Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Quran iliteremshwa kusummarize vitabu vyoote vilivyotangulia (torati, suhfi ya Ibrahim, injili) kwa mtume wake wa mwisho (cc. Suratul tafswiila)

Imeelezea saana watu wa kitabu waliopita(wayahhudi na Christians)
(cc. Suratul imraan) na namna walivyoghushi au plagiarism maneno ya Mungu.soma Sana tafsiri yke utaielewa in deep chimbuko zake.

Hii ni baada ya machafuko kushamiri
Na ikumbukwe mitume yoote inazaliwa sehemu iliyoshamiri machafuko(dhambi). Kwa lengo moja tu sote tunalifahamu.

KWAHIYO.
Haijalishi kitabu gani kilitangulia kuja na kipi Cha mwisho kuja.
Cha Ukweli na uongo hauthibitishwi kwa hoja dhaifu Kama hiyo.
Bali ni kwa uchambuzi wa kiundani baina ya pande zote mbili (breaking down kila hoja na kulinganisha kwenye vitabu vyote viwili)

Uje na maswali yako, ya :
*Kwanini
*Ilianzia wapi
*Na kina Nani.
*Reference yake ipo wp au ipi
*Etc

Mungu alishaweka bayana kwenye vitabu vyake vyote kwamba DINI gani aliyoiteremsha.

NB,
Ibrahim hakuanzisha DINI ya uyahudi yule ni mtume, hakuna mtume yoyote anaeanzisha DINI yke isipokua anafwata maamrisho na aliyemtuma Kuna DINI aliamrishwa aifwate na aliikuta tangu anazaliwa ileee ya kina enock(Idrissa) mpka ikamkuta yy na watu wake.

Uyahudi ulikuja kutoka kwa watoto wa Israel(yakobo) 12 sons na namna walivyoianzisha kwa lengo gani kwani Babu yao Ibrahim alikua na DINI yake na pia baba zao pia walikua na DINI yao ileee kutoka Ibrahim (their dad)

Mungu kateremsha DINI moja tu
Hajaongeza nyingine zaid ya hyo
Kwa mitume yake yote kwa lugha tofauti maeneo tofauti kwa watu maalum nyakati tofauti kwa LENGO moja tu.

End.
 
Quran iliteremshwa kusummarize vitabu vyoote vilivyotangulia (torati, suhfi ya Ibrahim, injili) kwa mtume wake wa mwisho (cc. Suratul tafswiila)

Imeelezea saana watu wa kitabu waliopita(wayahhudi na Christians)
(cc. Suratul imraan) na namna walivyoghushi au plagiarism maneno ya Mungu.soma Sana tafsiri yke utaielewa in deep chimbuko zake.

Hii ni baada ya machafuko kushamiri
Na ikumbukwe mitume yoote inazaliwa sehemu iliyoshamiri machafuko(dhambi). Kwa lengo moja tu sote tunalifahamu.

KWAHIYO.
Haijalishi kitabu gani kilitangulia kuja na kipi Cha mwisho kuja.
Cha Ukweli na uongo hauthibitishwi kwa hoja dhaifu Kama hiyo.
Bali ni kwa uchambuzi wa kiundani baina ya pande zote mbili (breaking down kila hoja na kulinganisha kwenye vitabu vyote viwili)

Uje na maswali yako, ya :
*Kwanini
*Ilianzia wapi
*Na kina Nani.
*Reference yake ipo wp au ipi
*Etc

Mungu alishaweka bayana kwenye vitabu vyake vyote kwamba DINI gani aliyoiteremsha.

NB,
Ibrahim hakuanzisha DINI ya uyahudi yule ni mtume, hakuna mtume yoyote anaeanzisha DINI yke isipokua anafwata maamrisho na aliyemtuma Kuna DINI aliamrishwa aifwate na aliikuta tangu anazaliwa ileee ya kina enock(Idrissa) mpka ikamkuta yy na watu wake.

Uyahudi ulikuja kutoka kwa watoto wa Israel(yakobo) 12 sons na namna walivyoianzisha kwa lengo gani kwani Babu yao Ibrahim alikua na DINI yake na pia baba zao pia walikua na DINI yao ileee kutoka Ibrahim (their dad)

Mungu kateremsha DINI moja tu
Hajaongeza nyingine zaid ya hyo
Kwa mitume yake yote kwa lugha tofauti maeneo tofauti kwa watu maalum nyakati tofauti kwa LENGO moja tu.

