Jaribio la kigaidi kumuua Mh. Tundu Lissu, teknolojia kuwaumbua wahusika?

Jaribio la kigaidi kumuua Mh. Tundu Lissu, teknolojia kuwaumbua wahusika?

Hii ni kwa great minds to...kama wewe ni Bashite, usiendelee kusoma, unaweza kupandwa wazimu!
  • A circular polarizer will help and most vehicles have no tint on the front windshield. Position yourself to see through the front of the windshield.
  • Photographing someone through tinted car windows? If there's a strong IR light source on the other side, and IR-converted camera will see through most tints.
  • Low light photographs at ISO 12800 not the best image for printing but you can tell who it is.
Kuna watu hofu imewatanda na humu JF wanahaha kuanzisha theories za ajabu ajabu kujipa matumaini. Ukishalitilia shaka gari lililo nyuma yako, kuwapiga picha waliokaa viti vya mbele ni kama mchezo wa kitoto. Lakini hata kama windshield nayo iko tinted bado ziko njia...Bashite atajulia wapi haya?
nadhani swali la kwanza watakalo muuliza dereva mlipiga picha?...akisema ndio basi zigo lake
 
Hii ni kwa great minds to...kama wewe ni Bashite, usiendelee kusoma, unaweza kupandwa wazimu!
  • A circular polarizer will help and most vehicles have no tint on the front windshield. Position yourself to see through the front of the windshield.
  • Photographing someone through tinted car windows? If there's a strong IR light source on the other side, and IR-converted camera will see through most tints.
  • Low light photographs at ISO 12800 not the best image for printing but you can tell who it is.
Kuna watu hofu imewatanda na humu JF wanahaha kuanzisha theories za ajabu ajabu kujipa matumaini. Ukishalitilia shaka gari lililo nyuma yako, kuwapiga picha waliokaa viti vya mbele ni kama mchezo wa kitoto. Lakini hata kama windshield nayo iko tinted bado ziko njia...Bashite atajulia wapi haya?
Poteza muda
 
Hii ni kwa great minds to...kama wewe ni Bashite, usiendelee kusoma, unaweza kupandwa wazimu!
  • A circular polarizer will help and most vehicles have no tint on the front windshield. Position yourself to see through the front of the windshield.
  • Photographing someone through tinted car windows? If there's a strong IR light source on the other side, and IR-converted camera will see through most tints.
  • Low light photographs at ISO 12800 not the best image for printing but you can tell who it is.
Kuna watu hofu imewatanda na humu JF wanahaha kuanzisha theories za ajabu ajabu kujipa matumaini. Ukishalitilia shaka gari lililo nyuma yako, kuwapiga picha waliokaa viti vya mbele ni kama mchezo wa kitoto. Lakini hata kama windshield nayo iko tinted bado ziko njia...Bashite atajulia wapi haya?

Kumbe hakuna hata haja ya kuleta wapelelezi kutoka nje.
 
Tatizo tulilonalo wengi Tanzania watu wanamuona Lisu katika muonekano wa siasa zaidi, Kama vile yeye anaishi muda wote ndani ya siasa na uana sheria basi, wanasahau kuwa yeye kama binadamu wengine anaishi pia maisha mengine ya kawaida nje ya uana siasa na uana sheria, ana watu wanaompenda, wanaomchukia, kuna watu ameshakwaruzana nao nje na ndani ya siasa. Jaribu kujitathmini wewe binafsi kwenye maisha yako unakumbana na mambo gani na mangapi, Je yote yanatokana na kazi unayofanya?......Unavamiwa na vibaka ukitoka kazini utasema bosi wako kazini anahusika kisa mlikwaruzana kazini! Tanzania kuna watu bado wajinga sana wanaishi kwa kuhisihisi tu, ndio maana ushirikina upo juu sana nchi hii watu wanaishi kwa hisia hisia kuliko kisayansi ..Tuna safari ndefu sana sana kielimu na kisayansi....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani na hili ggumu?
Kumwachia Mungu sio kauli za wanaharakati wa haki za binadamu.
Kumwombea lissu pekee bila kuonyesha ni kiasi gani tumeumizwa nalo kwangu mimi bado ni nusu ya safari.
Safari kukamilika ni kuendele kupaza sauti kwao mpaka wafe kwa hofu.

