Jaribu kupata mtoto

Haha usiache kumwambia huyo baba amwage njeee shost,, akizaliwa cha bei nafuu ni maziwa ya mama pekee, napo mama anatakiwa ale ashibe. Na sio kula michicha na ugali ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Ngoja tuone๐Ÿ˜‚
 
Baada ya dhiki faraja...

Utanishukuru
Nadhani unatania kumbe upo serious kabisa.

Sasa ikiwa kwako ulipata mtoto papo hapo mambo yakawa vizuri mshukuru Mungu alafu unyamaze...
Mwanangu wa kwanza alikuja na misukosuko mikali karibia ningekufa mimi kwaajili yake na mamaake.
Wa pili alikuwa hali ya kawaida tu kama hamna kilichotokea.
Wa tatu nae ilikuwa kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