Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Yanga ishu yake ni nn?Ni sawa...hiyo sio issue kwa Yanga....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga ishu yake ni nn?Ni sawa...hiyo sio issue kwa Yanga....
Yanga Issue yao kwa sasa ni Kombe la Shirikisho...Yanga ishu yake ni nn?
Ndo liliwapeleka TFF kushtaki baada ya kupokea barua ya Fei ya kuvunja mkataba?Yanga Issue yao kwa sasa ni Kombe la Shirikisho...
Sasa nikuulize kesi kati ya feisal na yanga iliyokua Tff ni ipiKwani wapi TFF wamesema Fei amevunja Mkataba bila kufuata taratibu!?
Hvi mnaelewa lkn!?
Muhimu mkataba lazima uvunjweTusubiri maamuzi ya CAS maana lazima mmoja ashindwe. Aidha Fei au TFF.
Wewe ni mpuuzi miongoni mwa wapuuzi na inawezekana ndiye mshauri wa uyo boya wenu, unajifanya mjuaji for nothing,,,kwaiyo misheni fei na genge lake ilikuwa ni iyo kwamba usiende kuitumikia klabu na utapewa adhabu utalipa na utakuwa huru sio? Alipolalia fei na wote mnaomsapoti ndipo walipoamkia yanga sawa bwana, iyo misheni waliipanga kipumbavu sana na isingefanikiwa na waliomshauri wote walikuwa amnazo,, walishindwa kusoma mkataba wa feisal hatua kwa hatua wakakurupukia kipengele kimoja tu wakaona wamemaliza kazi,, na tuambie huo mkataba ameuvunja lini na ameuvunja na nani labdaMara nyingine usikurupuke tuu kuanza kuropoka, mchezaji akivunja mkataba bila kufuata taratibu Tff walipaswa wamuadhibu mchezaji kwa kosa alilo fanya, na hapo ndipo palipo na msingi wa kesi
Mashabiki wa yanga mna matatizo gani 🤔🤔
Unanifahamu? mbona ghafla umegeuka kua mjinga!Atarudi zanzibar na ww na mnaotamani hilo litokee mtafanya sherehe maisha yataendea mpaka mauti itakapogonga hodi.
Naomba unipe hicho kifungu nipitieNgoja nikufahamishe kitu, moja ya Sheria za Cas ni kwamba mchezaji halazimishwi kucheza timu asiyo itaka na mchezaji anaweza akavunja mkataba muda wowote iwe kwa halali au isivyo halali, kama akivunja mkataba isivyo halali basi atatakiwa kulipa fidia ya mkataba kulingana walivyo kubaliana katika kipengele cha kuvunja mkataba, na hicho kitu wangeweza kukiamua Tff lakini walishindwa kumchukulia hatua fei Toto kwa sababu zao binafsi wanazo jua wao
Hata mashabiki wanajua ila unajua hii nchi tupo kukomoanaa.Muulize shabiki yoyote wa Yanga. Binafsi unataka nn kutoka kwa Fei?
Jibu ni aache uhuni, afuate taratibu.
Ukishamuuliza tu taratibu zipi? zinaanza danadana za wakae mezani, anaitwa haendi, anatumika, mkataba hauvunjwi kiholela, kroo krooooo kroooo.
Huwezi sikia hata mmoja akitaja gharama za timu kumfikisha hapo ni kiasi hichi alipe aondoke.
Unajua kwanini? Sababu Hersi mpaka sasa inaonekana ishu sio pesa, ishu ni kumnyoosha Fei hivyo hasemi gharama na mashabiki hawawezi kutenganisha nia ya Hersi na nia Ya Yanga.
Astaafu kwa lipii? Akati ndo mda wake wa kutandaza ball safii?? Mumuachee atokee akachezee anakoona kuna mfaa.Anayenyooka anayetapatapa. Astaafu soka tu
Kama kungekua na tuzo kwa ajili ya watu wanao tukana basi mashabiki wa yanga mngeshinda Kila mwaka hiyo tuzo, na ndio maana manara akasema yanga wenye akili ni wawili tuu, Leo nimeamini maneno yakeWewe ni mpuuzi miongoni mwa wapuuzi na inawezekana ndiye mshauri wa uyo boya wenu, unajifanya mjuaji for nothing,,,kwaiyo misheni fei na genge lake ilikuwa ni iyo kwamba usiende kuitumikia klabu na utapewa adhabu utalipa na utakuwa huru sio? Alipolalia fei na wote mnaomsapoti ndipo walipoamkia yanga sawa bwana, iyo misheni waliipanga kipumbavu sana na isingefanikiwa na waliomshauri wote walikuwa amnazo,, walishindwa kusoma mkataba wa feisal hatua kwa hatua wakakurupukia kipengele kimoja tu wakaona wamemaliza kazi,, na tuambie huo mkataba ameuvunja lini na ameuvunja na nani labda
Jenga hoja usiŵe bendera fata upepo unameza kila unachoona mtandaoni bila kufatilia ukweli, watanzania mmekuwa wepesi sana kudandia matukio na kuyapa uzito usiotakiwa, uyo fei toto mnayemtetea kakiri kwa kinywa chake kuwa mkataba wake auna shida na wala hana shida na yanga isipokuwa ana shida na Eng.hersi, sasa mambo binafsi ya watu wawili unayaingizaje kwenye taasisi ya yanga? Nyie mbumbumbu bado mnaendelea kukomaa na ujinga ujinga wenu nendeni mkapambane na tff sasa uko cas tuone mtapata niniKama kungekua na tuzo kwa ajili ya watu wanao tukana basi mashabiki wa yanga mngeshinda Kila mwaka hiyo tuzo, na ndio maana manara akasema yanga wenye akili ni wawili tuu, Leo nimeamini maneno yake
Unatambua lolote kuhusu hoja anatumia Feisari kudai kuvunja mkataba?Ndio mikataba inavunjwaga hivyo?
Sijui watu mnafikiria kwa njia gani sijui.
Fei mwenyewe anasema Hana shida na Yanga ila ana shida na Eng Hersi! Ye aliingia mkataba na Hersi au na Yanga?
Kabla ya kutukana watu mngekua mnafatilia kwanza Yanga walipeleka kesi TFF kuhusu mchezaji kuvunja mkataba bila makubaliano jaribu kuwa muelewaHuna akili yanga walishitaki Ili Tff afanye nn
Kwahiyo unahisi nan anapigania haki za wachezaj ? serikali?Feisal ana mkataba na TFF? niwekee kifungu kinachoipa mamlaka TFF kuvunja mkataba halali kati ya timu na mchezaji
Unajua majukumu ya TFF ?Jamaa Wazee wako hawajapoteza Gharama kukulipia ada