Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto akizaliwa utamlisha majani kama mbuzi hujui kama kuhudumia ni kamzozo.Tafuta ambae hana mzae
Thank me later
Haha usiache kumwambia huyo baba amwage njeee shost,, akizaliwa cha bei nafuu ni maziwa ya mama pekee, napo mama anatakiwa ale ashibe. Na sio kula michicha na ugali 🤣🤣Akizaliwa mambo yatafunguka
Ushindwe kutafuta Hela wewe uje utegemee watoto ndo wakutafutie mawazo madogo ya watu wa zamani haya.Kama una tatizo la kiuchumi kwa muda mrefu jaribu kupata mtoto...
Mtoto anakuja na sahani yake mambo Yako yanaweza kufunguka. .......
Thank me later
Cc: Kijana masikini and 100 others
Mtoto akililia nyonyo usiku,. Kumbe kamama nae hakakushiba, wanajikuta yeye na mtoto wote wanalia njaa🤭😅Ni rahisi sana, jichanganye ulie kuliko huyo mtoto 😁
Dj awalete kwa wimbo gani..?🤣Haha usiache kumwambia huyo baba amwage njeee shost,, akizaliwa cha bei nafuu ni maziwa ya mama pekee, napo mama anatakiwa ale ashibe. Na sio kula michicha na ugali 🤣🤣
Nadhani unatania kumbe upo serious kabisa.Baada ya dhiki faraja...
Utanishukuru
Huyo mtotooooo… 🎶Dj awalete kwa wimbo gani..?🤣
😹😹Dada utakuja kunishukuru