Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

Sawa nakubali, Zakaria yupo katika hiyo picha lakini haina maana kuwa anafanya biashara na hao Mafisadi [RIdhwani etc.] isipokuwa kwa vile wote ni wasafirishaji wa mafuta bila shaka wana ushirikiano kupitia chama chao ambamo yeye Zakaria ni kiongozi mkuu!!! Nasisitiza kuwa Zakaria Hans Pope hana ubia wa biashara na wakina Lowassa.
sijasema Hans Pope ana Ubia na Kina lowassa
Nimesema hansPope ni Kiongozi wa Wamiliki wa malory na Katibi wake ndio Lukumay
Uelewa wako ni afadhali kuliko wa OLESAIDIMU maana mnataka kutetea na kuweka mashujaa bila kujua Historia yao Soma hii kwa mwanga zaidi
Hanspope hawakuwa matajiri mpaka zakaria alupotoka jela.
Walikuwa na shamba kubwa kiasi mafinga likendeshwa na mdogo wake anaitwa ciser.Na ndugu yao mwingine Eddy alikuwa engineer caltex.mwingine Moses alikuwa denmark akipiga box (sasa ni marehemu alifariki mwaka juzi.akiwa anafanya kazi blue water dar).mwingine Aldo alikuwa anafanya kazi bahari beach hotel.mwingine ambaye alifuatana na Zakaria alikuwa ni captain wa jeshi (rubani)ambaye alikamatwa pia na kuachiwa huru baada ya miaka kama tano hivi.Waliona haku usika na kaka yake, alipo toka jela aliondoka na kwenda Canada then Australia na alifariki mwaka jana huko huko.
Wakati Zakaria anatoka kifungoni alikuta Cesar na Eddy wana lorry 3 za mafuta Benz old model 10 tones.
Kutoka hapo Zakaria akapata uwakala wa kuagiza mafuta kutoka nnje. (Na nani? Anajuwa mwenyewe)
Hapo ndipo alipo anza mafanikio.Kwenye kampuni yake yeye ndiyo Boss na wadogo wake Eddy na Cesar wana ma lorry ndani ya kampuni.na Aldo ni meneja wa transport akiwa hana lorry lake binafsi
Ma lorry mengine mengi ni ya watu tofauti waingia contract napigwa rangi ya kampuni na kupewa kazi ya mafuta.Mtu yoyote mwenye lorry la mafuta huwa anakaribishwa kuingia mkataba na lorry kupigwa rangi ya kampuni.
 
Last edited by a moderator:
Mbona umemtaja hans pop tu wengine huwajui eeh??? Ngoja nikutajie wengine sasa. KAPTEN EUGEN MAGANGA, KADEGO, MAGII, NA KUNA MMOJA ALIKIMBILIA UINGEREZA jina lake limenitoka kidogo. Kapten eugene maganga tumemzika mwaka juzi kijijini ITAGA MKOA WA TABORA alikua anasumbuliwa na kisukari aliacha watoto wawili ote wa kiume mmoja anaitwa MICKEY EUGEN MAGANGA na RAYMOND EUGEN MAGANGA ndio mimi nilieandika maneno haya. R.I.P EUGEN MAGANGA

