George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Hili jaribio la kumuua Trump akiwa katika kampeni linafikirisha sana.
Madhara ya kumuua Trump akiwa katika kampeni yangekuwa makubwa sana, kifo cha Trump kingeweza kupelekea machafuko makubwa sana ndani ya Marekani, pengine ingeweza kupelekea kutokea kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe (Civil war).
Nani muhusika wa mpango huu wa kumuua Trump, ni Marekani wenyewe? Kama ni Marekani wenyewe, ina maana walikuwa tayari kupokea madhara ya kumuua Trump ikiwemo Civil war? Sitaki kuamini kama Wamarekani ni wajinga kiasi hiki.
Au inawezekana kuna mkono wa nje katika mpango huu wa kumuua Trump, ebu tujaribu kufikiri ni nani angekuwa mnufaika mkubwa endapo Marekani ingeingia katika “Civil war”?
Madhara ya kumuua Trump akiwa katika kampeni yangekuwa makubwa sana, kifo cha Trump kingeweza kupelekea machafuko makubwa sana ndani ya Marekani, pengine ingeweza kupelekea kutokea kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe (Civil war).
Nani muhusika wa mpango huu wa kumuua Trump, ni Marekani wenyewe? Kama ni Marekani wenyewe, ina maana walikuwa tayari kupokea madhara ya kumuua Trump ikiwemo Civil war? Sitaki kuamini kama Wamarekani ni wajinga kiasi hiki.
Au inawezekana kuna mkono wa nje katika mpango huu wa kumuua Trump, ebu tujaribu kufikiri ni nani angekuwa mnufaika mkubwa endapo Marekani ingeingia katika “Civil war”?