Unaongelea biblia ipi ? KJV , QJV, AV, RSV , Douay Au ipi Kati ya maelfu ya biblia tofauti?Sheikh hayo yooote ni marudio yaliyotwaliwa kutoka kwenye "KITABU'' na kumbuka hapo inaposemwa kitabu "ni kile walichopewa wale waliokuwepo kabla yenu''
Unafikili mtume alipata njozi moja? Hapana ni nyingi na zile zinazosomwa ndizo zilizojirudia mara kadhaa na ndizo zilizoandikwa kwenye Quran.
Kumbuka Biblia imekuwapo miaka mingi zaidi kuliko Quran.
Sasa kama Waarabu wengi wenye lugha yao ya Kiarabu wanashindwa kuielewa lugha ya Qurani, itakuwaje kwa wasio Waarabu ?Hilo ni darasa kubwa sana la kuielewa Qur'an na lugha iliyotumika, hata Waarabu wengi hawaielewi Qur'an
Nakushauri usiishie dakika kumi tu, sikiliza yote kwa kujifunza mapya. Kuna mengi sana ya kujifunza.
Kama umeanza na Mimi toka mwanzo nimefika sehemu nikasema Mwislamu atasema yake na Mkristo yake. Hawatakaa wafikie muafaka maana kila mmoja ana jurisprudence yake ya maandiko.Andiko lefu Ila hujajibu Hoja u
Unayoongeleea wewe ni Mambo ya baada ya tukio la kichunjwa ,swali hapa nani alipaswa kuchinjwa Kama sadaka aakiwa ni mwana wa pekee wa Ibrahim
Uzuri yrnyrwe inasema ukitaka kuijuwa utaijuwa. Mradi uwena na nia ya kuijuwa.Sasa kama Waarabu wengi wenye lugha yao ya Kiarabu wanashindwa kuielewa lugha ya Qurani, itakuwaje kwa wasio Waarabu ?
Si itakuwa wanafuata mkumbo tu na kuto ijua Dini inavyopasika?
Vipi Maimanu wasio Waarabu, si watakuwa wanazidi kuwapotosha Waislamu wasio elewa Kiarabu kwa ufasaha ?
Mwisho nakupongeza kwa uchambuzi mzuri sana katika hii Mada.
Wewe ni Mwislamu halisi.
Tafadhali usininukuu vibaya, Ismail yupo ametajwa sana kwenye Qur'an, lakini hajatajwa kama mwanae Ibrahim.Mkuu DR Mambo Jambo , asante sana kwa michango yako kwenye bandiko hili, wewe na FaizaFoxy mmekuwa ni msaada mkubwa sana kwenye bandiko hili.
Mimi ni muumini muumini wa ukweli, pia sipendi watu wadanganywe, Mungu wa Wakristo na Waislamu ni Mungu mmoja, na sheria kwa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa, ila dini zinapotosha sana, na kufanya editing maandiko matakatifu, au kutoa tafsriri potofu to suit their, needs.
Huu mjadala FaizaFoxy aliishaufunga siku nyingi aliposema kwenye Quran Tukufu, hakuna kuchinja binadamu wala Ismail hajatajwa.
Japo mimi ni Mkatoliki die hard, kuna vitu nimevisoma kwenye Bible, we are not doing right!, kuna lots and lots of things tunafanya, sheria ya Musa, ilikataza, wanamsingizia Yesu amekuja kutengua Torati, kitu ambacho sio kweli!.
Japp mimi ndie thread starter, nimejikuta mimi sasa ndio najifunza.
Asanteni wote kwa michango elimishi.
P
Bado nakushukuru sana wewe kwasababu lengo la uzi huu ni kuubaini ukweli kuhusu Ismael na Isaka, ni nani haswa alitaka kutolewa sadaka ya kuchinja.Tafadhali usininukuu vibaya, Ismail yupo ametajwa sana kwenye Qur'an, lakini hajatajwa kama mwanae Ibrahim.
Pia mimi Nashukuru kwa Mjadala mzuri sana..Bado nakushukuru sana wewe kwasababu lengo la uzi huu ni kuubaini ukweli kuhusu Ismael na Isaka, ni nani haswa alitaka kutolewa sadaka ya kuchinja.
Kuna vitu vingi wewe na DR Mambo Jambo , mmetufungua sana macho, vitabu vitakatifu, vinaweza kuwa viko very right and perfect, ila wapotoshaji wakawa ni viongozi wetu wa dini, ama wakapotosha kwa makusudi for ulterior motives, kama hili tukio la sadaka ya kuchinja, huku mmoja akimtaja ni Isaka, mwingine akimtaja ni Ismael, ama kuna viongozi wetu wa dini wanapotosha maandishi kwa lack of knowledge, hivyo ni muhimu sana kwa viongozi wa dini kuwa very knowledgeable. Wewe FaizaFoxy ni very knowledgeable kuhusu Qur'an Tukufu na DR Mambo Jambo very knowledgeable on Christianity, Muslim and Hinduism and Buddhism.
Asanteni sana.
P
Wacha kuharibu mada, mbona sisi hatuulizi kama mnatumia Qurani ya Mayunga, au Shehe Farsy, au ya Makardiani ?
Baki kwenye Mada.
Yes sahihi,.kwasababu Kuwa Muislam just means being submissive to the Will of God na si vinginevyo,....Yeah But Unajua Kuwa Andiko ulilotoa Linamaanisha Kama wakiamini? Yaani Mpaka uwe mwislamu?
