Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Kinacho ni shangaza ni kuona watoto 12 wa Yakobo(Israel)wametokana na wanawake wanne na sheria hizo hizo za kiyahudi zinawatukuza.Ila pia kumbuka Ibrahim aliishi miaka mingi sana kabla ya kuwepo uyahudi.

Uyahudi ni kitu gani hicho ambacho alipewa Ibrahim ??
 
Mmmmh!
Quran imeweka wazi juu ya haya matukio yote kuwa Yusuf alitumbukizwa kisimani kisha wapita njia ambao walikuwa ni wasafiri walimtoa kisimani na kisha kwenda kumuuza misri kwa thamani ndogo kabisa.

Na hiki kisa cha Ismael na isaka pia kimewekwa wazi kuwa kilitokea kabla ya kuzaliwa wa isaka. Na matokeo ya kushinda huu mtihani Ibrahim alibashiriwa kupata mtoto mwingine ambaye ni Isaka.
mmmmh!
 
Uliimaliza wewe kuiandika ??? Au uliambiwa kanisani kwenu ??



View: https://youtu.be/wcSLID34cto

Mimi ni mtu wa kujifunza.

Nimemsikiliza na ninatamani kila mmoja kwenye huu Uzi asikilize hii video.

1. Mzungumzaji amekiri na kuthibitisha kuwa wakati wa Khalifa Othman Ndio standardization of Quran imefanyika.

2. Mzungumzaji amekiri kuwa kulikuwa na copies nyingi za Quran na amekiri zilizochomwa (Kwa mtazamo kwa Khalifa Othman) hazikuwa Sahihi.

Maswali yangu kwako, 1) Je hizo Quran nyingine zilikuwa na Nini kinachozifanya kuwa za uwongo.
2) Othman alitumia vigezo Gani kuchagua so called perfect Quran.

Kutokana na video uliyoshare ni Wazi kuwa Quran haikushushwa from no where but it is just another creation of man, na kielezo Allah hana uwezo hata kuacha maneno yake kuwa corrupted.

At the end the current version of Quran might be the most wrong version amongst others (hatuna ushahidi wa zingine ambazo mlizichoma wenyewe na mlizichoma kwa makusudi).

Kwenye Ukristo ni ruhusa kuwa na aina zozote za Maandiko kwa sababu Imani ni hiari na lazima itokane na Maarifa na utashi wa binadamu na sio kwa mtutu wa Bunduki.

Kwenye Bibilia kuna Hadi vitabu vya Gnostic Bible
 
Mecca kama Mji imetajwa mara 1 tu kwenye Quran..

Quran inayotumika Leo imemalizwa kuandikwa Miaka zaidi ya 200 ya mtume wa Waislam kufa.
Quran haikuandikwa bali ilikusanywa kuwekwa katika mfumo wa kitabu cha pamoja mara baada ya kufariki kwa Mtume Muhammad (pbuh). Hii ni baada ya kutokea kwa vita ambavyo baadhi ya wanafunzi wa Mtume (Maswahaba) walioihifadhi Quran vifuani mwao kufa. Kiongozi wa Waislam (khalifa) ndio akatoa amri kuwa ikusanywe na kuwekwa katika nakala moja.
 
Quran haikuandikwa bali ilikusanywa kuwekwa katika mfumo wa kitabu cha pamoja mara baada ya kufariki kwa Mtume Muhammad (pbuh). Hii ni baada ya kutokea kwa vita ambavyo baadhi ya wanafunzi wa Mtume (Maswahaba) walioihifadhi Quran vifuani mwao kufa. Kiongozi wa Waislam (khalifa) ndio akatoa amri kuwa ikusanywe na kuwekwa katika nakala moja.
Ukisema vifuani mwao una maanisha nini?
 
Suria upo wa aina mbili katika mazingira ya zamani.
1. Suria aliyechaguliwa ña Mke halali
Sarah alimchagua Hajiri.
Lea ma Rahel wakachagua vijakazi wao kuwa masuria.
2. Suria aliyechaguliwa na Mume.
Suleiman anaingia katika kundi hili.

Suria anabaki kuwa Suria na hawezi kuwa kwenye hadhi sawa ya Mke.
Biblia inaposema Suleiman alikuwa na Wake mia saba na masuria Miatatu inamaana kubwa kisheria.

Mke yupo kisheri na anapatikana kisheria kulingana na mila na tamaduni za Kale kama vile Kutoa mahari n.k.
Suria au hawara hatambuliki kisheria za kizamani,

Torati ambayo ni sheria ya Kiyahudi haitambui kitu kitu kinaitwa Suria
Inatambua Mke.

Tukija kwenye m/Watoto.

Mtoto wa kwanza kisheria za dini ni yule aliyezaliwa ndani ya ndoa. Kwa mke halali.

Kidini hasa za Ibrahim au kimila hata hapa Afrika mtoto wa kwanza ni yule ambaye umezaa ndani ya ndoa.
Bahati nzuri sheria za kiislamu zinaeleza hilo.