End.
Quran haina uhusiano wowote na biblia mkuu. Kile ni kitabu kipya chenye maneno yanayofanana baadhi na ya biblia.
 
Wanabodi,

Leo ni sikukuu ya Eid El Haji, Iddi ya Kuchinja.

Leo ni siku ya Sikukuu ya Idd El Haj, ni iddi ya kuchinja, asubuhi nilikuwa naangalia matangazo ya mubashara ya Baraza la Iddi kupitia TBC, kutoka Msikiti wa Mfalme Mohammed VI wa Morroco, Bwakwata, Kinondoni jijini Dar es Salaam, kumbe Msikiti Mkuu wa Bakwata, sasa umebadilishwa jina!, na kupewa jina la Mfalme wa Morroco!

Mgeni rasmi kwenye Baraza la Iddi ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa, ambaye ameandamana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ambaye amesilimishwa na kupewa jina la Aboubakar Chalamila!, na mawaziri akiwemo Waziri Mhe. Mohamed Mchengerwa. Baadhi ya watu maarufu niliowaona ni pamoja na Alhaj Sheikh Ali Nguruko, Alhaj Chande, Idda Azan, Shaweji Abdalah, Salum Mwalimu, Juma Simba Gadafi, Salum Abladaha "TRY Again", Katibu Mkuu wa Bakwata, Sheikh Mruma, Kadhi wa Dar es Salaam, Shamin Khan, mwenyekiti wa JUAKITA, pia kulikuwa na mabalozi wa Balozi wa Moroko, na wa Comoro.

Katika salam zake, Sheikh Aboubakar Chalamila alisema utulivu wa jiji la Dar es Salaam, unawategemea sana viongozi wa Dini.

Salaam za Waislamu, zimetolewa na Alhaj Sheikh Nuru Mruma, Katibu Mkuu wa Bakwata ambaye amewasisitiza Waislamu kudumisha amani na kuilinda amani. Wazazi watakiwa kulea watoto wao kwa tabia njema, kujenga taifa la kizazi cha watu wema ambao hawatapokea rushwa wala kufanya ufisadi.

Amesema kupanda miti na utunzaji wa mazingira ni ibada muhimu kwa Waismamu wote.

Pia amewataka Waislamu kujitokeza kwa wingi, kujiandikisha kwenye uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura na wametakiwa kujitokeza kwa wingi kutumia haki yao ya kidemokrasia kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.

Salaam za Mufti, zimetolewa na Kaimu Mufti Sheikh Ali Muhidin Mporogore, Mjumbe wa Baraza la Maulamaa wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania, Bwakwata. Aamezungumzia Watanzania tutafakari, sadaka ya kuchinja siku ya Iddi El Haj, ni iddi ya kuchinja. Zamani ilikuwa sio kuchinja tuu wanyama, bali walichinja hata binadamu ana akatolea mfano Sadaka ya Nabii Ibrahim kutaka kumtoa mwanae Ismail, kwa sadaka ya kuchinja.

Hakuna ubishi kuhusu Wakristo na Waislamu, kuwa ni watoto wa Baba mmoja, Nabii Ibrahim hivyo huu ni uthibitisho wa Mungu wa Wakristo na Waislamu ni Mungu Mmoja, na sheria za dini hizi zote mbili Wakristu na Waislamu, ni sheria moja ile ile ya Musa, ila kuna watu wanafundishwa ukweli na kuna watu wanadanganywa!.

Hakuna ubishi kuwa mtoto wa kwanza wa Ibrahim ni Ismail aliyezaa na mjakazi wa Kimisri, Hagir, na Isaka ni mtoto wa pili wa Ibrahim, aliyemzaa na mkewe Sarah.

Hakuna ubishi Ibrahim alitaka kumtoa mtoto wake Sadaka ya kuchinja.

Waislamu na Kitabu chao Kitukufu cha Quran Tukufu, kinamtaja mtoto huyo aliyetaka kutolewa sadaka ya kuchinja ni Ismail. Wakristo na Kitabu chao Kitakatifu cha Biblia Takatifu, kinamtaja mtoto huyo aliyetaka kutolewa sadaka ya kuchinja ni Isaka.

