George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
- Thread starter
- #21
Washington ingekuwaje muda huo!?Trump angekuwa hasimu wa Putin, sasa hivi fighter jets zingekuwa zimeshafika Mosko kufanya yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washington ingekuwaje muda huo!?Trump angekuwa hasimu wa Putin, sasa hivi fighter jets zingekuwa zimeshafika Mosko kufanya yake.
Guns guns guns!American Will fall kwa CIVIL WAR.
Anga la Washington inasemekana hakuna silaha yoyote duniani inaweza kupenya.Washington ingekuwaje muda huo!?
Hii inaweza ikawa imefsnywa na Russia, au ni stage managed na Trump mwenyewe,ili kujipatia symapathy votes"Hili jaribio la kumuua Trump akiwa katika kampeni linafikirisha sana.
Madhara ya kumuua Trump akiwa katika kampeni yangekuwa makubwa sana, kifo cha Trump kingeweza kupelekea machafuko makubwa sana ndani ya Marekani, pengine ingeweza kupelekea kutokea kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe (Civil war).
Nani muhusika wa mpango huu wa kumuua Trump, ni Marekani wenyewe? Kama ni Marekani wenyewe, ina maana walikuwa tayari kupokea madhara ya kumuua Trump ikiwemo Civil war? Sitaki kuamini kama Wamarekani ni wajinga kiasi hiki.
Au inawezekana kuna mkono wa nje katika mpango huu wa kumuua Trump, ebu tujaribu kufikiri ni nani angekuwa mnufaika mkubwa endapo Marekani ingeingia katika “Civil war”?
Staged na watu wamekufa? Alafu staged kivipi kwamba hadi secret service walihusishwa? Ili iweje? Mbona tayari Trump anampiga Biden bila kuhitaji huruma yoyote.Hii inaweza ikawa imefsnywa na Russia, au ni stage managed na Trump mwenyewe,ili kujipatia symapathy votes"
Inasemekana!Anga la Washington inasemekana hakuna silaha yoyote duniani inaweza kupenya.
^Nothing happens around here before I sense it first miles away.^ ~Ghosted
Kuna wapumbavu humu watesema Hamas.Hili jaribio la kumuua Trump akiwa katika kampeni linafikirisha sana.
Madhara ya kumuua Trump akiwa katika kampeni yangekuwa makubwa sana, kifo cha Trump kingeweza kupelekea machafuko makubwa sana ndani ya Marekani, pengine ingeweza kupelekea kutokea kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe (Civil war).
Nani muhusika wa mpango huu wa kumuua Trump, ni Marekani wenyewe? Kama ni Marekani wenyewe, ina maana walikuwa tayari kupokea madhara ya kumuua Trump ikiwemo Civil war? Sitaki kuamini kama Wamarekani ni wajinga kiasi hiki.
Au inawezekana kuna mkono wa nje katika mpango huu wa kumuua Trump, ebu tujaribu kufikiri ni nani angekuwa mnufaika mkubwa endapo Marekani ingeingia katika “Civil war”?
Maswali sahihi kabisa haya!Staged na watu wamekufa? Alafu staged kivipi kwamba hadi secret service walihusishwa? Ili iweje? Mbona tayari Trump anampiga Biden bila kuhitaji huruma yoyote.
Umeanza Ritz!Kuna wapumbavu humu watesema Hamas.
Angekufa ungesema hivi?Hii inaweza ikawa imefsnywa na Russia, au ni stage managed na Trump mwenyewe,ili kujipatia symapathy votes"
nasikia ni CCMHili jaribio la kumuua Trump akiwa katika kampeni linafikirisha sana.
Madhara ya kumuua Trump akiwa katika kampeni yangekuwa makubwa sana, kifo cha Trump kingeweza kupelekea machafuko makubwa sana ndani ya Marekani, pengine ingeweza kupelekea kutokea kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe (Civil war).