Tukirudi kwenye mfano uliotoa kuwa mbona Watoto wa masuria wa Yakobo walihesabika na kupewa urithi

Walihesabika kwa sababu walijua kula na kipofu.
Waliwaheshimu Wake wa Yakobo ambao ndio waliowateua kuwa masuria.

Hii ni tofauti na Hajiri ambaye alileta ujeuri na kiburi akataka ligi na mke halali wa ndoa akasahau mke huyo ndiye aliyechagua amsaidie baadhi ya majukumu na ndiye mwenye mamlaka ya kumfukuza.

Ibrahim akamwambia Mkewe Sarah kuwa huyo kijakazi wake yupo chini yake(wala sio chini ya Ibrahim) hivyo yeye ndiye mwenye maamuzi ya kumfukuza au kumbakiza.

Pascal Mayalla uliona wapi Suria mwenye hadhi sawa na mke mamlaka ya kumfukuza ikawa kwa mke mkubwa?

Tuzingatie, vijakazi wote zamani walikuwa wanakuja na Wanawake wanaoolewa tokea huko kwao au wanatafuta wenyewe na sio kAzi y mume kutafuta kijakazi wa kumsaidia mke.

Tena Baba Mkwe wa mwanamke ndiye humsaidia binti yake kumtafutia kijakazi binti yake.

Tukija kwenye urithi, baba anahaki ya kutoa urithi kwa watoto kulingana na vile awaonavyo.
Ni ngumu Mwanamke uliyetalakiana naye au kugombana naye ukatoa urithi kwa watoto wake ingawaje ni wako pia. Unaweza ukawapa lakini hawawezi kufikia donge nono kwa watoto ambao mama yao alikuwa anakufurahisha.

Tumeona Kwa Ibrahim jambo hilo lilifanyika. Kwa Yakobo tumeona Yusuphu na Yuda wakipendelewa.

Kwa Daudi tumeona Suleiman akipendelewa ilhali kuna Wakubwa zake.

Na kwa zama za leo tumeona Kesi ya Tajiri marehemu Mengi.
Pia tumeona Wake wadogo wakipendelewa au watoto wa mke mdogo wakipendelewa hii yote ni kutokana na uhusiano wa mume na wake zake.

Sio mume na masuria. Nop.
Kati yako wewe na Biblia nani mkweli?

Maana biblia inatueleza kuwa licha ya kazi ya kijakazi (msaidizi wa kazi za nyumbani) aliyokuwa nayo hajar bado alitambulika kuwa ni mke halali wa Ibrahim.

ANDIKO...Mwanzo 16:3

"Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe."

Halafu vilevile Ibrahim huwezi ukamfunga na sheria za kiyahudi kwasababu hakuwa myahudi.

Wayahudi (wana wa israel) ni watoto wa yakobo (mjukuu wa Ibrahim) . Torati ilishuka miaka mingi sana baada ya kufariki kwa Ibrahim. Ibrahim hakuwa akifuata sheria za Torati .

Vp afungamanishwe na Uyahudi?
 
Ukisema vifuani mwao una maanisha nini?
Quran inahifadhiwa moyoni. Kiasi unaweza kuniamsha usingizini ,nikayasoma maneno ya Mungu (Quran) pasi na kushika kitabu cha karatasi.

Malaika Jibril (Gabriel) alikuwa anatumwa na Mungu kuja duniani kumfundisha Mtume hii Quran. Mtume Muhammad alikuwa hajui kusoma wala kuandika, so alikuwa akihifadhi moyoni yale yote aliyofunuliwa na kisha baadae kuwapasha habari wanafunzi wake ambao nao walihifadhi nyoyoni bila ya kusahau chochote. Hivi ndivyo Quran imehifadhiwa vizazi kwa vizazi pasi na kuchakachuliwa hata kidogo.

Hata itokee leo watu wachome nakala zote za Quran bado inaweza kukusanywa upya aya moja baada ya nyingine kutoka kwa waislam walioihifadhi vifuani mwao. Tofauti na wakristo na dini nyingine ambao ukichoma hizi nakala zenu za biblia basi kupata watu waliohifadhi aya zote za biblia ni ngumu sana.
 
Kati yako wewe na Biblia nani mkweli?

Maana biblia inatueleza kuwa licha ya kazi ya kijakazi (msaidizi wa kazi za nyumbani) aliyokuwa nayo hajar bado alitambulika kuwa ni mke halali wa Ibrahim.

ANDIKO...Mwanzo 16:3

"Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe."

Halafu vilevile Ibrahim huwezi ukamfunga na sheria za kiyahudi kwasababu hakuwa myahudi.

Wayahudi (wana wa israel) ni watoto wa yakobo (mjukuu wa Ibrahim) . Torati ilishuka miaka mingi sana baada ya kufariki kwa Ibrahim. Ibrahim hakuwa akifuata sheria za Torati .

Vp afungamanishwe na Uyahudi?

Sheria za Musa alipewa na Yahweh ambaye ni Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo.

