Jaribio la kwanza nimekosa visa ya Marekani, Waafrika tunabaguliwa

Jaribio la kwanza nimekosa visa ya Marekani, Waafrika tunabaguliwa

Mkienda huko mnaonekana mmetoka kwenye 'Shitholes'! Huenda ndiyo maana mnakosa viza!
 
Nchi za watu hizo unafuata nini ulichokosa hapa nyumbani? Mkifika huko mnabagulia mnaanza kulialia tu. Africa kuna kila kitu, baki nyumbani, tafuta maisha hapa uendeleze nchi yako. Kuwa mzalendo kama wao walivyo wazalendo kwa nchi zao
Wewe umepata kila kitu? Mkiwa na maisha mazuri nyie basi msifikiri wenzenu wana hayo maisha.
 
Hakuna kubaguliwa hapo ila sema hujakamilisha vigezo vyote

Nenda kakate ticket ya utalii nchi ambayo unapita USA hata Miami transit halafu jilipue, usiniulize mengi
Acha uoga
Porojo hizi acha kudanganya wenzio, unajuwa watu wanajiripuwaje? Siyo rahisi hivyo unavyofikiri.
 
Habari wana JF

Naomba kwa mtu ambaye ameshapata visa ya Marekani anipatie maelezo kidogo ya jinsi alivyofanikisha kupata visa hio? Leo nmekosa visa na nimeshatumia gharama tayari zimeenda bure, nimeambiwa nijipange niombe upya.

Naombeni mrejesho kwa wale waliofanikisha kupata visa ya Marekani
Swala la umri nalo ni muhimu sana, una umri gani?
 
Porojo hizi acha kudanganya wenzio, unajuwa watu wanajiripuwaje? Siyo rahisi hivyo unavyofikiri.

Kama umewahi kupita njia hizo unaweza kutupa mawili matatu ila kama hujawahi kuvuka border za mbali ni kawaida watu kama nyie kubisha ili mradi mchangie mada

Ungeuliza swali kwanza kabla ya kupinga usichokijua
Kwa taarifa yako nimepita routes nyingi sana na nimetembelea nchi 32 to be precisely

Na hiyo njia ya kuingia [emoji631] naweza kukupa kama unahitaji la sivyo usibishe usivyovijua
Watu wanasota sana kuingia na wengine wanaingia kiulaini
Ukiwa mkimbizi wa vita utawekwa detention kwa muda ila green card utapata baada ya hapo

Haya niambie bila kupepesa macho umewahi hata kuulizia njia za kutoka?
Na umefika umbali gani? dar?
 
Kama umewahi kupita njia hizo unaweza kutupa mawili matatu ila kama hujawahi kuvuka border za mbali ni kawaida watu kama nyie kubisha ili mradi mchangie mada

Ungeuliza swali kwanza kabla ya kupinga usichokijua
Kwa taarifa yako nimepita routes nyingi sana na nimetembelea nchi 32 to be precisely

Na hiyo njia ya kuingia [emoji631] naweza kukupa kama unahitaji la sivyo usibishe usivyovijua
Watu wanasota sana kuingia na wengine wanaingia kiulaini
Ukiwa mkimbizi wa vita utawekwa detention kwa muda ila green card utapata baada ya hapo

Haya niambie bila kupepesa macho umewahi hata kuulizia njia za kutoka?
Na umefika umbali gani? dar?
Funguka zaidi tuone njia
 
Funguka zaidi tuone njia

Kila mmoja ana bahati yake mkuu na anatafuta ipi inamfaa na inategemea na mfuko wake na wapi anataka kwenda

Wengine wanaenda Australia ila wanapitia Jakarta
Nakumbuka kuna mzee mmoja huko yeye ukienda kwake anakupa mchongo na route anakuunganishia kuingia Australia

Ila sharti lake sio gumu hivyo kama utakubali
Unaacha kila kitu Chako kwake kuanzia nguo na kila kitu hata hela yaani unapelekwa ukiwa umevaa nguo zako tu
Unapanda Boti na ukifika huko ukifanikiwa unaagiza utumiwe mizigo yako na kama hela zilizidi kwa kiasi alichokuwa anataka basi utatumiwa balance

Maisha yote ni risk ukifa napo ndio kwaheri na nguo zako atagawa na hela zako anakula

Sina namba wala jina ila ni kupambana mwenyewe kama unataka kupasua [emoji23]
Kama [emoji631] hapo unaenda Panama kwa drug lords wanakupitisha njia za panya yaani unapita sehemu zinatisha na sehemu zingine ni maji kiunoni
Hapo panga lazima angalia na majoka
Wakati mwingine mnafurumushwa na vikosi vya jeshi hapo ndio patamu au Waasi

Ila mwisho unapita au shaba
Ukiwa muoga utaishia kuhadithiwa tu
 
Yaani marekani wanaangalia vigezo vingi sana , Nchi ambazo umeshawahi kuzitembelea zinazingatiwa pia,
kama travelling zako ni znz - Dar [emoji23] pambana na hali yako

wana zingatia sana ili kuangalia range ya matumizi yako na life standard kwa ujumla ,
kama wewe ni wa kutoka toka sana tz basi priority yako ni kubwa sana kuliko aliekuwa hakuwahi kutoka , bcoz USA ni top ranked expensive country In the world ,
sasa kama hujafika tumiji ka Dubai,S.Africa, n.k unawezaje kuingia USA ??
 