Get well my friend and my representative wangu TUNDU A. LISSU
 
Tatizo sio unachokiongea ila ni jinsi unakiongea, ni km unalilia hoja za kufikirika zaidi ndizo ziwe na nguvu.Ndio maana nilishauri hapa rais atumbue tuu kitengo cha longolongo ktk office yake. Hivi ukiulizwa hao watu unaodhani ni suspect ktk maisha yake binafsi hata wa kuhisi ni nani unaweza kuwa nao au ndio ktk live interview utaanza kugombana na watu? Hata km una nia ya kudanganya tafadhali jaribu kushauri huku uki narrow down domain ili polisi waone pa kuanzia na wafikie unalotaka wafikie. Unachoongea ni comfusion kwa polisi/na CCM kuweza kuwa ktk sync na wewe. Kwa vile watakumbana na maswali mengi sana na hawatakuwa na majibu km wewe.KWa ujumla nyie wapiga ramli wa UDSM lazima mbanwe sana misuli.Dunia imewapita sana. Umetukana watu hapa, wakati ulichoandika hapa kinaongeza unknowns bila kujua watu piga ua hawatachagua unknowns,watakwenda kwenye knowns parameters na hazitokuwa upande wako. Kinachoniuma ni kwamba mna majibu ya kijinga sana, kwa kiasi mkipewa jukumu la kuokoa nchi kwa maadui wa nje.Mtatuacha ktk bahari kubwa.Na mbaya zaidi ya yote ni kwamba aliyewapa hiyo nafasi hata km aliwabeba alitegemea mgejikaza na kudhihirisha hata mnaweza kumtoa kimasomaso.
Hiyo ni dhana yake! Na katika tukio hili la kuhuzunisha, kila dhana inapaswa kuangaliwa! Tusihamanike pale mtu anapotoa mawazo yake juu ya nini anafikiri kinaweza kuwa chanzo. Mwisho wa siku dhana sahihi itajulikana na itasaidia taifa hili kuelekea pahali salama!
Tujitafakari
 
Hakuna jinsi kupitia satellite unazoom location na time kupata video za wahusika,kama walivonaswa wale waganga matapeli wa kisa cha nyoka na wizi wa gari
 
Kuna watu humu huwa wanajifanya wasomi kumbe hawana lolote msomi na mwenye kujua lugha n yule anayeweza kutoa lugha ya wengne na kuileta kwa lugha ya kwao bila kuikosea.

long live The Bold.......Sijaona kama yeye mpaka sasa JF

Watu weng ubeba vtu google na kupaste humu uku weyew wakiwa hata hawavielew vzr.... Na wala jamii yao haielew vzr.........

Mfano Max alibeba kuhusu freemasonry google akaweka humu ameshindwa yeye kutaslate kama kwel anaelewa vyema hiyo freemasonry......
.

Ya nini kudharau wenzio na we mwenyew pia ubongo wako unaishia kibaha banda la mkaaa
 
Hii ni kwa great minds to...kama wewe ni Bashite, usiendelee kusoma, unaweza kupandwa wazimu!
  • A circular polarizer will help and most vehicles have no tint on the front windshield. Position yourself to see through the front of the windshield.
  • Photographing someone through tinted car windows? If there's a strong IR light source on the other side, and IR-converted camera will see through most tints.
  • Low light photographs at ISO 12800 not the best image for printing but you can tell who it is.
Kuna watu hofu imewatanda na humu JF wanahaha kuanzisha theories za ajabu ajabu kujipa matumaini. Ukishalitilia shaka gari lililo nyuma yako, kuwapiga picha waliokaa viti vya mbele ni kama mchezo wa kitoto. Lakini hata kama windshield nayo iko tinted bado ziko njia...Bashite atajulia wapi haya?
Too late
Hehe umetupa jiwe gizani ngoja tuone nani limempata



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom