Mie niliomba wakaniuliza first question what is your name . Nikasema age please nikasema , wakaniuliza unandugu huko nikasema ndio nikamtaja . What is your purpose to go there , ?? Nikasema kusalimia na kubadili mazingira ,unaka miaka mingapi?? 3 montsh , there utakuwa unajihusisha nanini kusaidia jamii , how kuwaelekeza wadogo kuhusu usafi wa mazingira , kusoma na kufanya vizuri katika masomo yao, kingine najua kuimba nakudance nitaperfom nakuwa fundisha kudance nakucheza kimasai . Na tamaduni zetu akaniambia sing for me one song nikaanza oh laleyo ha mmh ! Nilimwimbia akapenda akanipanvisa ya miezi minne maana kweli nitakuwa assets kwao sasa wewe uliulizwa nini