Jaribu kuwaza kama usingetoa ile mimba mtoto angekua na umri gani?

Jaribu kuwaza kama usingetoa ile mimba mtoto angekua na umri gani?

Meko Junior

Senior Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
159
Reaction score
362
Embu tuambizane, ndugu wajenzi wa nchi, maisha yanatunyoosha na sisi tunayanyoosha.

Wengi tumepitia changamoto nyingi za maisha, wengi tumepitiwa kwenye mahusiano mengi sana, wengine wakapat mimba au kuwapa watu mimba na kuchukua maamuzi ya kuitoa.

Embu jaribu kuwaza kama usingetoa ile mimba mtoto angekua na umri gani, wengine wametoa mimba zaidi ya tano.


"Mimi wakwangu angekua anatimiza mwezi mmoja saivi akiwa tumboni kwa mama yake"
 
Pengine tungegawana majengo ya serikali mimi jela yeye mochwari ukizingatia alikua mwanafunzi,tuwaze na chanya pia sio hasi tu huku tukifanya toba
 
Pengine tungegawana majengo ya serikali mimi jela yeye mochwari ukizingatia alikua mwanafunzi,tuwaze na chanya pia sio hasi tu huku tukifanya toba
Laiti kama tungekua tunamwona mungu na tunajua anapoishi, tusiogopa jela kabisa sababu ungejua dhahiri kwamba mzee wa kutoa adhabu yupo anakuangalia tu.
 
Pengine tungegawana majengo ya serikali mimi jela yeye mochwari ukizingatia alikua mwanafunzi,tuwaze na chanya pia sio hasi tu huku tukifanya toba
Hata kama nimetia mimba mwanafunzi katu sijawahi na wala sitowahi nije kuidhinisha demu wangu atoe mimba,
 
Pole mkuu
Unaonekana unaumia kwa mlichokifanya...
 
Back
Top Bottom