Kwenye "uchafuzi" wa 2020, MaCCM waliteua wagombea wanawake wasiozidi 25 kugombea kwenye majimbo, CHADEMA iliteua wanawake zaidi ya 50... ni muhimu kukumbushana hili leo ikiwa ni siku ya Demokrasia na Mh Rais anakutana na wanawake... Tanzania ina majimbo 264Hili jarida linamilikiwa na nani? Ofisi zao ziko nchi gani? Kilichoandikwa hapa ni ukweli au ni uongo?
Nikinukuu aya yakwanza katika makala hii "After having been ignored by John Magafuli, former president Jakaya Kikwete is back in business as Samia Suluhu Hassan's confidant."
Kama kweli basi tumeshapigwa.
Chanzo: TANZANIA : Ex-president Kikwete returns to the fore as Suluhu Hassan's mentor and messenger
Unavyoona una kazi sana kuliko matatizo ya huyu anayeitwa rais?Tuondolee utopolo wako hapa,si tuko na kazi ya kufanya
You mean, uhusiano wao ni zaidi ya kuwa wana CCM?Unataka Ukweli upi zaidi, and it's more than that.... even her marriage was touched ukibisha muulize aliemtoa kisiwani nani. Mengine ni kufunika kombe tu mwanaharumu apite.
Kikwete anaweza kuwa mtu wa kutoa ushauri? Kuna watu walipata urais kama laana kwa nchi. sasa tena kumbe kuna mengine!Ni wazo zuri wastaafu kutumika kama advisors, urais hauna uzoefu wala hausomewi
Kikwete anaweza kuwa mtu wa kutoa ushauri? Kuna watu walipata urais kama laana kwa nchi. sasa tena kumbe kuna mengine!Ni wazo zuri wastaafu kutumika kama advisors, urais hauna uzoefu wala hausomewi
Ndiyo maana naendelea kusema late Pombe he was jiwe lisiloyumba and never get compare for years!.Niliiona siku za nyuma na kibaya walihusisha maamuzi ya kuwarudia wachina na bandari ya Bagamoyo na ushawishi wa Kikwete. Kama ni kweli, ni tatizo. Rais lazima awe mmoja na siyo kuwa kama stooge.
Upo sahihi!!!!!!Unataka Ukweli upi zaidi, and it's more than that.... even her marriage was touched ukibisha muulize aliemtoa kisiwani nani. Mengine ni kufunika kombe tu mwanaharumu apite.
Duh!!!! CCM haijapoa kama ugali.Unataka Ukweli upi zaidi, and it's more than that.... even her marriage was touched ukibisha muulize aliemtoa kisiwani nani. Mengine ni kufunika kombe tu mwanaharumu apite.
Kwani Katiba yetu inasemaje kuhusu rais mstaafu?Hili jarida linamilikiwa na nani? Ofisi zao ziko nchi gani? Kilichoandikwa hapa ni ukweli au ni uongo?
Nikinukuu aya yakwanza katika makala hii "After having been ignored by John Magafuli, former president Jakaya Kikwete is back in business as Samia Suluhu Hassan's confidant."
Kama kweli basi tumeshapigwa.
Chanzo: TANZANIA : Ex-president Kikwete returns to the fore as Suluhu Hassan's mentor and messenger