Jasmine Razack: Feitoto amekwisha fungua kesi CAS dhidi ya TFF na sio Yanga!

Jasmine Razack: Feitoto amekwisha fungua kesi CAS dhidi ya TFF na sio Yanga!

Ngoja nikufahamishe kitu, moja ya Sheria za Cas ni kwamba mchezaji halazimishwi kucheza timu asiyo itaka na mchezaji anaweza akavunja mkataba muda wowote iwe kwa halali au isivyo halali, kama akivunja mkataba isivyo halali basi atatakiwa kulipa fidia ya mkataba kulingana walivyo kubaliana katika kipengele cha kuvunja mkataba, na hicho kitu wangeweza kukiamua Tff lakini walishindwa kumchukulia hatua fei Toto kwa sababu zao binafsi wanazo jua wao
Huna akili...

Hakuna hicho kitu unachoita Sheria za CAS...., CAS ni chombo cha utatuzi wa migogoro upande wa Soka.

Sheria na Kanuni za FIFA ndio utoa miongozo,...

Vigezo vya mchezaji kuvunja mkataba vimebainishwa wazi na FIFA, nadhani muhimu viko vitatu tu, ambavyo vinangukia kwa Timu kushindwa kutimiza masharti kwa mchezaji, ndipo mchezaji anaweza kuvunja mkataba..

Mengine ni kwa makubaliano ya pande mbili,...zipo adhabu kwa wanaokiuka Mkataba.

CAS watawashangaza na hoja zenu mfu..
 
Inategemeana na issue yenyewe, kwa huyu dogo ni issue ndogo, Ndiyo maana TFF hawajahangaika kuumiza kichwa, Ni jambo lililo wazi.
ila TFF wana mandate ya kuamua mchezaji acheze timu x baada ya kusaini timu mbili [emoji23][emoji23] rejea kesi ya ngasa, yule dogo wa mbao aliyesaini Simba na yanga
 
Ila wana mamlaka ya kumbakisha iwapo yeye ameiandika barua Yanga ya kuomba kuvunja mkataba.
Unadhani mkataba ni kitu ambacho unaweza amka na kuamua kuvunja tu?


Kusaini mkataba, ni lazima pande zote mbili ziridhiane kwenye maslahi. Na kuuvunja mkataba, lazima pande hizo mbili ziridhiane kwenye maslahi. Mkataba ni kati ya Fei na Yanga, hivyo hata kuuvunja, ni wao pekee ndio wanahusika.

Yanga au Fei, yeyote anayetaka kuuvunja mkataba, lazima awasiliane na mwenzake kwanza. Ikishindikana, ndio watahusishwa wasimamizi wa soka TFF. Alichofanya Fei, badala ya kuwasilisha ombi la kuvunja mkataba kwa Yanga, yeye kalipeleka TFF.

Swali tunalotakiwa kujiuliza, Fei alishawahi kuwaambia Yanga kwa maandishi wavunje mkataba?
 
Lazima sababu za kuvunja mkataba zizingatiwe, Kwa mfano angeongea lolote au kuonyesha dharau na kuwatukana viongozi wa Yanga katika mazungumzo au kuonyesha jeuri katika mazungumzo hayo bila kuzungumza point za msingi, Kwa hiyo club haina namna ya kumbana/kumuwajibisha kisa tu TFF inamlinda? Huo utaratibu haupo!
Yale waliyokaa kwa saa 6 hayatoshi kuwa mazungumzo? Tuache kubishana.

Unaamini Fei ameenda TFF mara mbili na CAS bila kuzungumza kabisa na Yanga wakashindwana? Yaani hajaandika barua, hajakaa na Yanga vuup yupo TFF.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Huna akili yanga walishitaki Ili Tff afanye nn
Mikataba ya wachezaji na Timu husajiliwa huko TFF,

Fei baada ya kukurupuka na kuvunja mkataba na Yanga kinyume na utaratibu, kwa kutumbukiza Ile miliooo mia na 12 kwa account ya Yana na kisha kujulisha Umma kuwa amevunja mkataba..

Yanga wakaona kilichofanya na Fei ni uhuni na sio utaratibu, wakaenda kumshtaki Fei kwa uhuni alioufanya..

TFF ikasikiliza pande zote mbili, na kuona Fei alikosea,, hivyo kuamua kwa mujibu wa ule mkataba Fei bado ni mali ya Yanga....

Na kama anataka kuvunja mkataba arudi Yanga akafuate utaratibu kwa kukutana na waajiri wake ambao ni viongozi wa Yanga wazungumze na kufuata taratibu.

Fei hakurudi Yanga ata pale Yanga walipomuandikia barua kumuita Klabuni, badala yake akaandika Maombi kwa TFF akitaka kuvunja mkataba na Yanga ...

TFF wakasikiliza tena na maamuzi yakabaki vilevile, kuwa bado ni mali ya Yanga....arudi akamalizane na Yanga...