Je, ukweli halisi ni upi? Hii maana yake. Kama tukio la Ibrahim kutaka kumchinja mwanae kumtoa sadaka ni tukio moja, then

1. Hii maana yake ni kuna watu wanadanganywa, haiwezekani kwa Waislamu mtoto huyo awe ni Ismail na kwa Wakristu mtoto huyo awe ni Isaka, hii maana yake kuna kitabu hapo kinasema kweli na kuna kitabu kinasema uongo!, jee ukweli ni upi?

Umuhimu wa kuujua ukweli huu, unakupa fursa ya kujua ukweli ni upi, hivyo ufuate mafundisho yapi ambayo ndio mafundisho ya kweli!

Bandiko hili linakutaka kwanza uwe open minded, kama wewe ni mfia dini, unaamini dini yako ni ya ukweli mtupu, bandiko hili halikufai.

Pili unatakiwa uwe na ngozi ngumu ya kuukubali ukweli halisi hata uwe mchungu vipi!, ikitokea ni dini yako unayoiamini kuwa ni dini ya kweli, kumbe ni dini ya uongo, uwe na uwezo wa kustahimili maana.

Nawatakia Waislamu wote,
Iddi Mubarak njema ya kuchinja.

Paskal
MUNGU WA WAISLAMU NA WAKRISTO SI MMOJA. NI MIUNGU WAWILI TOFAUTI.
 
Quran iliteremshwa kusummarize vitabu vyoote vilivyotangulia (torati, suhfi ya Ibrahim, injili) kwa mtume wake wa mwisho (cc. Suratul tafswiila)

Imeelezea saana watu wa kitabu waliopita(wayahhudi na Christians)
(cc. Suratul imraan) na namna walivyoghushi au plagiarism maneno ya Mungu.soma Sana tafsiri yke utaielewa in deep chimbuko zake.

Hii ni baada ya machafuko kushamiri
Na ikumbukwe mitume yoote inazaliwa sehemu iliyoshamiri machafuko(dhambi). Kwa lengo moja tu sote tunalifahamu.

KWAHIYO.
Haijalishi kitabu gani kilitangulia kuja na kipi Cha mwisho kuja.
Cha Ukweli na uongo hauthibitishwi kwa hoja dhaifu Kama hiyo.
Bali ni kwa uchambuzi wa kiundani baina ya pande zote mbili (breaking down kila hoja na kulinganisha kwenye vitabu vyote viwili)

Uje na maswali yako, ya :
*Kwanini
*Ilianzia wapi
*Na kina Nani.
*Reference yake ipo wp au ipi
*Etc

Mungu alishaweka bayana kwenye vitabu vyake vyote kwamba DINI gani aliyoiteremsha.

NB,
Ibrahim hakuanzisha DINI ya uyahudi yule ni mtume, hakuna mtume yoyote anaeanzisha DINI yke isipokua anafwata maamrisho na aliyemtuma Kuna DINI aliamrishwa aifwate na aliikuta tangu anazaliwa ileee ya kina enock(Idrissa) mpka ikamkuta yy na watu wake.

Uyahudi ulikuja kutoka kwa watoto wa Israel(yakobo) 12 sons na namna walivyoianzisha kwa lengo gani kwani Babu yao Ibrahim alikua na DINI yake na pia baba zao pia walikua na DINI yao ileee kutoka Ibrahim (their dad)

Mungu kateremsha DINI moja tu
Hajaongeza nyingine zaid ya hyo
Kwa mitume yake yote kwa lugha tofauti maeneo tofauti kwa watu maalum nyakati tofauti kwa LENGO moja tu.

End.
Kwa nini ulinganishe Biblia na Quran? Havina uhusiano. Mungu wa Bible siyo wa Quran
 
Kwa nini ulinganishe Biblia na Quran? Havina uhusiano. Mungu wa Bible siyo wa Quran

Umefanya vizur kuuliza,
Soma vizur apo juu hakuna sehemu nliyotaja Bible, nimetaja injili na injili ni kitabu Cha Mungu na kipo ndani ya. Quran na ushahid upo 100%.

Ila Sasa sio Bible kwn hakuna kitabu kinachoitwa Bible sio ndani ya Quran tu hata ndani ya biblia yenyewe hakuna mahali imetaja Bible 💯 kama una ushahidi unao leta, Bali ni neno injili ndo limetajwa

Bible ni Greece name wanasababu yao wenyewe kuita hvy.
Na hakuna mahali Mungu kataja Hilo neno

Swali,
Hyo injili ipi inayozongumziwa ya enzi hii (new versions) au ile ya zamani the pure one wenyewe wanaiita "agano la kale".

