Jarida la Africa Intelligence laripoti uhusiano kati ya Rais Samia na Dkt. Kikwete

Gwajima

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2018
Posts
253
Reaction score
406
Niliiona siku za nyuma na kibaya walihusisha maamuzi ya kuwarudia wachina na bandari ya Bagamoyo na ushawishi wa Kikwete. Kama ni kweli, ni tatizo. Rais lazima awe mmoja na siyo kuwa kama stooge.
 
Niliiona siku za nyuma na kibaya walihusisha maamuzi ya kuwarudia wachina na bandari ya Bagamoyo na ushawishi wa Kikwete. Kama ni kweli, ni tatizo. Rais lazima awe mmoja na siyo kuwa kama stooge.
Familia imerudi
 
Kwenye "uchafuzi" wa 2020, MaCCM waliteua wagombea wanawake wasiozidi 25 kugombea kwenye majimbo, CHADEMA iliteua wanawake zaidi ya 50... ni muhimu kukumbushana hili leo ikiwa ni siku ya Demokrasia na Mh Rais anakutana na wanawake... Tanzania ina majimbo 264
 
Reactions: Qwy
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…