Watu walifuata line ya kujiingizia kipato tu hakukuwa na cha hapa kazi tu bali hapa fweeza tuMawaziri wote, MaRC na MaDED wote nafukuzia mbali. Kumbe hawakunipenda kwa sababu ya Mapenzi na Utikadi zangu bali walinipenda kwa sababu ya pesa zangu na vyeo nilivyowapa.
Tatu napasua Tume ya uchaguzi, nafukua Taasis ya usalama wa Taifa na IGP nafukuzia mbali.
HiiiiiiiiiiiiiNAKUFA TENA ...MAANA SITAWEZA KUVUMILIA YANAYOENDELEA.
Binafsi sina cha maana cha kumkumbuka,ujue nikiangalia namba anazofanya Hangaya ni dhahiri miaka yote 6 tulipigwa..Nawasalimu wana jamvi kwa jina la Jamii Forums. Hayati JP Magufuli hatafufuka. Hypothetically, kama ingekuwa inawezekana kufufuka, na kama ungekuwa wewe ungefanya nini baada ya kufufuka. Je ungemuita Harbinder Setih Singh na James Rugemalira Ikulu na kuwapa nishani au kuwazaba makofi na kuamuru warejeshwe korokoni. Je ungemwambia nini Dkt Bashiru Ally Kakurwa na Hamphrey Polepole bila kusahau Medard Kalemani? Je ungeongeaje na Rais SSH usawa huu? Je ungewaambia nini wamachinga? Je ungeshughulikiaje tetesi kuwa ule ujambazi wa kutisha wa Bandari ya Bagamoyo umehalalishwa? Je ungemteua nani kuwa makamu wako? Je ungeanza kufanya jambo gani? Maswali ni mengi na ni mawazo tu. Naomba kuwasilisha.
This is too much, mwacheni JPM apumzike kwa amani, na kwa vile kule yeye ameitwa na no one knows kule kwa sasa amepewa madaraka gani, one thing for sure kwa sisi waumini wa life after life, tunaamini anayaona yote, hivyo kama haridhiki na kinachoendelea kwenye ile iliyokuwa Tanzania yake, then anaweza kumwambia Naniliu akaendelea kuita watu kwake!.
PLife After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwa naweletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni kuhusu dhana ya kitu kinachoitwa "Life after Life", ambapo najikita kwenye maswali haya Je, wajua kuwa, binadamu hata baada ya kufa, bado anaendelea kuishi?. Mfano rais...www.jamiiforums.com
Kila nabii na kitabu chake.
PorojoThis is too much, mwacheni JPM apumzike kwa amani, na kwa vile kule yeye ameitwa na no one knows kule kwa sasa amepewa madaraka gani, one thing for sure kwa sisi waumini wa life after life, tunaamini anayaona yote, hivyo kama haridhiki na kinachoendelea kwenye ile iliyokuwa Tanzania yake, then anaweza kumwambia Naniliu akaendelea kuita watu kwake!.
PLife After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwa naweletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni kuhusu dhana ya kitu kinachoitwa "Life after Life", ambapo najikita kwenye maswali haya Je, wajua kuwa, binadamu hata baada ya kufa, bado anaendelea kuishi?. Mfano rais...www.jamiiforums.com
We jamaa jinga sana yaanibsijawahi kufikiria. Eti huwezibjua kuwa kulevamepewa madaraka gani...This is too much, mwacheni JPM apumzike kwa amani, na kwa vile kule yeye ameitwa na no one knows kule kwa sasa amepewa madaraka gani, one thing for sure kwa sisi waumini wa life after life, tunaamini anayaona yote, hivyo kama haridhiki na kinachoendelea kwenye ile iliyokuwa Tanzania yake, then anaweza kumwambia Naniliu akaendelea kuita watu kwake!.
PLife After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwa naweletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni kuhusu dhana ya kitu kinachoitwa "Life after Life", ambapo najikita kwenye maswali haya Je, wajua kuwa, binadamu hata baada ya kufa, bado anaendelea kuishi?. Mfano rais...www.jamiiforums.com
Sioni tatizo, Ni imagination tu ambazo hata hivyo haziwezi kuwa reality tena.This is too much, mwacheni JPM apumzike kwa amani, na kwa vile kule yeye ameitwa na no one knows kule kwa sasa amepewa madaraka gani, one thing for sure kwa sisi waumini wa life after life, tunaamini anayaona yote, hivyo kama haridhiki na kinachoendelea kwenye ile iliyokuwa Tanzania yake, then anaweza kumwambia Naniliu akaendelea kuita watu kwake!.
PLife After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwa naweletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni kuhusu dhana ya kitu kinachoitwa "Life after Life", ambapo najikita kwenye maswali haya Je, wajua kuwa, binadamu hata baada ya kufa, bado anaendelea kuishi?. Mfano rais...www.jamiiforums.com
Ila wasukuma mnaangaika sana, the Sadist is dead, accept it.Nawasalimu wana jamvi kwa jina la Jamii Forums. Hayati JP Magufuli hatafufuka. Hypothetically, kama ingekuwa inawezekana kufufuka, na kama ungekuwa wewe ungefanya nini baada ya kufufuka. Je ungemuita Harbinder Setih Singh na James Rugemalira Ikulu na kuwapa nishani au kuwazaba makofi na kuamuru warejeshwe korokoni. Je ungemwambia nini Dkt Bashiru Ally Kakurwa na Hamphrey Polepole bila kusahau Medard Kalemani? Je ungeongeaje na Rais SSH usawa huu? Je ungewaambia nini wamachinga? Je ungeshughulikiaje tetesi kuwa ule ujambazi wa kutisha wa Bandari ya Bagamoyo umehalalishwa? Je ungemteua nani kuwa makamu wako? Je ungeanza kufanya jambo gani? Maswali ni mengi na ni mawazo tu. Naomba kuwasilisha.
asee jambo la 1 ningekuja jf halaf niangalie comment na majina mapya niliopewa baada ya kufa then ningeomba umma samahanNawasalimu wana jamvi kwa jina la Jamii Forums. Hayati JP Magufuli hatafufuka. Hypothetically, kama ingekuwa inawezekana kufufuka, na kama ungekuwa wewe ungefanya nini baada ya kufufuka. Je ungemuita Harbinder Setih Singh na James Rugemalira Ikulu na kuwapa nishani au kuwazaba makofi na kuamuru warejeshwe korokoni. Je ungemwambia nini Dkt Bashiru Ally Kakurwa na Hamphrey Polepole bila kusahau Medard Kalemani? Je ungeongeaje na Rais SSH usawa huu? Je ungewaambia nini wamachinga? Je ungeshughulikiaje tetesi kuwa ule ujambazi wa kutisha wa Bandari ya Bagamoyo umehalalishwa? Je ungemteua nani kuwa makamu wako? Je ungeanza kufanya jambo gani? Maswali ni mengi na ni mawazo tu. Naomba kuwasilisha.
Labda malaika wa chato.Afufuke ili iweje? Amepata cheo huko anaongoza Malaika.