Quran iliteremshwa kusummarize vitabu vyoote vilivyotangulia (torati, suhfi ya Ibrahim, injili) kwa mtume wake wa mwisho (cc. Suratul tafswiila)
Imeelezea saana watu wa kitabu waliopita(wayahhudi na Christians)
(cc. Suratul imraan) na namna walivyoghushi au plagiarism maneno ya Mungu.soma Sana tafsiri yke utaielewa in deep chimbuko zake.
Hii ni baada ya machafuko kushamiri
Na ikumbukwe mitume yoote inazaliwa sehemu iliyoshamiri machafuko(dhambi). Kwa lengo moja tu sote tunalifahamu.
KWAHIYO.
Haijalishi kitabu gani kilitangulia kuja na kipi Cha mwisho kuja.
Cha Ukweli na uongo hauthibitishwi kwa hoja dhaifu Kama hiyo.
Bali ni kwa uchambuzi wa kiundani baina ya pande zote mbili (breaking down kila hoja na kulinganisha kwenye vitabu vyote viwili)
Uje na maswali yako, ya :
*Kwanini
*Ilianzia wapi
*Na kina Nani.
*Reference yake ipo wp au ipi
*Etc
Mungu alishaweka bayana kwenye vitabu vyake vyote kwamba DINI gani aliyoiteremsha.
NB,
Ibrahim hakuanzisha DINI ya uyahudi yule ni mtume, hakuna mtume yoyote anaeanzisha DINI yke isipokua anafwata maamrisho na aliyemtuma Kuna DINI aliamrishwa aifwate na aliikuta tangu anazaliwa ileee ya kina enock(Idrissa) mpka ikamkuta yy na watu wake.
Uyahudi ulikuja kutoka kwa watoto wa Israel(yakobo) 12 sons na namna walivyoianzisha kwa lengo gani kwani Babu yao Ibrahim alikua na DINI yake na pia baba zao pia walikua na DINI yao ileee kutoka Ibrahim (their dad)
Mungu kateremsha DINI moja tu
Hajaongeza nyingine zaid ya hyo
Kwa mitume yake yote kwa lugha tofauti maeneo tofauti kwa watu maalum nyakati tofauti kwa LENGO moja tu.
End.
Imeelezea saana watu wa kitabu waliopita(wayahhudi na Christians)
(cc. Suratul imraan) na namna walivyoghushi au plagiarism maneno ya Mungu.soma Sana tafsiri yke utaielewa in deep chimbuko zake.
Hii ni baada ya machafuko kushamiri
Na ikumbukwe mitume yoote inazaliwa sehemu iliyoshamiri machafuko(dhambi). Kwa lengo moja tu sote tunalifahamu.
KWAHIYO.
Haijalishi kitabu gani kilitangulia kuja na kipi Cha mwisho kuja.
Cha Ukweli na uongo hauthibitishwi kwa hoja dhaifu Kama hiyo.
Bali ni kwa uchambuzi wa kiundani baina ya pande zote mbili (breaking down kila hoja na kulinganisha kwenye vitabu vyote viwili)
Uje na maswali yako, ya :
*Kwanini
*Ilianzia wapi
*Na kina Nani.
*Reference yake ipo wp au ipi
*Etc
Mungu alishaweka bayana kwenye vitabu vyake vyote kwamba DINI gani aliyoiteremsha.
NB,
Ibrahim hakuanzisha DINI ya uyahudi yule ni mtume, hakuna mtume yoyote anaeanzisha DINI yke isipokua anafwata maamrisho na aliyemtuma Kuna DINI aliamrishwa aifwate na aliikuta tangu anazaliwa ileee ya kina enock(Idrissa) mpka ikamkuta yy na watu wake.
Uyahudi ulikuja kutoka kwa watoto wa Israel(yakobo) 12 sons na namna walivyoianzisha kwa lengo gani kwani Babu yao Ibrahim alikua na DINI yake na pia baba zao pia walikua na DINI yao ileee kutoka Ibrahim (their dad)
Mungu kateremsha DINI moja tu
Hajaongeza nyingine zaid ya hyo
Kwa mitume yake yote kwa lugha tofauti maeneo tofauti kwa watu maalum nyakati tofauti kwa LENGO moja tu.
End.