Ukisoma Biblia sio Kila neno ni tamko la Mungu
Kuna msimuliaji, na wahusika
Kwenye hiyo Aya uliyoinukuu ni kauli kutoka kwa nani?
a) Sarah
b) Ibrahim
c) Mungu
d) Msimuliaji

Nasuburi majibu.

Hii mada tulishamaliza muda naona wewe Sasa hivi ndio umeingia online
 
Dini ya kweli ni ile inayoamrisha waumini wake waowane jinsia moja kanisani hyo ndio dini ya haki ya papa musofe.
 
Mimi ni mtu wa kujifunza.

Nimemsikiliza na ninatamani kila mmoja kwenye huu Uzi asikilize hii video.

1. Mzungumzaji amekiri na kuthibitisha kuwa wakati wa Khalifa Othman Ndio standardization of Quran imefanyika.

2. Mzungumzaji amekiri kuwa kulikuwa na copies nyingi za Quran na amekiri zilizochomwa (Kwa mtazamo kwa Khalifa Othman) hazikuwa Sahihi.

Maswali yangu kwako, 1) Je hizo Quran nyingine zilikuwa na Nini kinachozifanya kuwa za uwongo.
2) Othman alitumia vigezo Gani kuchagua so called perfect Quran.

Kutokana na video uliyoshare ni Wazi kuwa Quran haikushushwa from no where but it is just another creation of man, na kielezo Allah hana uwezo hata kuacha maneno yake kuwa corrupted.

At the end the current version of Quran might be the most wrong version amongst others (hatuna ushahidi wa zingine ambazo mlizichoma wenyewe na mlizichoma kwa makusudi).

Kwenye Ukristo ni ruhusa kuwa na aina zozote za Maandiko kwa sababu Imani ni hiari na lazima itokane na Maarifa na utashi wa binadamu na sio kwa mtutu wa Bunduki.

Kwenye Bibilia kuna Hadi vitabu vya Gnostic Bible

Jifunze zaidi hapa


The Written Qur'an in the Times of The Prophet Muhammad (pbuh)


A large number of missionaries and the self-styled "critics" have been quoting Islamic traditions, or reports(Hadith), which support their claim, that the Qur'an was not written at the time of its Revelation. Are all these claims true?

They are not, if we re-examine them.

Evidence from the Qur'an​


The Qur'an itself containsmany passages which refer to its written form. There appear to be four chapters (Sura's)of the Qur'an which refer to the Qur'an's written form explicitly. I'll quote them:


"By no means! Indeed it is a message of Instruction
Therefore, whoever wills, should remember
On leaves held in honour
Exalted, purified
In the hands of scribes
Noble and pious"
Sura' 80: 11-16


Here we have a reference to those scribes who wrote the Qur'an,on leaves. Minister Abdullah Yusuf Ali, in his commentary wrote that at the time ofthe Revelation of this Surah, forty-two or forty-five others (Surahs) had been written andwere kept by Muslims in Makkah (out of the total 114 Surahs).


"Nay, this is the glorious Qur'an, on a Tabletpreserved"
Sura' 85: 21-22


The above verse is the ultimate proof on the written preservationof the Qur'an even before the migration of Prophet Muhammad (pbuh).


"This is a glorious Reading, In a book well-kept,
Which none but the purified teach
This is a Revelation from the Lord of the Worlds"
Sura' 56: 77-80


The above verse refers to a "book well-kept," which canbe no other than the Qur'an.


"They said: Tales of the ancients which he had caused to bewritten and they are dictated to him morning and evening"
25: 5


A reference to the enemies of the Prophet Muhammad (pbuh) whenthey accused him of plagiarising and retelling stories from the past. Still, we see wordsreferring to the Qur'an in its written form.



Evidence from Hadith​


Besides the above verses which refer to the Qur'an's writtenform, there are also a number of Hadith which agree with the above verses:


Zayd (ra) is reported to have said:


We used to compile the Qur’an fromsmall scraps in the presence of the Messenger. (Hakim,Mustadrak)


The above Hadith also tells us that the ProphetMuhammad (pbuh) was not unaware of the condition of the Qur'an with his companions andthat he used to guide them while compiling it. Also, it tells us that the Qur'an also usedto be compiled for Prophet Muhammad (pbuh), meaning that he had a personal copy.


Malik said that no one should carry the Mushaf byits strap, nor on a pillow, unless he is clean… (Mu’atta, Kitab Al-Nida’Li’l-Salah)


It is clear that the Qur'an was available in a book form at thetime of the Prophet Muhammad (pbuh).


Narrated Qatadah: I asked Anas Ibn Malik:‘Who collected the Qur’an at the time of Prophet?’ He replied: ‘Four,all of whom were from the Ansar: Ubay Ibn Ka‘ab, Mu‘adh Ibn Jabal, Zayd IbnThabit and Abu Zayd.’ (Bukhari, KitabFada’ilu’l-Qur’an)


It is very clear that the complete Qur'an was available inthe form of a book even at the time of the Prophet Muhammad (pbuh). This proof isinescapable, and any Hadith which contradicts the facts presented here is a fabricatio

Conclusion


The claim that the Qur'an was not written at the time of the Prophet Muhammad (pbuh) is incorrect. Some admit that it was written,but not all. This too is incorrect. The truth stands out clear, the whole Qur'an was written at the time of the Prophet Muhammad (pbuh).
 
