekee ilikuwa kumshtakia Mungu ili apime na kuamua kwa haki. Na Mungu kawapa wadhulumiwa haki yao kwani Kila uchao anawachanganya vichwa ccm kiasi kwamba wananyukana wao kwa wao! Na wengine kawatwaa na kuwanyqng'anya madaraka yao! Mungu atawalipia tu wazidishe maombi!
 
Washindi ni halali kwa sababu washindwa hawakwenda mahakamani
Yeye Mwenyewe Magufuli hadi anafariki alikuwa anashangaa kwa nini CHADEMA hawajenda Mahakamani. Hicho kitu hadi anakufa kitakuwa kilimtesa sana.

Na hadi sasa ndiyo uchaguzi mkuu pekee nchini ambao hakuna mgombea ambaye alienda mahakamani kupinga ushindi wa aidha ubunge au hata udiwani
 
Wanabodi,
Kwa maslahi ya taifa, leo naomba kuendesha somo kuhusu kitu kinachoitwa ubatili na haramu.

Ubatili ni kitu ama kilichofanyika kinyume cha sheria, taratibu na kanuni hivyo jambo likifanyika kwa ubatili jambo hilo linakuwa ni batili.

Haramu ni jambo ambalo limefanyika kinyume cha imani na sio lazima iwe ni kinyume cha sheria.

Huu ubatili na uharamu unafanyika katika nyanja nyingi za maisha yetu, kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Sasa ili batili iwe ni batili kweli, lazima batili hiyo ibatilishwe, batili isipobatilishwa inakuwa ni halali!. Vivyo hivyo kwa haramu, ili jambo fulani kuwa ni haramu, lazima haramu hiyo iharimishwe, haramu isipoharimishwa inakuwa ni halali.

Mada kuu ya bandiko hili ni maswali kuhusu uchaguzi mkuu uliopita wa 2020, kuna watu mpaka leo zaidi ya miaka miwili imepita, bado hawataki kukunali matokeo, bado wanaamini uchaguzi ule haukua huru na wa haki hivyo kwao matokeo ya uchaguzi huo sio halali na wengine hata kuuita ulikuwa sio uchaguzi bali ni uchafuzi na matokeo yake ni haramu, hivyo kuendelea kususa hadi leo, hawayatambui matokeo, hawamtambui rais, hawalitambui Bunge hadi kususia nafasi za viti maalum!, hivyo nina viswali kidogo kwako, kuwa japo uchaguzi wa 2020 ni Uchaguzi halali, kwa kanuni ya "the end justifys the means", aliyetangazwa mshindi ndie mshindi halali, jee ushindi wa kishindo wa CCM wa kukomba kila kitu ni ushindi halali au batili na haramu?. Wapinzani ni wameshindwa kihalali kwa kukataliwa na wananchi au ni wameshindwa kwa kudhulumiwa na kufanyiwa Figisu hivyo kushindwa kwao sio halali ni wameshindishwa kwa ubatili na haramu?.

Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili baada ya kusoma hoja hii ya mwana jf huyu

Mkuu WALOLA VUNZYA kwanza naomba kukiri post yako hii imenimotivate kupandisha bandiko linalojitemea, thanks for motivation.

Ili jambo lolote haramu liwe ni haramu kweli ni lazima liharimishwe, ukifanya jambo la haramu, lisipo harimishwa linakuwa ni halali, yaani kitendo cha kutoiharimisha haramu yoyote, kunakuwa ni kuihalalisha hiyo haramu inakuwa halali mpaka pale yule YEYE anapoingilia kati kwa karma ama kuibatilisha haramu hiyo ama kuiacha na hivyo kuibariki.

Kwa vile issues zs uhalali na uharamu ni issues ngumu kueleweka kirahisi, naomba nifungie darasa kabisa niwapige shule kwa kutoa mifano ila pia kwa vile humu tuna simple readers na deep readers, simple readers hawataki vitu virefu, wanataka vitu short, simple and clear, hawa wanaweza kuishia hapa na ku jump kwenye conclusion, wale ma deep readers, tuendelee.

Conclusion
Vivyo hivyo kwa haramu ya demokrasia na ubakwaji wa demokrasia, ili haramu iwe ni haramu kweli lazima haramu hiyo iharimishwe, haramu isipoharimishwa, na batili isipo batilishwa inageuka halal!.

Swali la kujiuliza kuhusu uchaguzi wa 2020 jee kuna mgombea yoyote aliyelalamika rasmi popote kuhusu uchaguzi huo?. Jibu ni hakuna!. Hivyo kwasababu hakuna mtu yoyote aliyelalamika popote, then kumehalalisha kila kilichofanyika kwa kuitumia ile kanuni ya "the end justifies the means" kwa hoja hizo, na kwa muktadha huo, Uchaguzi wa 2020 ni uchaguzi halali, na sio uchafuzi kama unavyodaiwa na baadhi ya walioshindwa!, CCM imeshinda ushindi wa kishindo kihalali, na wapinzani wamekataliwa na wananchi na kushindwa kihalali!, the winner takes it all!, the looser standing small.

Paskali
Unampa mwanamke mimba kiharamu anazaa mtoto halali hata kama humlei ataendelea kuwa mtoto.
 
Yeye Mwenyewe Magufuli hadi anafariki alikuwa anashangaa kwa nini CHADEMA hawajenda Mahakamani. Hicho kitu hadi anakufa kitakuwa kilimtesa sana.

Na hadi sasa ndiyo uchaguzi mkuu pekee nchini ambao hakuna mgombea ambaye alienda mahakani kupinga ushindi wa aidha ubunge au hata udiwani
Mahakama ipi inapokea pingamizi juu ya matokeo ya URAIS?

Hiyo ndo moja ya sababu kuu ya kuidai KATIBA mpya.
 
Mahakama ipi inapokea pingamizi juu ya matokeo ya URAIS?

Hiyo ndo moja ya sababu kuu ya kuidai KATIBA mpya.
Mjumbe ni bora ule matapish yako kuiko kula ya wenziyo. Kenya kuna tumehuru, inatangazwa regions mnaomba, mnahojiwa hazarani, wanatoa marks. Ni sawa na Jaji Warioba na Jaji Kisanga na Askofu Pengo, waombe kazi na kuhojiwa na matusi ya Mr Tundu. Kenya wanayo, kina Wafula Chapukati na Gloria Sesere walipiga kura watu wa Raila wakashinda 4-3 lakini wakakosa urais. Ninachotaka Mjumbe ni kuwa Tume ya Uchaguzi inafaa sana, na Katiba yetu inajitosheleza.
 
Mjumbe ni bora ule matapish yako kuiko kula ya wenziyo. Kenya kuna tumehuru, inatangazwa regions mnaomba, mnahojiwa hazarani, wanatoa marks. Ni sawa na Jaji Warioba na Jaji Kisanga na Askofu Pengo, waombe kazi na kuhojiwa na matusi ya Mr Tundu. Kenya wanayo, kina Wafula Chapukati na Gloria Sesere walipiga kura watu wa Raila wakashinda 4-3 lakini wakakosa urais. Ninachotaka Mjumbe ni kuwa Tume ya Uchaguzi inafaa sana, na Katiba yetu inajitosheleza.
Nawe ni mmoja wa wahitimu wa Kidato Cha nne ambao matokeo ni ya kuhuzunisha?
 
Back
Top Bottom