Jarida la Africa Intelligence laripoti uhusiano kati ya Rais Samia na Dkt. Kikwete

Jarida la Africa Intelligence laripoti uhusiano kati ya Rais Samia na Dkt. Kikwete

Mbuzi kafia kwa muuza supu, Kunanini Tena........!
 
Mama kashasema wanaume wa nchii wote maboya msimtishe 2025 anagombea na hakuna wa kumzuia
 
Tunapata raisi mkulima, anaanda shamba, anapanda, mazao yanapoanza kuchepua, anaingia raisi mfugaji, anaingiza mifugo shambani, inakula mazao na kuharibu mazao, kisha tunapata raisi mkulima tena, then mfugaji, mkulima na circle kuendelea.
Well said, hili ndilo tatizo lililotukumba Tanzania strategic planning ya muda mrefu kila Rais anakuja na mipango yake.
Mwl. Nyerere alianzisha Viwanda alivyokuja Mwinyi akafungua milango ya kuingiza vitu kutoka nje na kusababisha kuua Viwanda.
Mkapa nae alivyo ona Viwanda vinasuasua akavibinafsisha kwa kuwapa wawekezaji wa kigeni ambao hawakua na uchungu navyo zaidi ya kuuza Mitambo na vipuri.
Alivyoingia JK aliikuta nchi na hali mbaya tatizo la ajira likawa kubwa alichofanya ni kutoa nafasi za ajira kwa wingi Serikalini na kuwashawishi wawekezaji kuja kuwekeza ili wananchi wake wapate ajira.
Alivyoingia bwana JPM yeye alichofanya ni kufuta kila kitu cha awamu ya Mwinyi, Mkapa na JK na kutaka kuanza alipotuacha Nyerere kwamba Watanzania tumiliki Viwanda wenyewe na miradi yote tuwe tunaendesha wenyewe kuanzia ujenzi wa Miundombinu na Majengo makubwa bahati mbaya akafariki na kushindwa kufikia lengo.

Kwahyo mpaka sasa hii nchi haijulikani inapoelekea.
 
sukuma gang inateseka sana ilishaaminishwa yenyewe ndio yenye nchi mungu anamipango bora kuliko sisi binadamu
 
Hili jarida linamilikiwa na nani? Ofisi zao ziko nchi gani? Kilichoandikwa hapa ni ukweli au ni uongo?

Nikinukuu aya yakwanza katika makala hii "After having been ignored by John Magafuli, former president Jakaya Kikwete is back in business as Samia Suluhu Hassan's confidant."

Kama kweli basi tumeshapigwa.

Chanzo: TANZANIA : Ex-president Kikwete returns to the fore as Suluhu Hassan's mentor and messenger
Huo ni ukweli tunaujua, Kikwete ndiye rais ssh ni mtumishi wake tu
 
Kuna kosa gani hapo mkwere kurudi kwa mlango wa nyuma mbona congo kabila katundika koti ofisini kwa tshekedi
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
QJ1NH.jpg
0AIS-7z.jpg
 
Rais anaetoka madarakani hua anaacha mipango mikakati yake kwahyo Rais anaekuja anatakiwa akamilishe kwanza aliyoyaacha mwenzie halafu na yeye aendelee na yake kwahyo anahitaj ushirikiano na mtangulizi wake hiki kitu JPM alikikataa akafuata njia yake ndio maana ktk madaraka yake alichangua kila kitu cha utawala uliopita bahati mbaya aliishia katikati kwahyo kwa sasa SSH anahitaj msaada wa JK ili kurudisha ile mikakati aliyoiacha ambayo JPM aliipuzia
Kama JPM alipuuza alipuuza kwa sababu za msingi au ni siasa tu , kama kuna sababu za msingi iliyomfanya aache kwanini sasa inarudiwa au hizo sababu zime expire
 
Kayafa ,Ben(wametuacha),mwinyi kachoka so president aliye katika hali nzuri ni huyu JMK Sasa mtu wa karibu mlitaka amuweke gwaji clan? . Experience ana gain Kwa msoga wala hilo halipingiki
 
Back
Top Bottom