Nani muhusika wa mpango huu wa kumuua Trump, ni Marekani wenyewe? Kama ni Marekani wenyewe, ina maana walikuwa tayari kupokea madhara ya kumuua Trump ikiwemo Civil war? Sitaki kuamini kama Wamarekani ni wajinga kiasi hiki.
Au inawezekana kuna mkono wa nje katika mpango huu wa kumuua Trump, ebu tujaribu kufikiri ni nani angekuwa mnufaika mkubwa endapo Marekani ingeingia katika “Civil war”?
Wewe unatumia nini kufikiria, je kama ngefanikiwa kumuua ?Hili tukio unaweza kuta hawa wao wenyewe ndani ya kundi la Trump wamelitengeneza kuwapa more step. But liwe ni kutoka nje au ndani ya kundi ya Biden tayari limempa urais Trump na kura zitakuwa za kutosha sana.
Ni kwamba watu tayari wana majonzi na huruma so akiwa na afya njema akarudi kwenye kampeni hata asiyekuwa na mpango kumuona au kusikiliza atasogea.
Ndipo hapo hotuba ya hostage ikiwa yenye mvuto na kunasa mpiga kura, ndipo hapo America inafunguka anapewa kiti for the second term.
Haha umesema ni mapema mno kujua mhusika lakini at the end of your comment umemalizia kwa kusema ni wakina nani ndio wahusika😆😆. It's too early to catch the lion tailNi mapema mno kusema nani anahusika na motive yake ilikuwa Nini
Kuna watu hawakubaluani na misimamo yake hasa Mambo ya ushoga, utoaji mimba na wahamihaji haramu.
Kuna watu hawakubaluani na misimamo yake Kama Vita vya Ukraine na mtazamo wake kuhusu nato hasa kuhusu michanfo na uwajibikaji wa nchi hizo.
Kuna baadhi ya watumishi wa vyombo vya usalama hasa fbi Wana hofu na wamesema waziwazi kuwa Trump akirudi madarakani anaweza kuwalipizia kisasi.
Tukio Hilo halina mkono wa Biden Wala mkono kutoka nje kumshambulia mgombea urais wa marekani hakutaongeza kura za Biden na Kama nchi ya nje inahusika ni meanzo wa vita kubwa. .
Wahusika ni watu wa marekani wasiokubaliana na sera na misimano yake.
Ajilengeshee risasi ili kujionesha? Hiyo kiki ingemsaidiaje akiwa kaburini?Huenda hizi ni kiki zake mwenyewe kutaka kujionyesha yeye anaonewa na serikali.
Trump hana moral vikwazo zozote kufikia malengo yake.
Lazima kungetokea machafuko na rais wa marekani angekuwa mlengwa mkuu. Kuna watu huwa na ajenda zao hivyo wangetumia fursa hii kutimiza ajenda zao kumbuka huyu mgombea ana ushawishi mkubwa.Nimekuelewa sana mkongwe, asante!
Vipi kama jamaa aliyemshambulia Trump angefanikiwa katika jaribio lake, unadhani nini kingetokea?
Pia nini mtazamo wako baada ya tukio hili la leo, tukio hili litakuwa na impact yoyote katika uchaguzi unaokuja wa Marekani?
Hakuna sehemu niliyotaja wahusika Bali nimeorodhesha watu wanaohisiwa kuhusika..Haha umesema ni mapema mno kujua mhusika lakini at the end of your comment umemalizia kwa kusema ni wakina nani ndio wahusika😆😆. It's too early to catch the lion tail
Haitakuja kutokea USA ikayumba kwa uchumi hadi Yesu anarudi. Semeni mengine na sio uchumiAmerican Will fall kwa CIVIL WAR.
so kama hili la Trump ilikuwa nia ni hiyo or not. watapata tu nafasi ya kutrigger civil war but hiyo itakuja when uchumi wao ukianza kuyumba.
😀😃😃 haya mtabiriHaitakuja kutokea USA ikayumba kwa uchumi hadi Yesu anarudi. Semeni mengine na sio uchumi