Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Watu walifuata line ya kujiingizia kipato tu hakukuwa na cha hapa kazi tu bali hapa fweeza tuMawaziri wote, MaRC na MaDED wote nafukuzia mbali. Kumbe hawakunipenda kwa sababu ya Mapenzi na Utikadi zangu bali walinipenda kwa sababu ya pesa zangu na vyeo nilivyowapa.
Tatu napasua Tume ya uchaguzi, nafukua Taasis ya usalama wa Taifa na IGP nafukuzia mbali.