Hivi chupa ni sumu?, Nijuavyo inaweza kukuletea vidonda tumbo , labda utafune gram za kutosha sana za chupaHii ni tofauti mkuu, vyupa vinatoka wapi kwenye supu, ingekuwa kinywaji hapo sawa useme labda chupa imevunjika bahati mbaya wakati wa kufungua, hiyo ilikusudiwa.
Ni kuongeza umakini. hali si hali binadamu hawaaminiki tena.
Ulikua una pesa au ugomvi nao kwamba walikudhamilia mkuu ?Wakuu,
Bado sijarejea rasmi hapa jamvini ila nipende tu kuwataarifu kuwa nipo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku.
Siku kadhaa zilizopita ndipo nilipokutana na msukosuko wa aina yake.
Ilikua siku ya jumapili nikiwa najiandaa kwenda ibadani, nikaona nipitie kwenye moja ya mgahawa maarufu hapa mjini ambao kwa kweli pale mimi huwa ni regular customer na huwa nina wahudumu wawili ambao hao ndio tumezoeana sana.
Sasa siku hiyo ya tukio akanipokea mhudumu kama kawaida yake kwa tabasamu pana na salamu.
Nikaagiza kifungua kinywa.
Wakati natafuna nimeze lahaula nasikia vitu vikivunjikia mdomoni, nikaona niteme looh natoa mdomoni vipande vya chupa na ili kuhakiki kama kile kilikuwa chupa nikaona nikiminye nikaishia kukatwa mkono wangu.
Kuangalia ndani ya chakula looh, vyupa vimejaa.
Tangu siku hiyo ya tukio nikiwa mjini nakunywa maji tu. Mambo mengine yote nyumbani.
Wakuu kuweni makini sana na mii mgahawa na hakikisheni hamuwi wateja wa kudumu mahali.
Asanteni. Weekend njema.
Jinsi ulivyoleta swala ni kama watu walipanga plan wakudhuru.....!!!?Wakuu,
Bado sijarejea rasmi hapa jamvini ila nipende tu kuwataarifu kuwa nipo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku.
Siku kadhaa zilizopita ndipo nilipokutana na msukosuko wa aina yake.
Ilikua siku ya jumapili nikiwa najiandaa kwenda ibadani, nikaona nipitie kwenye moja ya mgahawa maarufu hapa mjini ambao kwa kweli pale mimi huwa ni regular customer na huwa nina wahudumu wawili ambao hao ndio tumezoeana sana.
Sasa siku hiyo ya tukio akanipokea mhudumu kama kawaida yake kwa tabasamu pana na salamu.
Nikaagiza kifungua kinywa.
Wakati natafuna nimeze lahaula nasikia vitu vikivunjikia mdomoni, nikaona niteme looh natoa mdomoni vipande vya chupa na ili kuhakiki kama kile kilikuwa chupa nikaona nikiminye nikaishia kukatwa mkono wangu.
Kuangalia ndani ya chakula looh, vyupa vimejaa.
Tangu siku hiyo ya tukio nikiwa mjini nakunywa maji tu. Mambo mengine yote nyumbani.
Wakuu kuweni makini sana na mii mgahawa na hakikisheni hamuwi wateja wa kudumu mahali.
Asanteni. Weekend njema.
Pole ndugu yangu inaelekea uzembe wa wapishi lakini Mungu anakupenda sana kukuepusha na umautiJinsi ulivyoleta swala ni kama watu walipanga plan wakudhuru.....!!!?
kumbe unaweza kukuta watu ni wazembe walishindwa kukagua chakula chao vizuri....
Mambo ya Sumbawanga tu hayo...huku town hakuna kabisaWakuu,
Bado sijarejea rasmi hapa jamvini ila nipende tu kuwataarifu kuwa nipo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku.
Siku kadhaa zilizopita ndipo nilipokutana na msukosuko wa aina yake.
Ilikua siku ya jumapili nikiwa najiandaa kwenda ibadani, nikaona nipitie kwenye moja ya mgahawa maarufu hapa mjini ambao kwa kweli pale mimi huwa ni regular customer na huwa nina wahudumu wawili ambao hao ndio tumezoeana sana.
Sasa siku hiyo ya tukio akanipokea mhudumu kama kawaida yake kwa tabasamu pana na salamu.
Nikaagiza kifungua kinywa.
Wakati natafuna nimeze lahaula nasikia vitu vikivunjikia mdomoni, nikaona niteme looh natoa mdomoni vipande vya chupa na ili kuhakiki kama kile kilikuwa chupa nikaona nikiminye nikaishia kukatwa mkono wangu.
Kuangalia ndani ya chakula looh, vyupa vimejaa.
Tangu siku hiyo ya tukio nikiwa mjini nakunywa maji tu. Mambo mengine yote nyumbani.
Wakuu kuweni makini sana na mii mgahawa na hakikisheni hamuwi wateja wa kudumu mahali.
Asanteni. Weekend njema.
Pole sana nduguMimi huyo juzi,, nilivamiwa usiku View attachment 1969354
Asante now naendelea vizuriPole sana ndugu
Pole sana ndugu
Sio mimi ni mleta madaPole ndugu yangu inaelekea uzembe wa wapishi lakini Mungu anakupenda sana kukuepusha na umauti
Hukumuuliza muhudumu kwanini alitaka kukuua?Hii ni tofauti mkuu, vyupa vinatoka wapi kwenye supu, ingekuwa kinywaji hapo sawa useme labda chupa imevunjika bahati mbaya wakati wa kufungua, hiyo ilikusudiwa.
Ni kuongeza umakini. hali si hali binadamu hawaaminiki tena.