Jaribio la kunidhuru limeshindikana ashukuriwe Mungu

Jaribio la kunidhuru limeshindikana ashukuriwe Mungu

Hii ni tofauti mkuu, vyupa vinatoka wapi kwenye supu, ingekuwa kinywaji hapo sawa useme labda chupa imevunjika bahati mbaya wakati wa kufungua, hiyo ilikusudiwa.

Ni kuongeza umakini. hali si hali binadamu hawaaminiki tena.
Hivi chupa ni sumu?, Nijuavyo inaweza kukuletea vidonda tumbo , labda utafune gram za kutosha sana za chupa
 
Wakuu,

Bado sijarejea rasmi hapa jamvini ila nipende tu kuwataarifu kuwa nipo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku.

Siku kadhaa zilizopita ndipo nilipokutana na msukosuko wa aina yake.

Ilikua siku ya jumapili nikiwa najiandaa kwenda ibadani, nikaona nipitie kwenye moja ya mgahawa maarufu hapa mjini ambao kwa kweli pale mimi huwa ni regular customer na huwa nina wahudumu wawili ambao hao ndio tumezoeana sana.

Sasa siku hiyo ya tukio akanipokea mhudumu kama kawaida yake kwa tabasamu pana na salamu.

Nikaagiza kifungua kinywa.

Wakati natafuna nimeze lahaula nasikia vitu vikivunjikia mdomoni, nikaona niteme looh natoa mdomoni vipande vya chupa na ili kuhakiki kama kile kilikuwa chupa nikaona nikiminye nikaishia kukatwa mkono wangu.

Kuangalia ndani ya chakula looh, vyupa vimejaa.

Tangu siku hiyo ya tukio nikiwa mjini nakunywa maji tu. Mambo mengine yote nyumbani.

Wakuu kuweni makini sana na mii mgahawa na hakikisheni hamuwi wateja wa kudumu mahali.

Asanteni. Weekend njema.
Ulikua una pesa au ugomvi nao kwamba walikudhamilia mkuu ?
 
Wakuu,

Bado sijarejea rasmi hapa jamvini ila nipende tu kuwataarifu kuwa nipo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku.

Siku kadhaa zilizopita ndipo nilipokutana na msukosuko wa aina yake.

Ilikua siku ya jumapili nikiwa najiandaa kwenda ibadani, nikaona nipitie kwenye moja ya mgahawa maarufu hapa mjini ambao kwa kweli pale mimi huwa ni regular customer na huwa nina wahudumu wawili ambao hao ndio tumezoeana sana.

Sasa siku hiyo ya tukio akanipokea mhudumu kama kawaida yake kwa tabasamu pana na salamu.

Nikaagiza kifungua kinywa.

Wakati natafuna nimeze lahaula nasikia vitu vikivunjikia mdomoni, nikaona niteme looh natoa mdomoni vipande vya chupa na ili kuhakiki kama kile kilikuwa chupa nikaona nikiminye nikaishia kukatwa mkono wangu.

Kuangalia ndani ya chakula looh, vyupa vimejaa.

Tangu siku hiyo ya tukio nikiwa mjini nakunywa maji tu. Mambo mengine yote nyumbani.

Wakuu kuweni makini sana na mii mgahawa na hakikisheni hamuwi wateja wa kudumu mahali.

Asanteni. Weekend njema.
Jinsi ulivyoleta swala ni kama watu walipanga plan wakudhuru.....!!!?
kumbe unaweza kukuta watu ni wazembe walishindwa kukagua chakula chao vizuri....
 
Wakuu,

Bado sijarejea rasmi hapa jamvini ila nipende tu kuwataarifu kuwa nipo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku.

Siku kadhaa zilizopita ndipo nilipokutana na msukosuko wa aina yake.

Ilikua siku ya jumapili nikiwa najiandaa kwenda ibadani, nikaona nipitie kwenye moja ya mgahawa maarufu hapa mjini ambao kwa kweli pale mimi huwa ni regular customer na huwa nina wahudumu wawili ambao hao ndio tumezoeana sana.

Sasa siku hiyo ya tukio akanipokea mhudumu kama kawaida yake kwa tabasamu pana na salamu.

Nikaagiza kifungua kinywa.

Wakati natafuna nimeze lahaula nasikia vitu vikivunjikia mdomoni, nikaona niteme looh natoa mdomoni vipande vya chupa na ili kuhakiki kama kile kilikuwa chupa nikaona nikiminye nikaishia kukatwa mkono wangu.

Kuangalia ndani ya chakula looh, vyupa vimejaa.

Tangu siku hiyo ya tukio nikiwa mjini nakunywa maji tu. Mambo mengine yote nyumbani.

Wakuu kuweni makini sana na mii mgahawa na hakikisheni hamuwi wateja wa kudumu mahali.

Asanteni. Weekend njema.
Mambo ya Sumbawanga tu hayo...huku town hakuna kabisa
 
Pole sana ndugu
20211011_172328.jpg
 
Hii ni tofauti mkuu, vyupa vinatoka wapi kwenye supu, ingekuwa kinywaji hapo sawa useme labda chupa imevunjika bahati mbaya wakati wa kufungua, hiyo ilikusudiwa.

Ni kuongeza umakini. hali si hali binadamu hawaaminiki tena.
Hukumuuliza muhudumu kwanini alitaka kukuua?
 
Back
Top Bottom