Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo nayo sio njia sahihi ya kuendesha mambo KisayansiTufanye ULOZI kuwatia adabu
Kolimba tu ... Imrani Kombe mtu ambaye ni Mkurugenzi wa Usalama Taifa polisi wakamuua tu eti walimfananisha na jambazi la magari .... Baadae wakapewa msamaha wa Rais. Matukio mengi ndio maana wanawataka fomfofelia (wanavyo waita)..... Adam Malima alitolewa AK 47 mchana kweupeee na ni mwenzao, Nape mchana kweupeee na ni mwenzao ...Hawa jamaa hovyo sanaGHafla nimemkumbuka KOLIMBA
Tunashukuru kwa taarifa hii.Mkuu
Huyo Fike Wilson alishawahi kuwa bingwa wa Kickboxing Tanzania enzi hizo, baadaye akahamia kwenye masumbwi (boxing) kabla hajafungua gym pale Sinza na Kinondoni...ndio huyo hapo kwenye mlango wa gari.
Upelekezi unapaswa kuanzia kwake.
Babu yangu alinirithisha GOBORE nikalikataa...sasa naenda Tanganyika Arms kununua mguu wa kuku kuba baba yake...nikiona mtu anafanyiwa hivi nakula kichwa iwe polisi iwe nani....Lazima tufanye hivyo ndugu zanguni namsihini..leo kwako kesho kwako....Haya mambo tuyakatae, mwisho wake sio mzuri.
Baada ya katiba kumchangua mjing .. kutuongoza.Hii nchi imekuwa ni ya kijinga sana.
Mnaambiwa kila siku watz sio wakuwatetea, mwisho wa siku wanakuacha peke yako, bora ujile ugali na familia yako kuliko kupoteza muda kutetea waswahili/kondoo,Watu wanashangaa tu kama wanacheck movie badala ya kumsaidia
Namjuwa wapi Zakaria mimi, Mimi nimeuliza je Bonge anajihusisha na harakati au siasa? ili tuweze kuunga story labda kama wamedhulumiana huko au kuchukuliana wanawake? Bonge atokee aongee kwenye media nini kilitokea in details. itasaidia hizi tabia kukoma na watu tukajifunza kupitia kwake.Kwani Zakaria ni mwanaharakati!?? Si ni kiongozi mwenzao kabisa wa CCM walimfanya Nini!??
Wajinga sana wangetembeza kichapo kwa hao jamaa sasa hivi walitakiwa kuwa ICU au mortuaryWatu wanashindia utumbo wa Kuku na Miguu ya Kuku,hizo nguvu wazitoe wapi?
Tulipofikia inabidi.....Hiyo nayo sio njia sahihi ya kuendesha mambo Kisayansi
Na Pingu wamtoa wapi?Tatizo ni kwamba hata maafisa polisi wa ukweli wapo wanaoenda kukamata watu wakiwa wamevaa kiraia na wanatumia magari binafsi...
Hii ni loophole ambayo wahalifu wanaweza kuitumia pia...
Yaani kila mtu afanye anavyo taka kweli?Sitaki kuamini kwamba kuna viongozi na Watanzania wenzetu wamekaa maofisini,wameamua kuipeleka nchi yetu shimoni namna hii... Kiukweli haijanitokea kwangu wala ndugu,jamaa au rafiki wa karibu lakini kila nikiona/kusikia hivyo vitendo nasisimkwa mwili.
Hivi kiukweli tumeamua kabisa ku-frame nchi yetu ktk staili hii?
Haijawa leo tuongee ukweli mambo haya yalianza awamu ya 5 sana tu lakini hakuna aliyethubutu kutoka na kukemea ni awamu ya watu kupotea ilikuwa sio kawaida na wengi mpaka leo hatujui wako wapi. Ila yule mwamba hakuna aliyeweza kuhoji hakuna hata mmoja kimyaaaaaaa sio padre, sio shekh sio mwanaharakatiBaada ya katiba kumchangua mjing .. kutuongoza.
Ni yupi hapo katika haoMkuu
Huyo Fike Wilson alishawahi kuwa bingwa wa Kickboxing Tanzania enzi hizo, baadaye akahamia kwenye masumbwi (boxing) kabla hajafungua gym pale Sinza na Kinondoni...ndio huyo hapo kwenye mlango wa gari.
Upelekezi unapaswa kuanzia kwake.
Those two men who attempted to abduct the guy, their faces are clearly seen, and therefore it is easy to trace them after a wide publication of their faces on social mediaPolisi gani unao waongelea hapa!??....