Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,528
- 3,352
Na hivi unekuja kuwasema vibaya huku JF ,jua huwezi kuipata hiyo viza milele. Unajua kuwa wanakufatilia mpk kwenye social media kujia wewe ni mtu wa aina gani kabla ya kukuruhusu uende nchini kwao.