Yanga wakamuita, kwa kumuandikia barua na kumuelekeza taratibu, ama wakazungumze aboreshewe maslahi, au autumikie mkataba wake au kama Kuna Timu inahitaji Huduma yake waende wazungumze auzwee..

Yanga walishtaki TFF kwa msingi huo.... hakufuata taratibu...na kutaka TFF itambue bado ni mali ya Yanga.

Sasa imebaki kwake..
Kaamua kwenda CAS...baina yy na TFF....

Kupanga ni kuchagua....
 
Mikataba ya wachezaji na Timu husajiliwa huko TFF,

Fei baada ya kukurupuka na kuvunja mkataba na Yanga kinyume na utaratibu, kwa kutumbukiza Ile miliooo mia na 12 kwa account ya Yana na kisha kujulisha Umma kuwa amevunja mkataba..

Yanga wakaona kilichofanya na Fei ni uhuni na sio utaratibu, wakaenda kumshtaki Fei kwa uhuni alioufanya..

TFF ikasikiliza pande zote mbili, na kuona Fei alikosea,, hivyo kuamua kwa mujibu wa ule mkataba Fei bado ni mali ya Yanga....

Na kama anataka kuvunja mkataba arudi Yanga akafuate utaratibu kwa kukutana na waajiri wake ambao ni viongozi wa Yanga wazungumze na kufuata taratibu.

Fei hakurudi Yanga ata pale Yanga walipomuandikia barua kumuita Klabuni, badala yake akaandika Maombi kwa TFF akitaka kuvunja mkataba na Yanga ...

TFF wakasikiliza tena na maamuzi yakabaki vilevile, kuwa bado ni mali ya Yanga....arudi akamalizane na Yanga...

Yanga wakamuita, kwa kumuandikia barua na kumuelekeza taratibu, ama wakazungumze aboreshewe maslahi, au autumikie mkataba wake au kama Kuna Timu inahitaji Huduma yake waende wazungumze auzwee..

Yanga walishtaki TFF kwa msingi huo.... hakufuata taratibu...na kutaka TFF itambue bado ni mali ya Yanga.

Sasa imebaki kwake..
Kaamua kwenda CAS...baina yy na TFF....

Kupanga ni kuchagua....
Kitu inachotakiwa ujue ni kua mkataba ukishavunjika ni umevunjika, iwe kimakosa au sio kimakosa.
 
Na hapa ndipo kichaka kilipo. Inaonekana tafsiri ya neno kukaa mezani inatumika kwa janja janja kama jinsi ilivyotumika janja janja ya kusaini miaka 3. Fei anasema wamekaa, Hersi anasema aje wakae.

Tatizo kubwa kabisa lipo hapa,kuna upande mmoja unadhani upo smart zaidi.Asingeongea Feisal jana tusingejua hata kama waliwahi kaa masaa 6. Hersi hata kuliongelea hili la kuwahi kukaa hajawahi.

Hersi anapaint picture Feisal hataki kukaa mezani kitu ambacho si sahihi.Ni mbaya sana kiongozi unapokuwa si mkweli kwenye swala serious kama hili.Interview ya jana imefichua udhaifu mkubwa sana kwenye swala lenyewe na shida kubwa ni huo mtafaruku binafsi walio nao Hersi na Feisal.Hersi anataka aendelee kumweka 'mateka' kijana na kijana amegoma kabisa.Ninavyoona Hersi angeachia wengine wadeal na hili swala lakini kuendelea yeye kutaka kulishughulikia ndiyo anaharibu kabisa na hakuna muafaka utakaopatikana zaidi ya CAS
 
Kitu inachotakiwa ujue ni kua mkataba ukishavunjika ni umevunjika, iwe kimakosa au sio kimakosa.
Kwahiyo kwa Akili zako Mkataba umevunjika!?

Kama umevunjika si atafute Timu acheze basi!?

Take it - Mikataba haivunjiki kihuni!? FIDIA za mikataba kuvunjika gharama zake lazima zilipwe...

Huko ndiko Fei anakoelekea....upande wa wenzake wametimiza masharti kwa [emoji817] asilimia.

Yeye hana sababu ndani ya mkataba wake wa kuuvunja...anachofanya ni uhuni na utovu wa nidhamu...ambavyo Yanga watamchukulia hatua...

Mkataba wake na Yanga bado unapumua...

Ajiandae kupokea mapigo tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tatizo kubwa kabisa lipo hapa,kuna upande mmoja unadhani upo smart zaidi.Asingeongea Feisal jana tusingejua hata kama waliwahi kaa masaa 6. Hersi hata kuliongelea hili la kuwahi kukaa hajawahi.