Mimi ni mtu wa kujifunza.

Nimemsikiliza na ninatamani kila mmoja kwenye huu Uzi asikilize hii video.

1. Mzungumzaji amekiri na kuthibitisha kuwa wakati wa Khalifa Othman Ndio standardization of Quran imefanyika.

2. Mzungumzaji amekiri kuwa kulikuwa na copies nyingi za Quran na amekiri zilizochomwa (Kwa mtazamo kwa Khalifa Othman) hazikuwa Sahihi.

Maswali yangu kwako, 1) Je hizo Quran nyingine zilikuwa na Nini kinachozifanya kuwa za uwongo.
2) Othman alitumia vigezo Gani kuchagua so called perfect Quran.

Kutokana na video uliyoshare ni Wazi kuwa Quran haikushushwa from no where but it is just another creation of man, na kielezo Allah hana uwezo hata kuacha maneno yake kuwa corrupted.

At the end the current version of Quran might be the most wrong version amongst others (hatuna ushahidi wa zingine ambazo mlizichoma wenyewe na mlizichoma kwa makusudi).

Kwenye Ukristo ni ruhusa kuwa na aina zozote za Maandiko kwa sababu Imani ni hiari na lazima itokane na Maarifa na utashi wa binadamu na sio kwa mtutu wa Bunduki.

Kwenye Bibilia kuna Hadi vitabu vya Gnostic Bible

The Oral Transmission of the Qur'an


Even until today, many people have completely memorized the Qur'an. These people are known as Hafizun, which means that they are the protectors of the Qur'an. The real protector is Allah, the Lord of all Being, but Hafizun are called protectors because if the Qur'an was ever lost, the Hafizun can easily restore it.

People have not started becoming Hafizun recently, but many of them were also present at the time of the Prophet Muhammad (pbuh). The Prophet Muhammad (pbuh) himself was a person who had memorized the whole Qur'an, word by wor


The First Hafiz​


The first one to memorize the complete Qur'an, was, the Prophet Muhammad (pbuh) himself. After a Revelation came to the Prophet (pbuh), he memorized it:


'Move not thy tongue concerning the (Qur'an) to make
haste therewith. It is for Us to collect it and promulgate
it; but when We have promulgated it, follow thou its
recital' (75: 16-19)


Instead of the above verse, they are so many Hadith which say that the Prophet Muhammad (pbuh) had memorized the Qur'an, they quoting them is not needed. Any one with even the knowledge of an atom concerning Islam may be knowing this.


Hafizun Among the Companions​


The Prophet (pbuh) had thousands of companions, and it is for sure that hundreds of them too had memorized the whole Qur'an, word by word, just as the Prophet Muhammad (pbuh) himself did.


"... the first man to speak the Qur'an loudly in Makka after the apostle was 'Abdullah bin Mas'ud. The Prophet's Companions came together and mentioned that the Quraish had never heard the Qur'an distinctly read to them... When (Ibn Mas'ud) arrived at the maqAm, he read "In the name of God the Compassionate the Merciful", raising his voice as he did so. "The Compassionate who taught the Qur'an ..." (55:1) ... They got up and began to hit him in the face;but he continued to read so far as God willed that he should read ..." Guillaume, E.: The Life of Muhammad (abbr. as Ibn Hisham), London,55, pp. 141-2; Ibn Hisham: Sira al-nabi, Cairo, n.d., 1, p.206.


The above report clearly shows that even in the earlier days of Islam, people memorized the Qur'an. It is also reported that Abu Bakr (ra) recited the Qur'an publicly in front of his house (Sira Ibn Hisham).


In addition to this, it is compulsory to recite the Qur'an in prayers. So the companions, at least, had memorized some of the Qur'an if not the whole as others did.
 
Mimi ni mtu wa kujifunza.

Nimemsikiliza na ninatamani kila mmoja kwenye huu Uzi asikilize hii video.

1. Mzungumzaji amekiri na kuthibitisha kuwa wakati wa Khalifa Othman Ndio standardization of Quran imefanyika.

2. Mzungumzaji amekiri kuwa kulikuwa na copies nyingi za Quran na amekiri zilizochomwa (Kwa mtazamo kwa Khalifa Othman) hazikuwa Sahihi.

Maswali yangu kwako, 1) Je hizo Quran nyingine zilikuwa na Nini kinachozifanya kuwa za uwongo.
2) Othman alitumia vigezo Gani kuchagua so called perfect Quran.

Kutokana na video uliyoshare ni Wazi kuwa Quran haikushushwa from no where but it is just another creation of man, na kielezo Allah hana uwezo hata kuacha maneno yake kuwa corrupted.

At the end the current version of Quran might be the most wrong version amongst others (hatuna ushahidi wa zingine ambazo mlizichoma wenyewe na mlizichoma kwa makusudi).