Tupe STORY zaidi Ndugu RAYMOND EUGEN MAGANGA
 
Hoja yako ni kuwa hana malori au yeye na wengine wanaua reli????!!!
Huyo Lukumay kama ni muhimu muanzishie uzi then atajadiliwa tu mkuu!!!!
Suala la reli na.umuhimu wake haliwezi kuwa reduced to personal levels za mfanyabiashara sababu a state will is beyond capacities za wafanyabiashara kwa umoja wao sasa kama weak will ndio wewe unadefine kama nguvu ya wafanyabiashara sawa,ila naamini kabisa a strong will is a way to get rid of all these complains!!! Hivi ikiamuliwa kujengwa kuna mfanyabiashara wa kuweza kuondoa taluma? ???!!!!
A puzzle was set na wengi mmeamini kuwa mvua ndio mbaya na sio nyumba ndio weak!!!!!
Ndugu yangu hueleweki na tunatoka nje ya Mada
Huyu Hans-Pope ameoa kwa Mzee Adolph hapa Dodoma
, na baada ya msamaha wao wa jela Maisha alisaidiwa mtaji na nduguze wa lorry za mafuta wakati Nduguye yupo Songea hapewi msaada wowote
Kwa uelewa wako na wangu tuumalize UBISHI WETU wewe jua ujuavyo
ila fuatilia Post za Kina Pasco watakuendelezea kina Mabere Marando na Tamim au fuatilia Post ya
quote_icon.png
By tz1
Hanspope hawakuwa matajiri mpaka zakaria alupotoka jela.
Walikuwa na shamba kubwa kiasi mafinga likendeshwa na mdogo wake anaitwa ciser.Na ndugu yao mwingine Eddy alikuwa engineer caltex.mwingine Moses alikuwa denmark akipiga box (sasa ni marehemu alifariki mwaka juzi.akiwa anafanya kazi blue water dar).mwingine Aldo alikuwa anafanya kazi bahari beach hotel.mwingine ambaye alifuatana na Zakaria alikuwa ni captain wa jeshi (rubani)ambaye alikamatwa pia na kuachiwa huru baada ya miaka kama tano hivi.Waliona haku usika na kaka yake, alipo toka jela aliondoka na kwenda Canada then Australia na alifariki mwaka jana huko huko.
Wakati Zakaria anatoka kifungoni alikuta Cesar na Eddy wana lorry 3 za mafuta Benz old model 10 tones.
Kutoka hapo Zakaria akapata uwakala wa kuagiza mafuta kutoka nnje. (Na nani? Anajuwa mwenyewe)
Hapo ndipo alipo anza mafanikio.Kwenye kampuni yake yeye ndiyo Boss na wadogo wake Eddy na Cesar wana ma lorry ndani ya kampuni.na Aldo ni meneja wa transport akiwa hana lorry lake binafsi
Ma lorry mengine mengi ni ya watu tofauti waingia contract napigwa rangi ya kampuni na kupewa kazi ya mafuta.Mtu yoyote mwenye lorry la mafuta huwa anakaribishwa kuingia mkataba na lorry kupigwa rangi ya kampuni.
 
Last edited by a moderator:
kumbe uhaini nao ni ushujaa, tafsiri mbaya
Zacharia Hans Poppe, ambaye alizaliwa mwaka 1956 mjini Dar es Salaam na kukulia mkoani Iringa.

Baada ya kumaliza elimu ya sekondari, Zacharia alijiunga na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ambako alifikia cheo cha Kapteni, kabla ya kuachishwa kazi na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela, kwa tuhuma za uhaini, dhidi ya serikali ya awamu ya kwanza, ya hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwaka 1983.

Lakini mwaka 1995, Zacharia aliachiwa huru kwa msamaha wa rais wa awamu ya pili, Alhaj Ally Hassan Mwinyi, mwezi mmoja kabla hajamuachia Ikulu ya Tanzania, Benjamin William Mkapa, rais wa awamu ya tatu.

Kama zinavyosema sheria za nchi, mtu aliyehukumiwa kifungo, hana haki ya kugombea wadhifa wowote au kuajiriwa tena, Zacharia naye hakuweza kurejea kazini, badala yake akaamua kujiajiri, kwa kuanzisha miradi yake mwenyewe, ambayo leo ikiwa ni miaka 17 baadaye, miradi hiyo imesimama imara.

