Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,672
- 9,806
Wingi wa watu sio kigezo pekee cha watu kupata elimu.
Uelewa kuhusu umuhimu wa elimu ndio msingi mkuu. Kwa hali hiyo ni wazi kwamba Kenya wana uelewa mpana kuhusu elimu kuliko hapa kwetu.
Vile vile matunda ya elimu ni kivutio kingine cha watu kusoma, hapa Tanzania wasomi wengi wanataabika mitaani baada ya kuihangaikia elimu kwa miaka kibao...inakatisha tamaa.
Uelewa kuhusu umuhimu wa elimu ndio msingi mkuu. Kwa hali hiyo ni wazi kwamba Kenya wana uelewa mpana kuhusu elimu kuliko hapa kwetu.
Vile vile matunda ya elimu ni kivutio kingine cha watu kusoma, hapa Tanzania wasomi wengi wanataabika mitaani baada ya kuihangaikia elimu kwa miaka kibao...inakatisha tamaa.