Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

Ni kweli.osward mbogoro.naye alihusika kwa sasa ni askofu wa kanisa hilo kuna nyakati huabudu kwenye kanisa hilo Dodoma,Mbeya na mbalizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hawa jamaa wa JF ya zamani walienda wapi? Maana hizi nondo zinavyoteleshwa sio za kisport sport
 
Yes alikuwepo wakati huo alikuwa ni Captain Dietrick Osward Mbogoro wa JWTZ Lugalo Barracks.
P
 
Asante mkuu. Ila mbona haya mambo hayawekwi wazi hata kwenye historia yetu?
It's true tuna tatizo la kutoweka kumbukumbu za matukio muhimu kwa taifa letu.
Kesi ilipoanza mwanzo ilikuwa na washitakiwa 46, washitakiwa 23 waka confess na kugeuzwa mashahidi wa jamhuri wakabaki washitakiwa 23, wawili wakaachiwa kwa no prima facie wakabaki 21, kwenye hukumu wawili were aquited 19 ndio wakakutwa na hatia. Nimesearch majina yao online sikufanikiwa.
P
 
Labda siyo wote lakini kuna ambao wametajwa hapa - #542.
 
Marekebisho:

Huyo komandoo aliyeuawa hakuuwawa jirani na ubalozi wa Marekani sijui kwa nini watu wanapotosha.Na hii habari ilikuwa wazi kabisa.

Mimi nikuwa naishi O/bay jirani sana na huo ubalozi wa USA wa zamani kwa nyuma.

Huyo Kamandoo aliuawa kinondoni pale inapoanza down ya kwenda magomeni , alidandia pickup ya wazi baada ya kuwatoroka ghafla waliomkamata..

Nakumbuka kama alikuwa anaitwa Tammim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…