Kwenye Ukristo ni ruhusa kuwa na aina zozote za Maandiko kwa sababu Imani ni hiari na lazima itokane na Maarifa na utashi wa binadamu na sio kwa mtutu wa Bunduki.

Kwenye Bibilia kuna Hadi vitabu vya Gnostic Bible


Prophet Muhammad (pbuh) Encouraged Memorization​


The best thing we could do here was to quote a passage from the second chapter of Ahmad von Denffer's book, Ulum al Qur'an:


There are numerous ahadith, giving account of various efforts made and measures taken by the Prophet to ensure that the revelation was preserved in the memory of his Companions. The following is perhaps the most clear:
'Narrated 'Uthman bin 'Affan: The Prophet said: "The most superior among you(Muslims) are those who learn the Qur'an and teach it".' Bukhari,VI, No. 546.


Listening to Others by the Prophet Muhammad(pbuh)​


The Prophet Muhammad (pbuh), also listened to the recital of others. Here is a Hadith showing this:


"Narrated 'Abdullah (Ibn Mas'ud): 'Allah's Apostle said to me: "Recite (of the Qur'an) for me". I said: "Shall I recite it to you although it had been revealed to you?!" He said: "I like to hear (the Qur'an) from others". So I recited Surat-an-Nisa' till I reached: "How(will it be) then when We bring from each nation a witness and We bring you (O Muhammad)as a witness against these people?" ' (4: 41). 'Then he said: "Stop!"Behold, his eyes were shedding tears then." Bukhari, VI, No. 106.

In addition to writing, the whole Qur'an was also memorized by hundreds of Muslims and even those who had met the Prophet Muhammad (pbuh) himself. Just as the whole Qur'an was preserved by writing, the whole Qur'an was also preserved by memorization too.
 
Mimi ni mtu wa kujifunza.

Nimemsikiliza na ninatamani kila mmoja kwenye huu Uzi asikilize hii video.

1. Mzungumzaji amekiri na kuthibitisha kuwa wakati wa Khalifa Othman Ndio standardization of Quran imefanyika.

2. Mzungumzaji amekiri kuwa kulikuwa na copies nyingi za Quran na amekiri zilizochomwa (Kwa mtazamo kwa Khalifa Othman) hazikuwa Sahihi.

Maswali yangu kwako, 1) Je hizo Quran nyingine zilikuwa na Nini kinachozifanya kuwa za uwongo.
2) Othman alitumia vigezo Gani kuchagua so called perfect Quran.

Kutokana na video uliyoshare ni Wazi kuwa Quran haikushushwa from no where but it is just another creation of man, na kielezo Allah hana uwezo hata kuacha maneno yake kuwa corrupted.

At the end the current version of Quran might be the most wrong version amongst others (hatuna ushahidi wa zingine ambazo mlizichoma wenyewe na mlizichoma kwa makusudi).

Kwenye Ukristo ni ruhusa kuwa na aina zozote za Maandiko kwa sababu Imani ni hiari na lazima itokane na Maarifa na utashi wa binadamu na sio kwa mtutu wa Bunduki.

Kwenye Bibilia kuna Hadi vitabu vya Gnostic Bible

The Collection done under the Khalifah (Caliph) Abu Bakr (ra)


Abu Bakr (ra) was a very close friend of the Prophet (pbuh). He was also his successor, not in Prophethood, but he became the Commander of the Muslims(Amirul Mukminin) after the Prophet Muhammad (pbuh).

During his Caliphate, a battle took place, known as the "Battle of Yamamah." In this battle, many people had memorized the Qur'an, were martyred. Abu Bakr (ra) feared that the Qur'an might not be lost. So he ordered Zayd Ibn Thabit (ra), the personal scribe of the Prophet (pbuh), to compile it. Zayd (ra) finished the job successfully.


It must be noted that even if many companions who had memorized the Qur'an were martyred, the complete Qur'an in writing already existed.


Hadith which mentions it​


The following is the Hadith which mentions the collection of theQur'an: under Abu Bakr's Caliphate:


Narrated Zaid bin Thabit Al-Ansari, one of the scribes of the Revelation: Abu Bakr sent for me after the casualties among the warriors(of the battle) of Yamama (where a great number of Qurra were killed). 'Umar was present with Abu Bakr who said: "Umar has come to me and said, the People have suffered heavy casualties on the day of (the battle of) Yamama, and I am afraid that there will be some casualties among the Qurra (those who know the Qur'an by heart) at other places, whereby a large part of the Qur'an may be lost, unless you collect it. And I am of the opinion tha tyou should collect the Qur'an.' Abu Bakr added, 'I said to 'Umar, "How can I do something which Allah's Apostle has not done?" 'Umar said (to me) "By Allah, it is(really) a good thing".

