Jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) huko Kiluvya, na Maswali tata

Mkuu

Huyo Fike Wilson alishawahi kuwa bingwa wa Kickboxing Tanzania enzi hizo, baadaye akahamia kwenye masumbwi (boxing) kabla hajafungua gym pale Sinza na Kinondoni...ndio huyo hapo kwenye mlango wa gari.

Upelekezi unapaswa kuanzia kwake.
Asante kwa kielelezo muruwa
 
Wanafanya Vitu Vya Zama Za Kati Wakati Watu Tumekwisha Fika Kwenye Maendeleo ya Teknolojia,,Wanaumbuka tu kwa teknolojia
 
Kama Mbowe mwenye wafuasi mamilioni aliaçhwa aandamane peke yàke hadi kukàmatwa na polisi bila mwananchi yeyote kumsaidia unafikiri mwananchi gani angemsaidia huyo bonge asiye na wafuasi?
Umenena vyema sana Mkuu
 
Hili tukio linafikirisha sana,

Acha usenge bas andika ueleweke,unamzungumzia rostam
Mara ppp mara raia feki,jpm Samia deo bonge rwanda..hueleweki kumamae.
 
Bandari, mamlaka, vinahusiana nini na Deo Bonge?
Uhusiano upo mkubwa. Inawezekana Bonge alikosoa, aliropoka, juu ya mikataba ya bandari iliyoanza kutumika kabla haijaridhiwa Bungeni, akasikika akatafutwa. Au aligombea akadhamiria kulisemea kwa wananchi swala la bandari bado wenye hofu wangeweza kumtafuta, au unaoje ?
 
Hiyo haki huna ila pengine ulidhurumu harafu ukatumia pesa ulioyodhurumu kufinyanga haki yangu je na Mimi nikiamua kumalizana na wewe Kwa njia ninazozijua Mimi ntakuwa Sina haki?
 
Hili tukio linafikirisha sana,


Acha usenge bas andika ueleweke,unamzungumzia rostam
Mara ppp mara raia feki,jpm Samia deo bonge rwanda..hueleweki kumamae.
Tumia akili hiyo ni project pana vichwa panzi ni ngumu kuelewa
 
Wanaume wa dar hapana kwa kweli
 
Hao jamaa ni TISS
Kama hao ni TISS, basi Tanzania ina afisa usalama wazembe mno,......hao hawana mafunzo yoyote yale ya kijeshi,.....yani hapo wamekutana wote wazembe.....
 
Wanatakiwa kukemea utekaji inaonekana wana maslahi nao maana mbona hawakemei na inaonekana wahusika ni vyombo vya dola.
 
Hili tukio linafikirisha sana,


Acha usenge bas andika ueleweke,unamzungumzia rostam
Mara ppp mara raia feki,jpm Samia deo bonge rwanda..hueleweki kumamae.
Huelewi nini kwa hayo ameeleza? mbona inaeleweka na ametaja chimbuko la tatizo na namna ya kuliondoa, sasa wapi huelewi...
 
Jamaa hataki kuingilia kabisa yasiyo muhusu
View attachment 3150975
Una amini huyo atakua jaamaa wa kawaida?FYI anaeza akawa ni shushushu wa kuangalia usalama wa nje au mchomaji,uliona api mtu wa kawaida akapita kama aoni hata asishtuke kugeuza shingo.Mungu atulinde tu jamani tutokapo na tuingiapo maana ni vigumu kutambua adui yako ni nani.
 
Wewe na akili zako unajuaje huyu polisi na huyu sio. Tumia akili kidogo uliyozaliwa. Mimi nikija kwako kukwambia mimi polisi basi utakubali mimi polisi. ujingaaaaa
BOSS mimi nilikunukuu tu kwa maneno yako haya.

" kwanza siamini kama hawa ni polisi maana kama ni kweli polisi na wako kisheria wasingemuacha najuwa kuna watu wanasema walikuwa wanasema sisi polisi hiyo yoyote anaweza kusema pili toka lini polisi wakatumia gari kama ile lakini yote ni lazima polisi wawakamate hawa jamaa wawe polisi au sio polisi. "

Ndio maana nikataka unifahamishe kwa kukuuliza swali.

Kwa hiyo, kama hauamini hao si polisi wewe unaamini hao ni akina nani ?
 
We ndio mpelelezi wa hili tukio? mbona una kiherehere sana we kubwa jinga.
 
Jinsi picha toka ndani ya bar, mpaka nje. Na zile kelele, na jina la aliyetaka kutekwa, naonakama mchezo wa kuigiza.

Watu wanajuwa kupika majungu.

Mradi tukio liko polisi, tusubiri uchunguzi wao.
Kaigize na wewe, nguruwe pori.
 
Wahalifu tu kama wahalifu wengine kwa sababu sina la kuamini polisi wanaweza kuwa namna ile unakimbia majukumu yako kisheria. Kwangu mimi kikundi cha wahuni tu na wahuni wanaweza kutoka hata ndani ya polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…