Bila shaka ndoa za kiislam wanandoa huwa wanafaidi sana linapokuja suala la kuongeza mke, kuoa ama kuolewa upya kwa urahisi, talaka, n.k. na haya mambo ndio penye udhaifu wa ndoa za kikristo, hata talaka tu inaweza chukua miaka, wanandoa wengi hubanana humo humo.
Ila linapokuja suala la watoto jamani hapa wakristo wapo mbali mno,
Hatari ya kukosa malezi ya baba aidha pale mzee akiongeza mke na kuhamishia majeshi yote kwa mke mpya ama kutoa talaka kwa mama yake mtoto inapungua. Baba kapigwa pini haswa, hata akitamani binti huko nje inakua ngumu kuoa upya, labda aongeze mchepuko.
Mtoto anapata amani kuona baba na mama wanaishi pamoja, hata kama wazazi wamegombana, kuna ile furaha mtoto anaipata kwamba baba yake na mama yake wanaishi pamoja.
Watoto wana uwezekano mkubwa wa kupata mahitaji muhimu kama elimu, chakula, mavazi, n.k.
Watoto wana uhakika zaidi urithi unabaki kwenye familia yao. Hata kama baba alikuwa na mchepuko na watoto wa nje ni ngumu na nadra sana kwao kuja msibani ama kugombea mali, michepuko na watoto wa nke huwa wanapewa msisitizo wasiingilie kabisa mambo ya familia kuu. Labda kama mzee aache hati ya urithi kuwajumuisha hao wengine.
Ila linapokuja suala la watoto jamani hapa wakristo wapo mbali mno,
Hatari ya kukosa malezi ya baba aidha pale mzee akiongeza mke na kuhamishia majeshi yote kwa mke mpya ama kutoa talaka kwa mama yake mtoto inapungua. Baba kapigwa pini haswa, hata akitamani binti huko nje inakua ngumu kuoa upya, labda aongeze mchepuko.
Mtoto anapata amani kuona baba na mama wanaishi pamoja, hata kama wazazi wamegombana, kuna ile furaha mtoto anaipata kwamba baba yake na mama yake wanaishi pamoja.
Watoto wana uwezekano mkubwa wa kupata mahitaji muhimu kama elimu, chakula, mavazi, n.k.
Watoto wana uhakika zaidi urithi unabaki kwenye familia yao. Hata kama baba alikuwa na mchepuko na watoto wa nje ni ngumu na nadra sana kwao kuja msibani ama kugombea mali, michepuko na watoto wa nke huwa wanapewa msisitizo wasiingilie kabisa mambo ya familia kuu. Labda kama mzee aache hati ya urithi kuwajumuisha hao wengine.