So 'Umar kept on pressing trying to persuade me to accept his proposal, till Allah opened my bosom for it and I had the same opinion as 'Umar'. (Zaid bin Thabit added🙂 'Umar was sitting with him (Abu Bakr) and was not speaking. Abu Bakrs aid (to me), 'You are a wise young man and we do not suspect you (of telling lies or of forgetfulness); and you used to write the Divine Inspiration for Allah's Apostle. Therefore, look for the Qur'an and collect it (in one manuscript)'.

By Allah, if he (AbuBakr) had ordered me to shift one of the mountains (from its place) it would not have been harder for me than what he had ordered me concerning the collection of the Qur'an. I said to both of them, 'How dare you do a thing which the Prophet has not done?' Abu Bakr said,'By Allah, it is (really) a good thing. So I kept on arguing with him about it till Allah opened my bosom for that which He had opened the bosoms of Abu Bakr and 'Umar.

So I started locating the Quranic material and collecting it from parchments ,scapula, leaf stalks of date palms and from the memories of men (who knew it by heart). I found with Khuzaima two verses of Surah Tauba which I had not found with anybody else (and they were): 'Verily there has come to you an Apostle (Muhammad) from among yourselves. It grieves him that you should receive any injury or difficulty. He (Muhammad) is ardently anxious over you (to be rightly guided)' (9:128). Bukhari, VI, No. 201


The words of Zaid may raise some confusion: How can I do something which Allah's Apostle has not done? This doen't mean that the Qur'an was not written in the Prophet's time, but it means that that the Qur'anic was scattered and not collected into one volume. The Prophet (pbuh) didn't leave the complete Qur'an in a single volume for all the Ummah, because most of his companions had memorized it and some had their own copies. So Abu Bakr (ra) feared that the Qur'an could have been lost, and that's why he ordered for a copy to be prepared.

Conclusion


Even though when the whole Qur'an was available in writing, the Caliph took great care that it still would not be lost and that's why he ordered Zaid to collect it. This also means that the Caliph greatly cared for the Qur'an.


The Collection done under the Khalifah (Caliph) Uthman (ra)


After Abu Bakr (ra), the Caliph Umar ruled, and after the CaliphUmar, Uthman Ibn Affan was elected as Caliph. During the period of the Caliph Uthman, Islam spread to many areas. The Muslims who were not Arabs, couldn't read the Qur'an as it should have been read.

They changed the meanings of the verses, and many variant readings sprung out, because the people were ignorant of Arabic.

Old Arabic was written as lines, and now one can distinguish such and such alphabets easily by marks. But this was not the case in older times. That's why, the Caliph Uthman immediately told a committee of scribes to write the Qur'an in the dialect of the Quraysh, because that was how the Qur'an was revealed.

Whenthe scribes had prepared many copies from the one which Abu Bakr (ra) had compiled, each copy was sent to each city under Muslim rule. Other copies which were not from Uthman were burned. Then, from the standard copies, more copies were made and this time there were also teachers of the people to teach them how to recite the Qur'an.


Hadith which mentions it


The following is the report which mentions the above described event:


Narrated Anas bin Malik: Hudhaifa bin Al-Yaman came to 'Uthman atthe time when the people of Sham and the people of Iraq were waging war to conquer Arminyaand Adharbijan. Hudhaifa was afraid of their (the people of Sham and Iraq) differences inthe recitation of the Qur'an, so he said to 'Uthmfin, 'O chief of the Believers! Save this nation before they differ about the Book (Qur'an), as Jews and the Christians did before'.So 'Uthman sent a message to Hafsa saying, 'Send us the manuscripts of the Qur'an so that we may compile the Qur'anic materials in perfect copies and return the manuscripts to you'.

Hafsa sent it to 'Uthman. 'Uthman then ordered Zaid bin Thabit, 'Abdullah bin Az-Zubair, Sa'id bin Al-'As and 'Abdur Rahmanbin Hari-bin Hisham to rewrite the manuscripts in perfect copies.

'Uthman said to the three Quraishi men, 'In case you disagree with Zaid bin Thabit on any point in the Qur'an, then write it in the dialect of Quraish as the Qur'an was revealed in their tongue'.

They did so, and when they had written many copies, 'Uthman returned the original manuscripts to Hafsa. 'Uthman sent to every Muslim province one copy of what they had copied, and ordered that all the other Qur'anic materials whether written in fragmentary manuscripts or whole copies, be burnt.

Zaid bin Thabit added, 'A verse from Sura al-Ahzab was missed by me when we copied the Qur'an and I used to hear Allah's Apostle reciting it. So we searched for it and found it with Khuzaima bin Thabit Al-Ansari'. (That verse was): 'Among the Believers are men who have been true in their convenant with Allah' (33: 23). Bukhari, VI, No. 510
 
Mimi ni mtu wa kujifunza.

Nimemsikiliza na ninatamani kila mmoja kwenye huu Uzi asikilize hii video.

1. Mzungumzaji amekiri na kuthibitisha kuwa wakati wa Khalifa Othman Ndio standardization of Quran imefanyika.

2. Mzungumzaji amekiri kuwa kulikuwa na copies nyingi za Quran na amekiri zilizochomwa (Kwa mtazamo kwa Khalifa Othman) hazikuwa Sahihi.