But Unafahamu kuwa agano la kale lote haluna hizo mambo za kiama?
Ila zipo kwenye agano Jipya Why tuwalaumu??
Wacha kuharibu mada, mbona sisi hatuulizi kama mnatumia Qurani ya Mayunga, au Shehe Farsy, au ya Makardiani ?
Baki kwenye Mada.
😂😂 kutafsiri maandiko ya lugha nyingine yenye umri wa miaka zaidi ya 1000 inaharibu sana hizi dini.Qur'an ni moja tu, hayo yote uliyotaja ni majina ya watu waliotafsiri tu.
Hakuna Qur'an kwa Kiswahili au lugha nyingine yeyote zaidi ya Kiarabu cha Qur'an.
Narudia tena:Bado nakushukuru sana wewe kwasababu lengo la uzi huu ni kuubaini ukweli kuhusu Ismael na Isaka, ni nani haswa alitaka kutolewa sadaka ya kuchinja.
Kuna vitu vingi wewe na DR Mambo Jambo , mmetufungua sana macho, vitabu vitakatifu, vinaweza kuwa viko very right and perfect, ila wapotoshaji wakawa ni viongozi wetu wa dini, ama wakapotosha kwa makusudi for ulterior motives, kama hili tukio la sadaka ya kuchinja, huku mmoja akimtaja ni Isaka, mwingine akimtaja ni Ismael, ama kuna viongozi wetu wa dini wanapotosha maandishi kwa lack of knowledge, hivyo ni muhimu sana kwa viongozi wa dini kuwa very knowledgeable. Wewe FaizaFoxy ni very knowledgeable kuhusu Qur'an Tukufu na DR Mambo Jambo very knowledgeable on Christianity, Muslim and Hinduism and Buddhism.
Asanteni sana.
P
Ibrahim hakuomba ushauri wa kumuuwa mtoto wake, alikuwa anajadiliana nae mtoto ambae tayari ana akili za kuweza kujadiliana, kwa maana hiyi ni kijana mdogo, siyo mtoto mdogo. Alijadiliana nae kuhusu "kumkata" jando ki tafsida.😂😂 kutafsiri maandiko ya lugha nyingine yenye umri wa miaka zaidi ya 1000 inaharibu sana hizi dini.
Imagine Ibrahim aliomba ushauri wa kumuua mtoto wake
Madam,.. with all due respect kwako... Lakini kwenye hili la kudai kwamba Qur'an haijamtaja Ismail kama Mtoto wa Ibrahim (a.s) ni uongo na uzushi ulio wazi.....Hayapo hayo kwenye Qur'an, nasisitiza niliandika mwanzo huko, mimi natofautiana hata na Waislam wenzangu wengi kwenye hili la Ismail kuwa ni mtoto wa Ibrahim, sijuwi wamelisoma wapi, kwa kusisitiza, hata Sarah hayupo kabisa kwenye Qur'an sijuwi Waislam wamemtowa wapi?
Wewe badala ya kuuliza kuhusu makkah, mji ambao upo siku nyingi sana na inawezekana Ibrahim alipita au kuwepo hapo, kwanza inabidi upanguwe na kuelewa Ismail aliyetajwa kwenye Qur'an ni nani na kwanini ahusishwe na Ibrahim? Kwanini awe mtoto wa Ibrahim wakati Qur'an haina hilo? Sarah ni nani na katokea wapi wakati kwenye Qur'an hajatajwa?
Madam,.. with all due respect kwako... Lakini kwenye hili la kudai kwamba Qur'an haijamtaja Ismail kama Mtoto wa Ibrahim (a.s) ni uongo na uzushi ulio wazi.....
Labda useme kuna Qur'an nyingine apart from hii tunayoijua Dunia nzima.
Sawa,..Je hii Aya hapa chini si miongoni mwa za Qur'an?Unanishutumu uongo na Qur'an unayo? Si weka aya inayosema Ismail ni mtoto wa Ibrahim.
Usiandikie mate na wino upo, mradi usilete maneno ya mtafsiri ukasema ni Qur'an.
Nasubiri.
Kwani hii Leo Hao waarabu weusi hawako arabuni?Ukisoma biblia vizuri utaona Waarabu hawajatokana na Ibrahim kupitia Ishmaeli kama wanavyodai.. Kwanza Mama yake na Ishmaeli ni Mmisri ambao walikuwa ni weusi haiwezekani Ishmaeli kuzaliwa Mwarabu yaani mweupe kama walivyo labda kama walikuwa Waarabu weusi Baadae wakabadilika wakawa weupe kama walivyo leo. BIBLIA inasema Kushi na Misri ni ndugu tena wamezaliwa tumbo moja
MWANZO 10 - 6 Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.
Katika historia ya dunia kuna vitu vingi vinafichwa kwa faida ya maelite wanao dhibiti dunia ili kila kitu kiendane na vile wanata.
UKWELI UMECHANGANYWA NA UONGO...
Nani anaongea hayo maneno?Sawa,..Je hii Aya hapa chini si miongoni mwa za Qur'an?
الْحَمْدُ لِلَّهِ الَّذِي وَهَبَ لِي عَلَى الْكِبَرِ إِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ ۚ إِنَّ رَبِّي لَسَمِيعُ الدُّعَاءِ
Translation:
"Praise be to Allah, who has granted me in old age Ishmael and Isaac. Indeed, my Lord is the Hearer of supplication." (14:39)
Je,..baada ya kukuwekea aya hiyo bado utaendelea kubisha ukweli ulio wazi?