Mkuu
toriyama , asante sana kutuletea hii family tree ya Mtume
View attachment 3021896
Kuna vitu they look a bit strange to me!, alioa wake 12, kati ya hao wake 12, ni wake wawili tuu ndio waliojaaliwa kumzalia watoto, Mke Mkubwa au mke wa kwanza Bi Khadija aliyemzalia binti UmKuluthum na vidume wawili Abdullah na Kasim, kisha mke wa mwisho wa 12, Bi. Marriah aliyemzalia kidume Ibrahim, lakini wake wengine hao wote 10, hakuna aliyebahatika kupata mtoto?!, hii naiona kama a bit strange!, kwasababu kwa mujibu wa hadhithi, alikuwa ni mtu wa kazi kweli kweli!. Nadhani hii family tree haiko sawa.
Kwenye hiyo family tree, kumeonyesha mabinti wengine watatu, Zainab, Rhukaya na Fatma, bila kuonyesha mama zao ni nani!, ina maana...
Ila kitu strange zaidi ni ukoo huendelezwa kwa watoto wa kiume ambao ndio damu yako, hii family tree inaonyesha hao watoto wote watatu wa kiume, hakuna aliyewahi kuoa wala kupata mtoto ili kuendeza damu ya ukoo, hao wajukuu wote ni wajukuu wa watoto wa kike, sio damu ya ukoo!. Kwangu mimi hii haijakaa sawa, nadhani hii family tree is not right, I serious doubt if this is true unless nithibitishiwe humu na wanazuoni wetu wa humu jf kuwa hiyo family tree is true.
P
Hizo ni story kama hii story ambayo wenzetu wameshindwa kuzithibitisha kimaandiko.
Watoto wa Ishmaeli wa kwenye Biblia ni Hawa hapa.
Mwanzo 25
12 Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli, mwana wa Ibrahimu, ambaye Hajiri, Mmisri, mjakazi wa Sara, alimzalia Ibrahimu.
13 Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
14 na Mishma, na Duma, na Masa,
15 na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
16 Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.
17 Na hii ndiyo miaka ya maisha ya Ishmaeli, miaka mia na thelathini na saba. Akakata roho, akafa, akakusanyika kwa watu wake.
.........
Sasa kama hao wenzetu wanauamini hiyo family tree yao waliyoiweka hapo.
Tukubaliane kabisa kuwa hapa tunawaongelea watu wawili tofauti kabisa.
Ismaili wao sio yule Ishmaeli wa kwenye Biblia.
Ifike mahali kusiwe na haja ya kulinganisha wahusika wenye sifa tofauti halafu Bado watu walazimishe mhusika mmoja awe ni mhusika mwingine.
Hii mada inatakiwa iishie hapa maana tunaongea na watu wasio jua nini kinaongelewa hapa.
Ni kama tunapoteza muda kuwajadili watu wawili tofauti huku kila mmoja wetu akidhani ni mhusika yule yule mmoja.
Family tree ya Ismaili wa Qurani hadi Nabii Muhamadi ndio hiyohapo umewekewa.
P.