Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Pamoja na yote bado biblia ukiisoma huwezi kukosa maana.
ndiyo maana Quran inaitegemea biblia
Hayo ni maoni yako , unao uhuru wa kusema lakini waliokuandikia hiyo biblia wanasema vyengine. sasa kama unachukua jukumu la kumpakazia Mungu kua aliyasema hayo maneno na wakati huna hakika kuwa alisema endelea kuchukuwa hilo jukumu , Mtajuana huko mbele ya safari.
isipokuwa kuna maonyo alishayatoa kwenye Quran2:79
Basi ole wao wanao andika kitabu kwa mikono yao, kisha wakasema: Hiki kimetoka kwa Mwenyezi Mungu, ili wachumie kwacho pato dogo. Basi ole wao kwa yale iliyo andika mikono yao, na ole wao kwa yale wanayo yachuma.