BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
Na Bwanku M Bwanku.
Jana Jumatano Februari 23, 2022 kwenye Gazeti la TANZANIA LEO Ukurasa wa 6 nimechambua hatua ya Jarida kubwa la Marekani la Inside the Nation kumtaja Rais Samia kama Rais aliyefanikiwa kuifungua nchi zaidi Kidiplomasia na Kiuchumi na kufanikiwa kuokoa fedha nyingi sana ambazo Tanzania ingekosa kwa sababu ya hali yake ya kisiasa huko nyuma.
Baada ya mwishoni mwa mwaka Jana, Majarida makubwa ya Afrika na Dunia kuanzia Avance Media la Ghana kumtaja Rais Samia kama moja ya Wanawake 10 wenye nguvu na ushawishi mkubwa Barani Afrika na baadae Jarida linalosomwa zaidi Duniani la Forbes nalo kumtaja Rais Samia kama moja ya Wanawake 100 wenye nguvu na ushawishi mkubwa Duniani aliyefanya mabadiliko makubwa.
Sasa Jarida lingine la Inside the Nation la Marekani limemtaja Rais Samia kama shujaa kwenye eneo la Diplomasia na Rais aliyefanikiwa kuifungua nchi zaidi Kidiplomasia, kiuchumi na uwekezaji. Pata NAKALA sasa ya Gazeti hili la TANZANIA LEO usome mwenyewe Makala hii iliyosheheni hatua mbalimbali anazoendelea kuchukua Rais Samia mpaka kufanya Majarida makubwa kama haya ya Duniani kukunwa na kazi yake.
Jana Jumatano Februari 23, 2022 kwenye Gazeti la TANZANIA LEO Ukurasa wa 6 nimechambua hatua ya Jarida kubwa la Marekani la Inside the Nation kumtaja Rais Samia kama Rais aliyefanikiwa kuifungua nchi zaidi Kidiplomasia na Kiuchumi na kufanikiwa kuokoa fedha nyingi sana ambazo Tanzania ingekosa kwa sababu ya hali yake ya kisiasa huko nyuma.
Baada ya mwishoni mwa mwaka Jana, Majarida makubwa ya Afrika na Dunia kuanzia Avance Media la Ghana kumtaja Rais Samia kama moja ya Wanawake 10 wenye nguvu na ushawishi mkubwa Barani Afrika na baadae Jarida linalosomwa zaidi Duniani la Forbes nalo kumtaja Rais Samia kama moja ya Wanawake 100 wenye nguvu na ushawishi mkubwa Duniani aliyefanya mabadiliko makubwa.
Sasa Jarida lingine la Inside the Nation la Marekani limemtaja Rais Samia kama shujaa kwenye eneo la Diplomasia na Rais aliyefanikiwa kuifungua nchi zaidi Kidiplomasia, kiuchumi na uwekezaji. Pata NAKALA sasa ya Gazeti hili la TANZANIA LEO usome mwenyewe Makala hii iliyosheheni hatua mbalimbali anazoendelea kuchukua Rais Samia mpaka kufanya Majarida makubwa kama haya ya Duniani kukunwa na kazi yake.