Japo wewe si John Pombe Magufuli, ungekuwa yeye na ukafufuka ungefanya nini?

Japo wewe si John Pombe Magufuli, ungekuwa yeye na ukafufuka ungefanya nini?

Mawaziri wote, MaRC na MaDED wote nafukuzia mbali. Kumbe hawakunipenda kwa sababu ya Mapenzi na Utikadi zangu bali walinipenda kwa sababu ya pesa zangu na vyeo nilivyowapa.

Tatu napasua Tume ya uchaguzi, nafukua Taasis ya usalama wa Taifa na IGP nafukuzia mbali.
Watu walifuata line ya kujiingizia kipato tu hakukuwa na cha hapa kazi tu bali hapa fweeza tu
 
Nawasalimu wana jamvi kwa jina la Jamii Forums. Hayati JP Magufuli hatafufuka. Hypothetically, kama ingekuwa inawezekana kufufuka, na kama ungekuwa wewe ungefanya nini baada ya kufufuka. Je ungemuita Harbinder Setih Singh na James Rugemalira Ikulu na kuwapa nishani au kuwazaba makofi na kuamuru warejeshwe korokoni. Je ungemwambia nini Dkt Bashiru Ally Kakurwa na Hamphrey Polepole bila kusahau Medard Kalemani? Je ungeongeaje na Rais SSH usawa huu? Je ungewaambia nini wamachinga? Je ungeshughulikiaje tetesi kuwa ule ujambazi wa kutisha wa Bandari ya Bagamoyo umehalalishwa? Je ungemteua nani kuwa makamu wako? Je ungeanza kufanya jambo gani? Maswali ni mengi na ni mawazo tu. Naomba kuwasilisha.
maxresdefault.jpg
Binafsi sina cha maana cha kumkumbuka,ujue nikiangalia namba anazofanya Hangaya ni dhahiri miaka yote 6 tulipigwa..

Tuliaminishwa hakuna kama yeye sijui nini wakati Chief Hangaya kafanya a big deal kwa mda mfupi Sana.

Ukichukua Miezi 6 ya Hangaya VS Miezi 6 ya Mwendazake ni wazi Mwendazake kafunikwa parefu..

Propaganda ni mbaya sana,imagine vituo vya afya 220 vya tozo plus 200 vya pesa ya Covid,Magu atuambie pesa za covid bil.600 alizifanyia nini? Maana mwenzie tuneona anachozifanyia.

Mtoa mada una hangover.
 
Ningefungia mitandao yote kwanza.
 
Kuna aliyemsumbua asipumzike?
This is too much, mwacheni JPM apumzike kwa amani, na kwa vile kule yeye ameitwa na no one knows kule kwa sasa amepewa madaraka gani, one thing for sure kwa sisi waumini wa life after life, tunaamini anayaona yote, hivyo kama haridhiki na kinachoendelea kwenye ile iliyokuwa Tanzania yake, then anaweza kumwambia Naniliu akaendelea kuita watu kwake!.

P
 
Dah, nimeona maneno "JPM kafufuka" nikashtuka sana. Mungu aendelee kumpumzisha🙏
 
This is too much, mwacheni JPM apumzike kwa amani, na kwa vile kule yeye ameitwa na no one knows kule kwa sasa amepewa madaraka gani, one thing for sure kwa sisi waumini wa life after life, tunaamini anayaona yote, hivyo kama haridhiki na kinachoendelea kwenye ile iliyokuwa Tanzania yake, then anaweza kumwambia Naniliu akaendelea kuita watu kwake!.

P
Porojo
 
This is too much, mwacheni JPM apumzike kwa amani, na kwa vile kule yeye ameitwa na no one knows kule kwa sasa amepewa madaraka gani, one thing for sure kwa sisi waumini wa life after life, tunaamini anayaona yote, hivyo kama haridhiki na kinachoendelea kwenye ile iliyokuwa Tanzania yake, then anaweza kumwambia Naniliu akaendelea kuita watu kwake!.

P
We jamaa jinga sana yaanibsijawahi kufikiria. Eti huwezibjua kuwa kulevamepewa madaraka gani...
 
This is too much, mwacheni JPM apumzike kwa amani, na kwa vile kule yeye ameitwa na no one knows kule kwa sasa amepewa madaraka gani, one thing for sure kwa sisi waumini wa life after life, tunaamini anayaona yote, hivyo kama haridhiki na kinachoendelea kwenye ile iliyokuwa Tanzania yake, then anaweza kumwambia Naniliu akaendelea kuita watu kwake!.

P
Sioni tatizo, Ni imagination tu ambazo hata hivyo haziwezi kuwa reality tena.
 
Ningemwomba Mungu kabla hajanirudisha duniani aniahidi kuwa cheo changu cha kuongoza malaika hatampa mtu mpaka pale nitakaporejea tena.
 
Nawasalimu wana jamvi kwa jina la Jamii Forums. Hayati JP Magufuli hatafufuka. Hypothetically, kama ingekuwa inawezekana kufufuka, na kama ungekuwa wewe ungefanya nini baada ya kufufuka. Je ungemuita Harbinder Setih Singh na James Rugemalira Ikulu na kuwapa nishani au kuwazaba makofi na kuamuru warejeshwe korokoni. Je ungemwambia nini Dkt Bashiru Ally Kakurwa na Hamphrey Polepole bila kusahau Medard Kalemani? Je ungeongeaje na Rais SSH usawa huu? Je ungewaambia nini wamachinga? Je ungeshughulikiaje tetesi kuwa ule ujambazi wa kutisha wa Bandari ya Bagamoyo umehalalishwa? Je ungemteua nani kuwa makamu wako? Je ungeanza kufanya jambo gani? Maswali ni mengi na ni mawazo tu. Naomba kuwasilisha.
maxresdefault.jpg
Ila wasukuma mnaangaika sana, the Sadist is dead, accept it.
 
Nawasalimu wana jamvi kwa jina la Jamii Forums. Hayati JP Magufuli hatafufuka. Hypothetically, kama ingekuwa inawezekana kufufuka, na kama ungekuwa wewe ungefanya nini baada ya kufufuka. Je ungemuita Harbinder Setih Singh na James Rugemalira Ikulu na kuwapa nishani au kuwazaba makofi na kuamuru warejeshwe korokoni. Je ungemwambia nini Dkt Bashiru Ally Kakurwa na Hamphrey Polepole bila kusahau Medard Kalemani? Je ungeongeaje na Rais SSH usawa huu? Je ungewaambia nini wamachinga? Je ungeshughulikiaje tetesi kuwa ule ujambazi wa kutisha wa Bandari ya Bagamoyo umehalalishwa? Je ungemteua nani kuwa makamu wako? Je ungeanza kufanya jambo gani? Maswali ni mengi na ni mawazo tu. Naomba kuwasilisha.
maxresdefault.jpg
asee jambo la 1 ningekuja jf halaf niangalie comment na majina mapya niliopewa baada ya kufa then ningeomba umma samahan
 
Siku za uhai wake kwenye mgongo wa dunia zilikwisha na akapelekwa kuanza maisha mengine ndani ya tumbo la dunia huku akisubiri siku ya hesabu,na hii na kwa sisi soote.
Aslan abadan hatoweza rudi kwenye mgongo wa dunia,hivyo basi hakuna haja ya kujidanganya kwa lolote lile.
Angalia shani ya Mwenyezimungu...mtoto anazaliwa na mama yake anakufa lakini mtoto analelewa na wengine mpaka anakuwa.
 
Back
Top Bottom