NB,
Mungu wa injili ndo huyohuyo wa Quran na humohumo kashusha kanuni moja tu(DINI) ya kufuatwa.

Kasome vizur injili (the pure one)
Na Quran (ileile haijabadilika ya 1400yrs iliyopita).

Kafukue hyo

End**
 
Quran iliteremshwa kusummarize vitabu vyoote vilivyotangulia (torati, suhfi ya Ibrahim, injili) kwa mtume wake wa mwisho (cc. Suratul tafswiila)

Imeelezea saana watu wa kitabu waliopita(wayahhudi na Christians)
(cc. Suratul imraan) na namna walivyoghushi au plagiarism maneno ya Mungu.soma Sana tafsiri yke utaielewa in deep chimbuko zake.

Hii ni baada ya machafuko kushamiri
Na ikumbukwe mitume yoote inazaliwa sehemu iliyoshamiri machafuko(dhambi). Kwa lengo moja tu sote tunalifahamu.

KWAHIYO.
Haijalishi kitabu gani kilitangulia kuja na kipi Cha mwisho kuja.
Cha Ukweli na uongo hauthibitishwi kwa hoja dhaifu Kama hiyo.
Bali ni kwa uchambuzi wa kiundani baina ya pande zote mbili (breaking down kila hoja na kulinganisha kwenye vitabu vyote viwili)

Uje na maswali yako, ya :
*Kwanini
*Ilianzia wapi
*Na kina Nani.
*Reference yake ipo wp au ipi
*Etc

Mungu alishaweka bayana kwenye vitabu vyake vyote kwamba DINI gani aliyoiteremsha.

NB,
Ibrahim hakuanzisha DINI ya uyahudi yule ni mtume, hakuna mtume yoyote anaeanzisha DINI yke isipokua anafwata maamrisho na aliyemtuma Kuna DINI aliamrishwa aifwate na aliikuta tangu anazaliwa ileee ya kina enock(Idrissa) mpka ikamkuta yy na watu wake.

Uyahudi ulikuja kutoka kwa watoto wa Israel(yakobo) 12 sons na namna walivyoianzisha kwa lengo gani kwani Babu yao Ibrahim alikua na DINI yake na pia baba zao pia walikua na DINI yao ileee kutoka Ibrahim (their dad)

Mungu kateremsha DINI moja tu
Hajaongeza nyingine zaid ya hyo
Kwa mitume yake yote kwa lugha tofauti maeneo tofauti kwa watu maalum nyakati tofauti kwa LENGO moja tu.

End.

View: https://youtu.be/gorcsGej9p4?si=_t-vf3z9_U7w7XXq

The 20 Versions of the Qur'an today. (7 are recorded in the Hadith.)

https://homework.study.com/explanat...r and Explanation:,Yes, the Quran has changed.
 


Hahahaha Eti 20 versions of Quran

Hzo ni mbinu tu za wapotoshaji wa upande mwingine waliovaa Joho la uislam na ndo malengo yao sio wote, Ila baadhi yao .

Lengo ni upandikishaji wa chuki dhidi ya DINI husika. Na wamelishindwa hlo
Sabab kila ikibadilishwa haileti maana ya tafsiri kwenye chapter.

Yy mwenyewe kashasema kamwe hakuna atakayeweza kubadilisha maneno yake.
Sababu Kwanza ina complexity ya ajabu kwenye kuichambua


Chukua hii,
Hakuna Muslim pure na hatokuja kutokea na usitarajie hlo, ambae atakuja kufanya huo upuuzi uliotuma apo juu.
KWAHIYO endelea kujifariji hvyhvy

Sabab hakuna atakayekuja kusomesha huo ujinga waislam wakamuelewa, incase ametaka kifo Cha kujitakia mwenyewe

So huo ni uzushi wa wapuuzi wachache kwenye jamii yenye chuki

Kwa masikitiko makubwa ningependa kusema kwamba hzo version uchwara hakuna mtoto anaefundishwa darasan wala uchochoroni
Na hatokuja kutokea.

NB
Ww huna hoja ya kuitetea point yako, umeleta hoja finyu isiyofikirisha na kuelimisha jamii.

Nikupe Siri, kiukwel hii ndo Mara yng ya Kwanza kuskia huu Utopolo,
Hata shetani mwenyewe anancheka nimepitwa na wakat

End***
 
Back
Top Bottom