Jasmine Razack: Feitoto amekwisha fungua kesi CAS dhidi ya TFF na sio Yanga!

Jasmine Razack: Feitoto amekwisha fungua kesi CAS dhidi ya TFF na sio Yanga!

Wanawazuga tu hapo kesi feisali dhidi ya yanga na sio tff subiri mje muone
 
Hapa ndo kuna mtego. Ni kweli Fei hakwenda Yanga baada ya kuambiwa na TFF?

Au walizungumza masaa 6 akapewa sharti la kurudi amalizie mkataba, kurudi aboreshewe maslahi, timu inayomtaka ije?
Hilo la kuzungumza masaa 6 nani ana ushahidi nalo?
 
Mara nyingine usikurupuke tuu kuanza kuropoka, mchezaji akivunja mkataba bila kufuata taratibu Tff walipaswa wamuadhibu mchezaji kwa kosa alilo fanya, na hapo ndipo palipo na msingi wa kesi
Mashabiki wa yanga mna matatizo gani [emoji848][emoji848]
Hii loophole ikitumiwa na kila mchezaji kutakua na ligi?
 
Mchezaji anataka kuvunja mkataba na timu.

Chama kinachosimamia mpira kinahusikaje?

Arsenal kavunja mkataba na Willian, Guendouz

United kavunja mkataba na Ronaldo

Na sikuona wakiwa wamekimbilia kwenye chama


Walikaa wakakimbilia wapi?
 
Feisal alishaona yanga hawawezi kumkubalia feisal avunje mkataba hata wangekaa mezani, kwa hyo akarudi kwenye kipengele cha kuvunja mkataba kwenye mkataba wake na akakitimiza, kwa hyo mpaka sasa feisal sio mchezaji wa yanga.

walichotakiwa kukifanya yanga ni kumshitaki fei, ila yanga wanajifanya wema eti fei arudi kwenye timu, je angefanya mchezaji mwengine hvo wasingemshitaki kwa huo utovu wa nidhamu?? Halafu wanazidi kujifanya wema eti mchezaji kavunja sheria na taratibu bado eti mnajidai mnamuingizia mshahara wake ili muonekane wema .

Yote haya ni kujifanya wema ila behind the scene Hersi na Yanga ndo wasababishi wa haya yote na wao wanajua ila mashabiki kazi yao ni kutetea liwe baya au zuri.
Hayo unayosema ni sawa na umbea hayana ushahidi
 
Anaruhusiwa, ila kwa makubaliano/mazungumzo
Hiyo unayoisema wewe kwenye sheria za FIFA "ni mutual agreement" ambayo ipo kwenye "termination of contract with just cause"

Kuna kipengele hapo kingine kinafuatia kipo article ya 17 ya sheria za FIFA kinasema " unilateral termination of contract without just cause"

Ambacho hakihitaji kuwe na hayo mazungumzo/makubaliano ya pande zote mbili.

Ila consequences zake ndio zinazofanya watu wengi waogope kutumia kipengele hicho kwasababu ya ukali wa adhabu.

Adhabu ni faini kulingana na mkataba unavyosema, lakini pia kufungiwa na shirikisho lako la soka kwa kipindi cha muda wa miezi minne. Baada ya hapo upo huru kucheza popote.

Na rekodi za kesi kama hizi zipo mfano kuna mchezaji ambaye alifanya kama alivyofanya Feisali anaitwa Hakan Çalhanoğlu unaweza ukasoma kesi yake CAS.

Sasa inavyosemekana kwenye mkataba wa Feisali kiasi cha faini kilichoandikwa endapo mkataba huo ukavunjwa kiholela, pesa yake ni ndogo ambayo haiendi kuinufufaisha Club.

Hivyo wanaona watampa urahisi sana na Club haitafaidika, ila ingekuwa kiwango cha pesa ya faini ni kikubwa basi kwa Club ingekuwa ni sherehe na hata yeye mwenyewe Feisali asingejaribu kuvunja mkataba.

Na kupitia sakata hili naskia wachezaji wanaosaini mikataba mipya wanawekewa faini za pesa nyingi ili kuwafanya washindwe kuondoka.
 