Maswali yangu kwako, 1) Je hizo Quran nyingine zilikuwa na Nini kinachozifanya kuwa za uwongo.
2) Othman alitumia vigezo Gani kuchagua so called perfect Quran.

Kutokana na video uliyoshare ni Wazi kuwa Quran haikushushwa from no where but it is just another creation of man, na kielezo Allah hana uwezo hata kuacha maneno yake kuwa corrupted.

At the end the current version of Quran might be the most wrong version amongst others (hatuna ushahidi wa zingine ambazo mlizichoma wenyewe na mlizichoma kwa makusudi).

Kwenye Ukristo ni ruhusa kuwa na aina zozote za Maandiko kwa sababu Imani ni hiari na lazima itokane na Maarifa na utashi wa binadamu na sio kwa mtutu wa Bunduki.

Kwenye Bibilia kuna Hadi vitabu vya Gnostic Bible


Reasons for the burning​


The Christian missionaries have been openly making the allegation that Uthman (ra) ordered all copies of the Qur'an to be burnt because of the varying content. This is not true. We quote Dr. Ahmad Shafaat on this issue:


Now suppose that there were at any time any variations in the Qur'an other than those caused by scribal errors or failure of memory ordue to some minor differences in script.

That is, suppose that some individuals or groups deliberately held on to a text of the Qur'an that they knew was different from the one followed by others and that was closer to the original text than the one we possess.

How could it then happen that from century to century and from country to country we find the same text of the Qur'an?

It is said that 'Uthman, the third leader succeeding the Prophet, ordered people to burn all the texts of the Qur'an which were different from a certain text. But is it conceivable that people will submit to this order even if they thought 'Uthman's text was not the authentic text?

Westerners may have the tendency to think that Muslim rulers must have always been tyrant dictators who could force the people to do anything.

This is certainly not true of the early leaders of Muslims. But even if we assume that people lived in terror of their leaders, it was logistically impossible for 'Uthman to control every home.

People could easily hide their various copies of the Qur'an and secretly pass them on to their descendants and through them on to us. It isself-evident and is also required by the teachings of the Qur'an that every Muslim should do his utmost to prevent the alteration or suppression of the word of God. For in passages where there are no variations alleged the Qur'an had condemned earlier nations for altering or fabricating the "divine" scripture. Thus in one such passage we read:


And woe unto those who write the scripture with their own hands and then say, "This is from God," that they may in this way obtain a small gain. Woe unto them for what their hands have written and woe unto them for what they gain thereby! (2:79).

In the following passage condemns even hiding any part of the revelation, much less altering it:


[God says:] Those who hide what We have revealed of the clear matters and of the guidance, after We have made it clear for the people, are accursed of God and accursed of those who (are entitled to) curse - except such of them as repent and amend and make manifest the truth. These it is to whom I turn in forgiveness. And I am the forgiving, the merciful (2:159-160).

Many early Muslims are expected to live up to the obligation implied in these verses even if it meant loosing their lives. For, there has never been a shortage of Muslims who have been willing to give their lives for the sake of Islam. Hence any attempt by 'Uthman or anyone else would have been met with the stiffest resistance on the part of many Muslims. But we hear of no such resistance.


And what about the text that 'Uthman promulgated? How did he arrive at that text? On the basis of what text did the first two leaders, AbuBakr and 'Umar governed the Muslim lands before him ? What text people had been using in their daily prayers in Medina, the city of the Prophet, which consisted almost entirely of Muslims, most having seen and heard the Prophet?

What text was used throughout the land during sermons before the Friday congregational prayers? How could 'Uthman change the text that had been used for twelve years before him in the presence of hundreds of companions of the Prophet who could easily detect any change to the original text and were obligated by religious principles to prevent alterations in the word of God?

And why at all would he want to change it, considering that the extant text says nothing in his favor?

It is also important to keep in mind that the vast Muslim world was not homogeneous. There was as much diversity of opinion as one expects from any group of people. There were even conflicts, some of them armed. 'Uthman himself had opposition from some groups, one of which actually martyred him.

Had the text he promulgated been less than 100% reliable his opponents would have made it an issue and accused him of changing the word of God.

But the fact is that these opponents accused him of many things but we do not have any tradition,certainly not an early reliable one, in which they accuse him of changing the word of God.


It is indeed possible that 'Uthman did promulgate one particular text and ordered others to be burnt. For differences in script and copying errors during a period of fast conversion might have resulted in many manuscripts with errors.

If these manuscripts were then used to make further copies, the errors would have multiplied. The best solution was that certain authenticated copies be sent to various centers of the Muslim world and all others destroyed. The very fact that the text whose copies were sent by 'Uthman was accepted throughout the Muslim world, by both his friends and foes, and the fact that no other text has ever been put forward as an alternative to the existing text proves that the text sent by 'Uthman was the authentic one.


In addition to the multiplying number of copying errors, there was probably another reason for promulgating a standard text. Earlier we noticed two peculiarities of the Arabic language: differences in script and absence of the vowel.