Kwangu mimi namuona shujaa si kwasababu ya kutaka kumpindua nyerere bali pamoja na kupotezewa muda mwingi akiwa gerezani lakini ameibuka na kuwa mmoja wa matajiri na mfanya biashara mkubwa nchini,ikumbukwe baba yake mzazi aliuwa na iddi amini kipindi kile cha vita ya kagera
.
 
kumbe uhaini nao ni ushujaa, tafsiri mbaya
umeelewa vibaya imagine kuna watu wapo uraiani miaka yote ya maisha yao wanakufa bila hata bajaji ukifungwa je si umeona wenzake wengi either wamekufa kwa stress au umasikini kuna kitu cha kujifunza japokuwa hali ya familia kiuchumi inaweza kuwa sababu
 
Sasa ushujaa wa hanspope ni upi? Acheni uchizi nyie jamaa.
 
Inaonyesha hakuna anayemjua POPE acheni mbwembwe zenu
Unamjua Pope lakini au unabwata tu mkuu???!!!!!
Nenda mbezi beach nyuma ya puma filling station kuna yard!!!!
Nenda ENGEN taja hilo jina utapata habari yake!!!!!
Kaa barabarani angalia Tanker za dark blue na red horizontal strip na quality ya hizo gari halafu rudi na comment hii!!!!!
Mkuu ukisikia mtu anajina TATOA ujue pale sio Simba na Yanga kwamba kadi ya zamani huyu mwenzetu hapana ni msuli wa kampuni yako na transport firm ya lori kumi ni mtaji wa maana lakini jua huvumi mkuu sasa jiulize kwa nini yeye maarufu!!!!!
 
Kunataarifa kuwa MABERE MARANDO hili jamaa la CHADEMA ndo lilimpiga risasi TAMIMU
Uhaini ulipangwa 1982, home kwetu ni Drive-in Estate, nyumba yetu na nyumba ya Banyikwa ziliuwa zimeungana tukitenganishwa na ukuta. Hapo ndipo ilipokuwa ikifanyika mikutano ya kupanga mambo!. PW No. 1 ni Hope Banyikwa, ambaye ndie binti mkubwa wa familia ya Banyikwa, hawa walikuwa ni Wahangaza, hao mabinti!, usipime!.

Kesi ilivyoanza, ilikuwa na washtakiwa 46. Wote walishikiliwa Ukonga Maximum Prison, Kiongozi mkuu wa mpango huo ni komandoo wa JWTZ aliyeasi, Martin Tamimu aliyeelezewa kuwa ni mtu hatari sana na hashikiki kirahisi, hivyo wakati wa arrest vijana walipewa special instructions, hivyo askari 8 na magari 4 yalimzingira nyumba aliyokuwepo kwa kimada wake Kinondoni Mkwajuni, walipojiririsha yuko ndani ya "game", waliivamia nyumba!, alichomoka bila shati na kuchumpa darini!, jamaa kuingia ndani hayupo!. Huyo demu akawaelekeza askari kwa ishara, wakaizunguka nyumba, ile wanaanza tuu kumpandia, alitobokea kwenye siling board ya bafu la nje na kuruka ukuta hadi upande wa pili, kumbe nako kuna gari la "jamaa", wakamkimbiza, akarukia pick up iliyokuwa inakwenda race,"jamaa" wakaifuata ile pick -up ay very close range, wakamiminia za kutosha na kumaliza kazi!.

Baada ya sterling kuuwawa, Thomas Lugangira "Father Tom" au "Uncle Tom" ndiye alikuwa mshatakiwa wa kwanza Hatibu Macghee wa pili na wenzao 19.

Nitaendelea.

Pasco.
 
Magazeti ya Rai enzi zile walikuwa na makala kibao kuhusu haya mapinduzi.Yalishaandikwa sana sema labda ni bwamdogo flani.

Do you understand the difference between a book and a news paper buddy?! I was talking specifically a book and not a news paper. Check your dictionary, if your dictionary is similar with mine. A book and a news paper are two different animals.