Mkuu wanaingilia kati kama kwenye mkataba kuna utata kama hio double signing sio kuvunja au kuandika
Double signing ni kosa unafungiwa. Ila kwakuwa kuna kuwa na maslahi ya simba au yanga basi sheria inapindishwa
 
Hiyo unayoisema wewe kwenye sheria za FIFA "ni mutual agreement" ambayo ipo kwenye "termination of contract with just cause"

Kuna kipengele hapo kingine kinafuatia kipo article ya 17 ya sheria za FIFA kinasema " unilateral termination of contract without just cause"

Ambacho hakihitaji kuwe na hayo mazungumzo/makubaliano ya pande zote mbili.

Ila consequences zake ndio zinazofanya watu wengi waogope kutumia kipengele hicho kwasababu ya ukali wa adhabu.

Adhabu ni faini kulingana na mkataba unavyosema, lakini pia kufungiwa na shirikisho lako la soka kwa kipindi cha muda wa miezi minne. Baada ya hapo upo huru kucheza popote.

Na rekodi za kesi kama hizi zipo mfano kuna mchezaji ambaye alifanya kama alivyofanya Feisali anaitwa Hakan Çalhanoğlu unaweza ukasoma kesi yake CAS.

Sasa inavyosemekana kwenye mkataba wa Feisali kiasi cha faini kilichoandikwa endapo mkataba huo ukavunjwa kiholela, pesa yake ni ndogo ambayo haiendi kuinfufaisha Club.

Hivyo wanaona watampa urahisi sana na Club haitafaidika, ila ingekuwa pesa ya faini ni kubwa basi kwa Club ingekuwa ni sherehe na hata yeye mwenyewe Feisali asingejaribu kuvunja mkataba.

Na kupitia sakata hili naskia wachezaji wanaosaini mikataba mipya wanawekewa faini za pesa nyingi ili kuwafanya washindwe kuondoka.
Hapa ndo umemaliza kila kituuu.
 
Hiyo unayoisema wewe kwenye sheria za FIFA "ni mutual agreement" ambayo ipo kwenye "termination of contract with just cause"

Kuna kipengele hapo kingine kinafuatia kipo article ya 17 ya sheria za FIFA kinasema " unilateral termination of contract without just cause"

Ambacho hakihitaji kuwe na hayo mazungumzo/makubaliano ya pande zote mbili.

Ila consequences zake ndio zinazofanya watu wengi waogope kutumia kipengele hicho kwasababu ya ukali wa adhabu.

Adhabu ni faini kulingana na mkataba unavyosema, lakini pia kufungiwa na shirikisho lako la soka kwa kipindi cha muda wa miezi minne. Baada ya hapo upo huru kucheza popote.

Na rekodi za kesi kama hizi zipo mfano kuna mchezaji ambaye alifanya kama alivyofanya Feisali anaitwa Hakan Çalhanoğlu unaweza ukasoma kesi yake CAS.

Sasa inavyosemekana kwenye mkataba wa Feisali kiasi cha faini kilichoandikwa endapo mkataba huo ukavunjwa kiholela, pesa yake ni ndogo ambayo haiendi kuinfufaisha Club.

Hivyo wanaona watampa urahisi sana na Club haitafaidika, ila ingekuwa pesa ya faini ni kubwa basi kwa Club ingekuwa ni sherehe na hata yeye mwenyewe Feisali asingejaribu kuvunja mkataba.

Na kupitia sakata hili naskia wachezaji wanaosaini mikataba mipya wanawekewa faini za pesa nyingi ili kuwafanya washindwe kuondoka.
Wewe jamaa ni mjuaji na haujui Hakan alifanya maridhiano na timu yake ila sababu umejaa ujuaji endelea kukaza shingo
 
Hauwezi kuepuka hilo neno "Arudi" hata akienda huko CAS lazima anatakiwa arudi na mambo hayo matatu 1, kuboreshewa maslahi 2,Kusubiri mkataba uishe 3, na timu inayomtaka ili auzwe.Huo ndiyo utaratibu uliopo dunia nzima.Labda kama atatangaza kustaafu soka, lakini kama hajatangaza kustaafu soka lazima awe chini ya Yanga.Hilo haliepukiki
Si kweli.
Mkataba wake unaruhusu mchezaji kuvunja mkataba.Kilichofanyika ni ubabe tu kukataa kutumika kifungu hicho.Yanga walichemka kuweka kipengele kinachomruhusu kuvunja mkataba kwa kulipa milioni 100 na mishahara mitatu.

Suala la makubaliano ni siasa za mpira tu kwani ukweli upo katika mkataba.
 
Back
Top Bottom