KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Sawa nawaleta hata wakigoma mijeledi ipo..😅Huyo mtotooooo… 🎶
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nawaleta hata wakigoma mijeledi ipo..😅Huyo mtotooooo… 🎶
zaa wewe acha uoga...🤣Sawa dada 😂😂
Unaijua njaa ya kunyonyesha? 🤣🤣 utatamani ukate majani ule kama mbuziKilio ndo namna ya kufarijiana🤣
Unaona wengine walikuja na barakaNadhani unatania kumbe upo serious kabisa.
Sasa ikiwa kwako ulipata mtoto papo hapo mambo yakawa vizuri mshukuru Mungu alafu unyamaze...
Mwanangu wa kwanza alikuja na misukosuko mikali karibia ningekufa mimi kwaajili yake na mamaake.
Wa pili alikuwa hali ya kawaida tu kama hamna kilichotokea.
Wa tatu nae ilikuwa kawaida
Kama ndio unawaza kupita mapito hayo ya kuamini mtoto atakuja na bahati nzurinzuri naomba hilo wazo litoe kabisa kichwani.Unaona wengine walikuja na baraka
Uwii, usishauri hivi basi kuna wajinga watataka kujaribuWA kwanza asipoleta baraka pandikiza mwingine Tena na mwingne Tena na mwingine mtoto😁
Haha,, wewe ukamatwe uwekwe stoo.. unapotosha jamii 🤣🤣Unavumilia maana baada ya hapo ni mihela itakuja
Kila la heri katika maamuzi yako mdogo wanguWatoto baraka
Hyo mwingine akileta mateso pata mwingien na mwingine na mwingineMtoto akishazaliwa mnakula wote msoto. Akikua kidogo na kupata ufahamu anaanza kukulaani kwa kumleta katika hii dunia yenye tabu na mateso. Nawe pia unajisikia vibaya kuambiwa hivyo na mwanao, Unapata msongo wa mawazo unaopelekea kupata presha. Unapata kiharusi afu mwishowe unakufa.
Mwanao anae anaingia JF anakuta uzi kama huu. Anafata ushauri. Kinamramba. Mjukuu pia hivihivi.
Mwishowe Watanzania wote tunakufa kwa kuzaa bila kujipanga kisa mtu tumefata ushauri wa mleta uzi.😁😁
Mbegu ninazo hapahapa tatizo sitaki mwanangu aje ateseke kama mimi baba nilivyoteseka 😁Ntakupa mrejesho ngoja nikatafute mbegu
Ni kweliAcha masihara basi 😂