Habari wana JF

Naomba kwa mtu ambaye ameshapata visa ya Marekani anipatie maelezo kidogo ya jinsi alivyofanikisha kupata visa hio? Leo nmekosa visa na nimeshatumia gharama tayari zimeenda bure, nimeambiwa nijipange niombe upya.

Naombeni mrejesho kwa wale waliofanikisha kupata visa ya Marekani
Kuna jamaa ni Mtanzania yuko marekani huwa ana youtube channel yake,huwa anatoa mafunzo ya kuhusu USA visa application humo huwa anajibu maswali yote.
Laiti ungemjua mapema huyo jamaa wala usingepata hasara.
Ingia Youtube mtafute kwa jina la "EBM" au ikishindikana hapo search kwa kutype"EBM VISA LOTTERY"
 
Kila mmoja ana bahati yake mkuu na anatafuta ipi inamfaa na inategemea na mfuko wake na wapi anataka kwenda

Wengine wanaenda Australia ila wanapitia Jakarta
Nakumbuka kuna mzee mmoja huko yeye ukienda kwake anakupa mchongo na route anakuunganishia kuingia Australia

Ila sharti lake sio gumu hivyo kama utakubali
Unaacha kila kitu Chako kwake kuanzia nguo na kila kitu hata hela yaani unapelekwa ukiwa umevaa nguo zako tu
Unapanda Boti na ukifika huko ukifanikiwa unaagiza utumiwe mizigo yako na kama hela zilizidi kwa kiasi alichokuwa anataka basi utatumiwa balance

Maisha yote ni risk ukifa napo ndio kwaheri na nguo zako atagawa na hela zako anakula

Sina namba wala jina ila ni kupambana mwenyewe kama unataka kupasua [emoji23]
Kama [emoji631] hapo unaenda Panama kwa drug lords wanakupitisha njia za panya yaani unapita sehemu zinatisha na sehemu zingine ni maji kiunoni
Hapo panga lazima angalia na majoka
Wakati mwingine mnafurumushwa na vikosi vya jeshi hapo ndio patamu au Waasi

Ila mwisho unapita au shaba
Ukiwa muoga utaishia kuhadithiwa tu
UNA MAWASILIANO NAYE HUYO MZEE, TUPEANE MICHONGO
 
Lazma uwaoneshe nia ya kurudi Tanzania. wengi wana kosa kwasababu hawaoneshi kitu chochote kitacho warudisha nchini. Wa najua unaenda kuzamia.
Social Media Banner.jpg
 
Habari wana JF

Naomba kwa mtu ambaye ameshapata visa ya Marekani anipatie maelezo kidogo ya jinsi alivyofanikisha kupata visa hio? Leo nmekosa visa na nimeshatumia gharama tayari zimeenda bure, nimeambiwa nijipange niombe upya.

Naombeni mrejesho kwa wale waliofanikisha kupata visa ya Marekani
Boss ulikuwa na documents gani?
 
Kama umewahi kupita njia hizo unaweza kutupa mawili matatu ila kama hujawahi kuvuka border za mbali ni kawaida watu kama nyie kubisha ili mradi mchangie mada

Ungeuliza swali kwanza kabla ya kupinga usichokijua
Kwa taarifa yako nimepita routes nyingi sana na nimetembelea nchi 32 to be precisely

Na hiyo njia ya kuingia [emoji631] naweza kukupa kama unahitaji la sivyo usibishe usivyovijua
Watu wanasota sana kuingia na wengine wanaingia kiulaini
Ukiwa mkimbizi wa vita utawekwa detention kwa muda ila green card utapata baada ya hapo

Haya niambie bila kupepesa macho umewahi hata kuulizia njia za kutoka?
Na umefika umbali gani? dar?
Mkimbizi gani una pasport ya bongo??
 
Mkimbizi gani una pasport ya bongo??
Mkuu asikudanganye mtu
Dunia hii ukiwa muoga hufanyi kitu wala hufiki popote bali utaishia bongo tu

Tembea uone baba
Kuna Wahindi wanaishi kwenye nchi wanazopokea wakimbizi kama wapiganaji wa Tamil wa Sri Lanka na wamepewa mpaka Uraia leo

Kuna wengine wanajifanya wa Ethiopia au Wasomali
Waarabu wengi waliingia Ulaya wakijiita Wakurdi na wamepewa sheria
Nimewaona sana na mimi nikiwa mkalimani

Sasa jifunze mbinu lakini usiwaulize waswahili wana roho ya korosho
 
Back
Top Bottom