Japo wako kimya, Mkapa na Kikwete wanaridhika na hoja ya kutaka kumuongezea muda Magufuli?

Kama JPM akiendelea kuna uwezekano JK nae akaja kungombea tena
Umri utakuwa ushamtupa,vipi Kama aliyepo akaenda Hadi 2040, madaraka ni matamu kwa mwafrika ni ngumu Sana kuachia thus unaona Africa inawaka Moto kila sehemu kugombea kunufaika na Kodi za wananchi.Maana Hakuna biashara yenye ubilionea Mkubwa Kama uraisi
 
Ni wanufaika labda tu Kama wangekuwa hawanufaiki wangeshaungana na wananchi.Kila mmoja hapo ana maslai wengine watoto wao ni wabunge,maDC,mawaziri, mwingine mwanae anapigiwa chapuo kurithi Zanzibar.Wakifunua mdomo means ni kuhatarisha vitumbua vya watoto zao.
Waamuzi wa mwisho ni wananchi.
 
Umeshakuwa lumumba buku saba
 
Mkwere hawezi kuacha kumpigia chapuo yule niguse ninuke Memba tunaambiwa ni dugu yake baba moya mama moya , dugu wa damu nae Mkaa hapa anafagilia kiroho Mkulu aongezwe muda sababu za kidini na kiseminari! bongo raia akili kubwa!
Mbona JPM sio mseminari
 
Kuna mtoto wa Mkapa anayefaidika na hii mifumo ya kiupendeleo ?
 
Najiuliza tu.

Kama Nyerere angetaka kuendelea mwaka 1985.

Kama Mwinyi angetaka kuendelea mwaka 1995.

Kama Mkapa angetaka kuendelea mwaka 2005.

Kama Kikwete angetaka kuendelea mwaka mwaka 2015.

Je ramani ya Tanzania kisiasa ingekuwaje leo?
 
Uko sahihi P
 
Umeongea vizuri haya huwa yanasemwa sana
 
Wanataka aendelee kwa sababu ni katika kipindi cha Magufuli ndio wana uhakika wa kuendelea kula, kinyume na huyo watahangaika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…