BTW, old age (ukubwa) sio tiketi ya kufahamu kila kitu. unaweza kuwa mdogo kiumri lakini ukafahamu mambo mengi kuliko mtu aliyekuzidi umri, Kama ambavyo mimi ninafahamu Archmides Principle lakini babu yangu kule kijijini hajui ni mnyama gani.

Ndiyo maana nikasisitiza tukio hili inabidi liandikiwe VITABU ili kuweka KUMBUKUMBU na pili vizazi vijavyo viweze KUJIFUNZA kutokana na tukio hilo.

I guess sijakupoteza tena "MZEE" Songambele.
 
Jan 9, 1982. A coup that never was. And its aftermath

By Erick Kabendera

At Butimba Maximum Security Prison, inmate Eugene Maganga’s routine for the two years he had been to wake up late on weekends. For some reason however, on that Saturday morning October 22, 1995, he had woken up early and when he switched on his small radio he was just in time to catch a brief news item saying that President Ali Hassan Mwinyi had granted him and several others clemency for their crime.-
This is a moment that the group of eight had been waiting for, for the ten years that they been behind bars serving a life sentence for treason. They had never lost hope.

Maganga and the other seven – Suleiman Kamando, Zakaria Aspopo, Vitalis Mapunda, Mbogolo, Kajaji Badru, Hatty MacGhee and Christopher Kadego – were convicted in 1985 for a botched plan two years earlier to overthrow the government of the country’s first President, Julius Nyerere. The ninth person, Mohamed Tamimu had been killed in an exchange with the police at the time of their arrest.

“In the last year’s elections, I contested for a parliamentary seat in Tabora constituency but I lost. I don’t want to involve myself in politics again,” Maganga says.

Wanasheria nguli wa JF bado naomba ufafanuzi wenu. Katika thread yangu ya mbele niliuliza ilikuwaje Marehemu Balozi Ngaiza akagombea ubunge kupitia CUF 2000 na Ismail Aden Rage akagombea ubunge 2010 kupitia CCM na sasa ni mbuge wakati alishafungwa jela?!

Limbogamboga na Mdau: wakanijibu kwamba Balozi Ngaiza hakuwa convicted kwenye kesi ya uhaini, hivyo alikuwa sheria ilikuwa haimubani kugombea ubunge. Nikaambiwa pamoja na Rage kuwa convicted na mahakama na kutumikia kifungo jela. Baada ya kutoka jela kwa msamaha wa Rais, baadaye alikata rufaa na kushinda rufaa yake. Hivyo anaruhusiwa kisheria kugombea ubunge maana mahakam ilumu exonerate.

Swali langu, tunaona kwamba Eugene Maganga alikuwa convicted kwenye kesi ya uhaini na akafungwa kifungo cha maisha, kabla ya kupata msamaha wa RAIS Mzee Ali Hassan Mwinyi 1995.

Baada ya kupata msamaha wa Rais tunaona Eugene Maganga aligombea ubunge (I guess ni 2000) wa Tabora ingawa "kura hazikutosha"

Swali, kama sheria za nchi zinakataza mtu aliyekuwa convicted before the court of law kugombea nafasi ya uongozi, Ilikuwaje basi Eugene Maganga aligombea ubunge wa Tabora 2000?

wanasheria naomba msaada wenu.
 
Kunataarifa kuwa MABERE MARANDO hili jamaa la CHADEMA ndo lilimpiga risasi TAMIMU

Anhaaa tena na wewe unauliza (kwamba kuna taarifa???!!!!) nilidhani ungekuwa na taarifa za uhakika zaid ya mbwembwe za humu!!!!!!
 
Ni kweli huyu jamaa alikuwa mmoja wao Dietrich Oswald Mbogoro.
 
Wengi waliotoka jela hususani
kwa kesi za Uhaini hufanikiwa mfano akina Mandela Zuma na wengineo
wengi tu ngoja alie kivulini kwani aliteseka sana gerezani

Unataka kuniambia Babu Seya na wanawe wakitoka gerezani hawatashikika?
 
Back
Top Bottom