Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Uko correct.Nnachihisi,
Secret service walimuona ila wakawa hawana uhakika na lengo lake, that's why aliposhoot nae hawakumkawiza wakamshoot maana tyr alishakua kwny range yao
Nnachihisi,
Secret service walimuona ila wakawa hawana uhakika na lengo lake, that's why aliposhoot nae hawakumkawiza wakamshoot maana tyr alishakua kwny range yao
Kiprotocol inapohusu ulinzi eneo hilo secret service walitakiwa wahakikishe juu ya hizo rooftops za majengo yote karibu na campaign ilikuwa inafanyika kuna ulinzi wa kutoshaNnachihisi,
Secret service walimuona ila wakawa hawana uhakika na lengo lake, that's why aliposhoot nae hawakumkawiza wakamshoot maana tyr alishakua kwny range yao
Jamaa hakupaswa kabisa kuwa na open line of sight.
Kulikuwa na security lapse hapo ambayo itabidi itolewe maelezo.
Kiprotocol inapohusu ulinzi eneo hilo secret service walitakiwa wahakikishe juu ya hizo rooftops za majengo yote karibu na campaign ilikuwa inafanyika kuna ulinzi wa kutosha
Wabongo huwa wanadhani Secret Service ni CIA na FBI 🤣.Labda waliambiwa wawe kwenye majengo mengine isipokuwa alilokuwa gunmanView attachment 3041849
Yeah hii ni protocal kwa Marekani
Hata Obama alipokuja hapa Tanzania ilikuwa hivyo pia tulijionea Secret Service Agents walivyotapakaa kwenye rooftops za majengo
Wabongo huwa wanadhani Secret Service ni CIA na FBI 🤣.
Halafu eti Washington Post wanasema secret service aliye muua shooter ali save a former President life. Former president alipona kwa sababu jamaa hakulenga body mass, siyo secret service. Jamaa angelenga body mass sasa hivi tungekuwa tunaimba parapanda.Jamaa hakupaswa kabisa kuwa na open line of sight namna hiyo.
Kulikuwa na security lapse hapo ambayo itabidi itolewe maelezo.
Kiongozi,jeshin una nyota ngap?Jamaa hakupaswa kabisa kuwa na open line of sight namna hiyo.
Kulikuwa na security lapse hapo ambayo itabidi itolewe maelezo.
Hahaaaaa kwa nini?Kiongozi,jeshin una nyota ngap?
Umefanya uchambuz Kama ni mpelelez wa kikoreaHahaaaaa kwanini?
Sorry mkuuNnachihisi,
Secret service walimuona ila wakawa hawana uhakika na lengo lake, that's why aliposhoot nae hawakumkawiza wakamshoot maana tyr alishakua kwny range yao
Kama kuna ukweli fulaniLabda waliambiwa wawe kwenye majengo mengine isipokuwa alilokuwa gunman