These also could have resulted in confusion. Steps taken by 'Uthman effectively solved the problem caused by the first peculiarity: the differences in script. His solution to the second peculiarity -- the absence of vowels -- was to send a Qari along with the copy of the Qur'an to preserve the correct reading that the hundreds of companions had learnt from the Prophet.

This was clearly not a satisfactory solution. Later, at the insistence of Zayd, the Governor of Basrah (45-53 H), dots were assigned as vowel points. Then during the reign of Abdul Malik (65-85 H.) Hajjaj bin Yusuf appointed scholars to assign new symbols for vowels while dots were used to distinguish different letters that were in some words looked the same. (Dr. Ahmad Shafaat, 2000, "Journal of the Muslim Research Institute", Canada)
 
Mimi ni mtu wa kujifunza.

Nimemsikiliza na ninatamani kila mmoja kwenye huu Uzi asikilize hii video.

1. Mzungumzaji amekiri na kuthibitisha kuwa wakati wa Khalifa Othman Ndio standardization of Quran imefanyika.

2. Mzungumzaji amekiri kuwa kulikuwa na copies nyingi za Quran na amekiri zilizochomwa (Kwa mtazamo kwa Khalifa Othman) hazikuwa Sahihi.

Maswali yangu kwako, 1) Je hizo Quran nyingine zilikuwa na Nini kinachozifanya kuwa za uwongo.
2) Othman alitumia vigezo Gani kuchagua so called perfect Quran.

Kutokana na video uliyoshare ni Wazi kuwa Quran haikushushwa from no where but it is just another creation of man, na kielezo Allah hana uwezo hata kuacha maneno yake kuwa corrupted.

At the end the current version of Quran might be the most wrong version amongst others (hatuna ushahidi wa zingine ambazo mlizichoma wenyewe na mlizichoma kwa makusudi).

Kwenye Ukristo ni ruhusa kuwa na aina zozote za Maandiko kwa sababu Imani ni hiari na lazima itokane na Maarifa na utashi wa binadamu na sio kwa mtutu wa Bunduki.

Kwenye Bibilia kuna Hadi vitabu vya Gnostic Bible


UMEANDIKA


Kwenye Ukristo ni ruhusa kuwa na aina zozote za Maandiko kwa sababu Imani ni hiari na lazima itokane na Maarifa na utashi wa binadamu na sio kwa mtutu wa Bunduki.




MAJIBU

Huo ukristo sijui ni wa kanisa lipi , lakini historia haisemi hivyo

Angalia mwenyewe hii Documentary kutoka BBC , inajibu hayo maneno yako




View: https://youtu.be/OnNBLLcN-fY
 
Mimi ni mtu wa kujifunza.

Nimemsikiliza na ninatamani kila mmoja kwenye huu Uzi asikilize hii video.

1. Mzungumzaji amekiri na kuthibitisha kuwa wakati wa Khalifa Othman Ndio standardization of Quran imefanyika.

2. Mzungumzaji amekiri kuwa kulikuwa na copies nyingi za Quran na amekiri zilizochomwa (Kwa mtazamo kwa Khalifa Othman) hazikuwa Sahihi.

Maswali yangu kwako, 1) Je hizo Quran nyingine zilikuwa na Nini kinachozifanya kuwa za uwongo.
2) Othman alitumia vigezo Gani kuchagua so called perfect Quran.

Kutokana na video uliyoshare ni Wazi kuwa Quran haikushushwa from no where but it is just another creation of man, na kielezo Allah hana uwezo hata kuacha maneno yake kuwa corrupted.

At the end the current version of Quran might be the most wrong version amongst others (hatuna ushahidi wa zingine ambazo mlizichoma wenyewe na mlizichoma kwa makusudi).

Kwenye Ukristo ni ruhusa kuwa na aina zozote za Maandiko kwa sababu Imani ni hiari na lazima itokane na Maarifa na utashi wa binadamu na sio kwa mtutu wa Bunduki.

Kwenye Bibilia kuna Hadi vitabu vya Gnostic Bible

UMEANDIKA

Kwenye Bibilia kuna Hadi vitabu vya Gnostic Bible



MAJIBU

Gnostic bible ndani ya bibilia ndio nini ?

Au ulikusudia gnostic texts ??

Kama ni hivyo, hizo texts haziko katika biblia yoyote . na listi ni kama hivi hapa



Complete list of codices found in Nag Hammadi​

The final section of the Second Treatise of the Great Seth

The so-called "Codex XIII" is not a codex, but rather the text of Trimorphic Protennoia, written on "eight leaves removed from a thirteenth book in late antiquity and tucked inside the front cover of the sixth." (Robinson, NHLE, p. 10) Only a few lines from the beginning of Origin of the World are discernible on the bottom of the eighth leaf.


Mandaean texts​

Main article: List of Mandaic manuscripts


Other​


Quoted or alluded​

These texts are mentioned or partially quoted in the writings of the Church Fathers.


 
Back
Top Bottom