misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Mbona akumshauri kuhusiana na uvaaji wa life jacket?Ni wazo zuri wastaafu kutumika kama advisors, urais hauna uzoefu wala hausomewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona akumshauri kuhusiana na uvaaji wa life jacket?Ni wazo zuri wastaafu kutumika kama advisors, urais hauna uzoefu wala hausomewi
JK ni kipenzi chetu wana bavichataifa limepigwa.
Hii nchi sa hv ni kujali mambo yako tuu , watu washajimilikisha ukoo mzimaUnataka Ukweli upi zaidi, and it's more than that.... even her marriage was touched ukibisha muulize aliemtoa kisiwani nani. Mengine ni kufunika kombe tu mwanaharumu apite.
Hilo Gazeti linafanya biashara. Articles zake kuzisoma siyo bure na ndio maana zinatabuni vijitaarifa fulani fulani controversy ili wapige pesa za nyumbu.Hili jarida linamilikiwa na nani? Ofisi zao ziko nchi gani? Kilichoandikwa hapa ni ukweli au ni uongo?
Nikinukuu aya yakwanza katika makala hii "After having been ignored by John Magafuli, former president Jakaya Kikwete is back in business as Samia Suluhu Hassan's confidant."
Kama kweli basi tumeshapigwa.
Chanzo: TANZANIA : Ex-president Kikwete returns to the fore as Suluhu Hassan's mentor and messenger
I wish it was as simple as that.Ni wazo zuri wastaafu kutumika kama advisors, urais hauna uzoefu wala hausomewi
Huu utakuwa ni uongo na uzushi tuu na hawakuanza leo!.Hili jarida linamilikiwa na nani? Ofisi zao ziko nchi gani? Kilichoandikwa hapa ni ukweli au ni uongo?
Nikinukuu aya yakwanza katika makala hii "After having been ignored by John Magafuli, former president Jakaya Kikwete is back in business as Samia Suluhu Hassan's confidant."
Kama kweli basi tumeshapigwa.
Chanzo: TANZANIA : Ex-president Kikwete returns to the fore as Suluhu Hassan's mentor and messenger
Niambie Mkapa alifaidikaje kibinafsi wakati Magu akiwa madarakani? Usisahau pia kutukumbusha, Nyerere nae alifaidika vipi kwa Mwinyi kua madarakani?Rejea uhusiano wa Mkapa na Magufuli, au wa Mwinyi na Nyerere halafu urudi hapa.
Kwa hiyo unakiri kuwa JK yupo nyuma ya SSH!!??Jk ndio rais kipenzi wa chadema kuliko marais wote hapa tz!
Bila shaka wanafurahi sana jinsi anavyotawala nyuma ya mgongo wa Samia
Ndugu, hivi unaelewa maana halisi ya neno "confidant" au umekurupuka tu? Umesoma shule kweli wewe??Jakaya Kikwete is back in business as Samia Suluhu Hassan's confidant."
Nani kakiri?Kwa hiyo unakiri kuwa JK yupo nyuma ya SSH!!??
Mkiambiwa wanaCCM ni vilaza na misukule mtakataaa!!??
Wewe ndo umekurupuka na elimu yako ya shule ya kata maana umetoa maoni bila kufahamu mada inahusu nini hasa.Ndugu, hivi unaelewa maana halisi ya neno "confidant" au umekurupuka tu? Umesoma shule kweli wewe??
Nakushauri rudi shule kajifunze upya "Kiingereza", acha kudandia dandia lugha za watu.
Usisahau na kauli za muungwana siku ya mazishi Chato.Kama kweli basi tumeshapigwa.