inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mimi sijaweka Aya ya QUR'AN Bali bible,na logic yangu unaielewa,acha kurukarukaTatizo mnafosi mtoto wa pekee to fit narrative ya Quran ambayo haitaja hata majina
Biblia inasema mtoto wa jaribio la kuchinja ni Isaka
Nimekuomba uoneshe jina la Isaka/Ismael kwenye jaribu la kuchinja kwenye Quran
Ila kimya hadi sasa
Ntakurahisishia
Biblia vs QuranView attachment 3021854View attachment 3021855
Wanaelewa vizuri tu,...ila ni kulazimisha mambo.Mtoto akishazaliwa,anakuaje si wako hata Kama umemfukuza!?..anakuaje si damu yako?
Ni damu ya IbrahimuMtoto akishazaliwa,anakuaje si wako hata Kama umemfukuza!?..anakuaje si damu yako?
Sema kwa mujibu wa biblia.. hiyo quran imeiba story kwenye biblia haiwezi kuwa kama reference bookKwa mujibu wa Quran na Biblia
Ismail wa kwanza
Mtibeli nimejadiliana nae tangu alasiri,hatukuchafuana roho,umevimbiwa maharage unakuja kudandia mambo na lugha mbovuUsijidanganye, psychology ya binadamu inaeleweka na wewe sio smart kama unavofikiri, mtu anatoa matusi only when intimidated and you were intimidated.
Acha kudanganya watu humu jukwaani na mafundisho ya dini yako ya ajabu ajabu, ni bora ukae kimya tuu kuficha aibu yako.
Kama unarefer BibliaMimi sijaweka Aya ya QUR'AN Bali bible,na logic yangu unaielewa,acha kurukaruka
Quran ndio imeibaSema kwa muhibu wa biblia.. hiyo quran imeiba story kwenye biblia haiwezi kuwa kama reference book
Kama ni damu ya Ibrahim na ni kwanza kuzaliwa,iweje isaka awe mwana wa pekee!?..maana Kuna msitari Mungu kamkubalia maombi Ibrahim juu ya mwanae Ishmael kwamba atamnyanyua na kumpa uzao mwingiNi damu ya Ibrahimu
Biblia haikatai hilo
Ila waliondoshwa kwenda Jangwani
Hawakukaa pamoja Ishmael na Isaka
Biblia ni kitabu chenye shaka ndiyo maana tunaonesha contradictions,na ndiyo maana wazungu walishaachana nachoKama unarefer Biblia
Mtoto wa jaribio la kuchinjwa ni Isaka
Sijaruka ruka
Nimekuwekea screenshot bayana
Biblia ina full story hatuna maswali
Au unapinga hii hapa chini? Ni BibliaView attachment 3021861
Hata mimi nashangaa wanavyotumia quran kama reference book wakati ni kitabu kilichochukua simulizi kutoka katika biblia yaani quran ime copy biblia ikaongeza n hadithi zake zisizokuwa na mtiririko wowote ni kumkosea sana heshima biblia iliyokuwepo au ilikusanya maandiko ya zaidi ya miaka 500 ndiyo quran ikaja.. kuandikwa sasa yupi wa kumfata mwenzake quran au biblia..Kujadili hii mada inabidi tutambue mambo makuu mawili.
1. Rejea ya habari hizi zipo kwa kina na kikamilifu ndani ya Biblia pekee yako. Hazipo kwenye Quran
2. Biblia inamtaja Isaka kama ndiye mtoto wa ahadi, mtoto wa pekee wa ndoa ya Ibrahimu na Sarah na Isaka ndiye aliyepelekwa kutolewa sadaka.
Hilo la Ismail kuwa ni mtoto wa Ibrahim umelitowa wapi? Tupe elimu.Hayo ni maoni yako,...lakini Biblia haijasema kwamba Isihaka ndiyo mtoto wa pekee wa Ibrahim......so kwa akili ya kawaida tu utajua kwamba Ismail ndiyo amewahi kuwa mtoto wa pekee wa Ibrahim kabla ya kuzaliwa wadogo zake.....
Nyie ndo mwalazimishaWanaelewa vizuri tu,...ila ni kulazimisha mambo.
Nimetoa kwenye Qur'an...... Surah 14:39 pale Ibrahim aliposema ''Praise to Allah, who has granted to me in old age Ishmael and Isaac. Indeed, my Lord is the Hearer of supplication."Hilo la Ismail kuwa ni mtoto wa Ibrahim umelitowa wapi? Tupe elimu.
Kuna mtu kasema sio damu ya Ibrahimu?Mtoto akishazaliwa,anakuaje si wako hata Kama umemfukuza!?..anakuaje si damu yako?
Sio maneno yanguKama ni damu ya Ibrahim na ni kwanza kuzaliwa,iweje isaka awe mwana wa pekee!?..maana Kuna msitari Mungu kamkubalia maombi Ibrahim juu ya mwanae Ishmael kwamba atamnyanyua na kumpa uzao mwingi
Quran ndio ina utataBiblia ni kitabu chenye shaka ndiyo maana tunaonesha contradictions,na ndiyo maana wazungu walishaachana nacho
Weka hiyo aya ya kukatwa kondoo tuisome.Kwa hiyo Kondoo alikatwa jando badala ya Ismaili !!?
Alibarikiwa pia ndioKama ni damu ya Ibrahim na ni kwanza kuzaliwa,iweje isaka awe mwana wa pekee!?..maana Kuna msitari Mungu kamkubalia maombi Ibrahim juu ya mwanae Ishmael kwamba atamnyanyua na kumpa uzao mwingi
Nilikuahidi ntarudi kukujibu, ndiyo ipo, anza na hii chini, utaona hiyo ni aya ya 113 kis hicho kimeanza kuanzia aya za awali, ukikisoma utaelewa kuwa huyo Ishaka ni mtoto wa Ibrahim:Kuna Aya ya QUR'AN inasema Ibrahim alikua na mtoto is'haq/isaka?