Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Jarida la Forbes
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kama moja ya wanawake 100 wenye nguvu zaidi Duniani na jarida la Forbes.
Ushawishi wake katika masuala ya Diplomasia na kuwa kinara wa Nishati safi Duniani ni baadhi ya sababu, namna anavyoendesha nchi kwa mafanikio, anavyosimamia miradi mbalimbali ya maendeleo kwa watu wake lakini lamna alivyofanya mapinduzi kwenye sekta mbalimbali kama Utalii ni baadhi ya vitu vinavyompa heshima na nguvu.
Hongera Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store
#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kama moja ya wanawake 100 wenye nguvu zaidi Duniani na jarida la Forbes.
Ushawishi wake katika masuala ya Diplomasia na kuwa kinara wa Nishati safi Duniani ni baadhi ya sababu, namna anavyoendesha nchi kwa mafanikio, anavyosimamia miradi mbalimbali ya maendeleo kwa watu wake lakini lamna alivyofanya mapinduzi kwenye sekta mbalimbali kama Utalii ni baadhi ya vitu vinavyompa heshima na nguvu.
Hongera Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store
#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama