Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Quran 37:202
إِنِّىٓ أَرَىٰ فِى ٱلۡمَنَامِ أَنِّىٓ أَذۡبَحُكَ فَٱنظُرۡ مَاذَا تَرَىٰۚ

nipe tarjama ya hiyo aya
 
Si tumeelewana alikuwa mjakazi si mke? hao akina Milka na Bilha walikuwa wajakazi( house maid) hawajawah kuwa wake zake Yakobo
 
Moria alipoenda ni Jerusalem ya Leo...

Eneo ambalo kuna ule msikiti wenye paa la Dhahabu Ndio kuna Jiwe linalosemekana Isaka alilala.

Pia Wasamaria wanaamini ni nje kidogo ya Jerusalem
Uko sahihi kabisa..
Ibrahimu alitoka Kanaani (lebanoni/Palestina) mpaka Moria ambayo ni Yerusalem..

Umbali wa kilomerer 250 mpaka 350 (250-350Km) kwenda kutoa Sadaka ya Kuteketezwa
 
Si tumeelewana alikuwa mjakazi si mke? hao akina Milka na Bilha walikuwa wajakazi( house maid) hawajawah kuwa wake zake Yakobo
Biblia Umeisoma mwanzo 16:3??
Maana Tukielewana sisi Vipi kuhusu Maandiko??
 
Quran imeweka wazi juu ya haya matukio yote kuwa Yusuf alitumbukizwa kisimani kisha wapita njia ambao walikuwa ni wasafiri walimtoa kisimani na kisha kwenda kumuuza misri kwa thamani ndogo kabisa.

Na hiki kisa cha Ismael na isaka pia kimewekwa wazi kuwa kilitokea kabla ya kuzaliwa wa isaka. Na matokeo ya kushinda huu mtihani Ibrahim alibashiriwa kupata mtoto mwingine ambaye ni Isaka.
 
M Malizia aya ya 3 ili tuone kati ya wewe na biblia nani anasema ukweli?
 
Quran si kitabu cha Historia Mkuu!
Hivyo Matukio mengi kwenye Quran hayapo..
Ila Kuna Vidokezo
 
Biblia Umeisoma mwanzo 16:3??
Maana Tukielewana sisi Vipi kuhusu Maandiko??
umeshika ule mstari wa akampa akawa mkewe? hujiulizi kwanini alipoanza dharau Ibrahimu akamwambia Sarai amfanye anaovyoona inafaa?

Lazima uelewe kuwa wajakazi walikuwa chini ya wake, hata hao akina Bilha na Milka Yakobo hakuwatwaa wawe wakwe hapana, Rahel na Leah walikuwa wanashindana kuzaa
 
Mwenye andiko linalomtaja Ishmaeli kutolewa sadaka ya kuchinjwa na baba yake Ibrahimu tunaomba aliweke hapa.
Maana mnazunguka tu mala mtoto wa kwanza, mala mtoto wa pekee.
Tunaomba andiko linalo mtaja ishmaeli.
 
M
Malizia aya ya 3 ili tuone kati ya wewe na biblia nani anasema ukweli?
sio kwamba sijaisoma ndo maana nimekuendelezea aya zinazofuata ili usibak na kamstari kamoja ukajifungia hapo hapo
 
Mwenye andiko linalomtaja Ishmaeli kutolewa sadaka ya kuchinjwa na baba yake Ibrahimu tunaomba aliweke hapa.
Maana mnazunguka tu mala mtoto wa kwanza, mala mtoto wa pekee.
Tunaomba andiko linalo mtaja ishmaeli.
Halipo hawawezi kuweka
 
Sasa mkuu miaka unaijua halafu unaniuliza tena mimi si kwamba unanitega.
Mimi sikufika hapo.
 
Soma post #218 Nimeeleza Vizuri kabisa sasa sijui kwanini Unashindwa kuelewa..

Au soma MWANZO 21:9-18

Aliyemfukuza Hajri alikuwa Ni ibrahimu baada ya kuamriwa na Mungu soma mwanzo
 
Sasa mkuu miaka unaijua halafu unaniuliza tena mimi si kwamba unanitega.
Mimi sikufika hapo.
Sasa Nataka uniambia Ibrahimu kwanin alitaka Kuchinja Mtoto wa Miezi kadhaa?
Wakati mtoto wa Miaka 14 yupo??

Maana ibrahimu kajaribiwa akiwa na miaka 100...
Kipindi hicho Isaka ana miezi kadhaa tu na ishamaeli alikuwa na miaka 14
 
Mi
Sasa Nataka uniambia Ibrahimu kwanin alitaka Kuchinja Mtoto wa Miezi kadhaa?
Wakati mtoto wa Miaka 14 yupo??

Maana ibrahimu kajaribiwa akiwa na miaka 100...
Kipindi hicho Isaka ana miezi kadhaa tu na ishamaeli alikuwa na miaka 14
Wapi imeandikwa kuwa Isaka alikuwa mtoto mchanga alipojaribiwa kutolewa sadaka hebu weka hilo andiko.
Mtoto mchanga anaongea ?
 
Soma post #218 Nimeeleza Vizuri kabisa sasa sijui kwanini Unashindwa kuelewa..

Au soma MWANZO 21:9-18

Aliyemfukuza Hajri alikuwa Ni ibrahimu baada ya kuamriwa na Mungu soma mwanzo
Hajir unajua alifukuzwa mara mbili? alipokuwa mjamzito na alipokuwa na mtoto, na wewe unazungumzia ugomvi mkubwa ulitokea ambao ndio uliomwondoa Hajir moja kwa moja, lakini pia ukisoma mistari hiyo ni Sarah alitoa oda ya Hajiri kufukuzwa na likawa jambo baya kwa Ibrahimu sijui hapo umesema, na Mungu alikuwa upande wa Sarah hapo umejiuliza kwa nini?

Lakini mwanzoni Sarah alimfukuza Hajir akiwa mjamzito haya labda tujadiliane ilikuwaje Ibrahimu alimruhusu Sarah kumfukuza Hajiri? Je inawezekana bimkubwa wako kumfukuza bimdogo wako?
 
Sijasema kuwa ni kitabu cha historia ila hayo matukio yenye mkanganyiko kwenye vitabu vingine huko ,mule utayakuta yameelezwa kwa ufasaha kabisa
Quran nayo inamakosa mengi Mkuu Tunaweza tukayataja ila sio kwa leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…