Una Uhakika Mkuu? (Soma mwanzo 13:25)
Lets Talk Facts..
Tuanze na
Mwanzo 16:15-16
View attachment 3021350
Ibrahim/Abram alikuwa na Miaka 86 Alipomzaa Ishamael..
Baada ya Miaka 13 Mungu alifanya Agano na Abram agano la kwanza La kutahiriwa na kubadilishwa Jina kutoka Abram Kuwa Ibrahimu..
Mwanzo 17
View attachment 3021358
Wakati wa Agano hili na wakati watoto wote wakitahiriwa na watu wote wa Ibrahimu..
Ishmaili alikuwa Mtoto pekee wa Ibrahimu akiwa na miaka 13 na Isaka akiwa bado hajazaliwa..
Ibrahimu alimpenda Sana Ishamael na ndo maana alimuambia Mungu kuwa Anaomba Ambariki Ishmaili..
Hapa chini utapata uone Ombi la Ibrahimu kwa Mungu na ukisoma kwenye aya ya 23 utapata miaka ya Ishamael
View attachment 3021364
Kwahyo Ibrahimu alikuwa na Miaka 100 alipozaliwa Isaka hiyo inamaanisha Kuwa Ishmael alikuwa na Miaka 14
View attachment 3021365
Sasa lini Amri ya Kuchinjwa Ilifanyika.?
Katika Theolojia Wanatheolojia Baadhi wanakubaliana kwamba Ibrahimu alipata Amri ya Kumchinjwa mwanae akiwa na Miaka 100 yaani Ibrahimu akiwa na miaka 100..
Sasa Do the maths Kipindi Ibrahimu akiwa Na miaka 100 Only Son aliyekuwepo Ni Ishmael na Baadae alizaliwa Isaka..
All you have to do ni kutafakari tu na Kuchambua utapata Ukweli