Hersi anapaint picture Feisal hataki kukaa mezani kitu ambacho si sahihi.Ni mbaya sana kiongozi unapokuwa si mkweli kwenye swala serious kama hili.Interview ya jana imefichua udhaifu mkubwa sana kwenye swala lenyewe na shida kubwa ni huo mtafaruku binafsi walio nao Hersi na Feisal.Hersi anataka aendelee kumweka 'mateka' kijana na kijana amegoma kabisa.Ninavyoona Hersi angeachia wengine wadeal na hili swala lakini kuendelea yeye kutaka kulishughulikia ndiyo anaharibu kabisa na hakuna muafaka utakaopatikana zaidi ya CAS
Upande wa Fei unasema hawajaanzia TFF walianzia Yanga kwa barua na email, Yanga ndo ikakimbilia TFF. Ila mashabiki wanasema Fei akakae na Yanga sio TFF. Wanapuuza hoja kuwa aliyeiingiza TFF kwenye hili jambo ni Yanga sio Fei. Yanga wangeijibu ile barua kuwa fanya A,B,C uwe huru kama hakuna timu inayokuhitaji ila wakakimbilia TFF.

Hawataki kumsikiliza kabisa huyu mtoto, anachofanywa kinageuzwa geuzwa ili kuhalalisha kuua kipaji na kipato chake kwa sababu kaikataa Yanga. Na vile hawezi kujieleza ndo kabisa anakuwa kashika makali.

Imenikumbusha Tanzania ya miaka ya 98-2005, msanii usipolamba viatu vya watu fulani fulani unapotea. Na kesi yako itaonekana wewe ni mjinga tu.
 
Upande wa Fei unasema hawajaanzia TFF walianzia Yanga kwa barua na email, Yanga ndo ikakimbilia TFF. Ila mashabiki wanasema Fei akakae na Yanga sio TFF.

Hawataki kumsikiliza kabisa huyu mtoto, anachofanywa kinageuzwa geuzwa ili kuhalisha kuua kipaji na kipato chake kwa sababu kaikataa Yanga. Na vile hawezi kujieleza ndo kabisa anakuwa kashika makali.

Imenikumbusha Tanzania ya miaka ya 98-2005, msanii usipolamba viatu vya watu fulani fulani unapotea. Na kesi yako itaonekana wewe ni mjinga tu.
TFF baada ya kusikiliza shauri la Yanga na Fei Toto ndio iliyoamua ...kuwa Mkataba wa Yanga na Fei ni halali...

Na walimtaka Fei arudi Yanga Kwa waajiri wake wakazungumze na kufikiana muafaka.
Fei hakwenda badala yake akarudi TFF kufungwa shauri la kuvunja mkataba...

TFF wakasikiliza na kuamua kuwa yy bado ni mali ya Yanga aende Yanga ....hakwenda,
anaenda CAS kumshtaki TFF sio Yanga

Hakuna mahali mashabiki wanamwambia akakae na Yanga badala ya TFF hakuna

Ni maamuzi ya TFF..
 
Na walimtaka Fei arudi Yanga Kwa waajiri wake wakazungumze na kufikiana muafaka.
Fei hakwenda badala yake akarudi TFF kufungwa shauri la kuvunja mkataba...



Ni maamuzi ya TFF..
Hapa ndo kuna mtego. Ni kweli Fei hakwenda Yanga baada ya kuambiwa na TFF?

Au walizungumza masaa 6 akapewa sharti la kurudi amalizie mkataba, kurudi aboreshewe maslahi, timu inayomtaka ije?
 
Kwahiyo kwa Akili zako Mkataba umevunjika!?

Kama umevunjika si atafute Timu acheze basi!?

Take it - Mikataba haivunjiki kihuni!? FIDIA za mikataba kuvunjika gharama zake lazima zilipwe...

Huko ndiko Fei anakoelekea....upande wa wenzake wametimiza masharti kwa [emoji817] asilimia.

Yeye hana sababu ndani ya mkataba wake wa kuuvunja...anachofanya ni uhuni na utovu wa nidhamu...ambavyo Yanga watamchukulia hatua...

Mkataba wake na Yanga bado unapumua...

Ajiandae kupokea mapigo tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna mkataba hapa, TFF na Yanga ndio bado mnaung'ang'ania kwa uhuni, swala likifika CAF jambo litakua mkataba umevunjika tayar na ni nani ana makosa kati ya Feisal na Yanga? Na yupi aadhibiwe.
 
Hapa ndo kuna mtego. Ni kweli Fei hakwenda Yanga baada ya kuambiwa na TFF?

Au walizungumza masaa 6 akapewa sharti la kurudi amalizie mkataba, kurudi aboreshewe maslahi, timu inayomtaka ije?
Hakuna mtego hapo , kama walizungumza Masaa 6 na kupewa masharti hayo ...ndio hivyo hivyo

Imekwishwaa hiyo...

Ukishafungwa na Mkataba, huo ndio utaratibu....uchaguzi ni wake atekeleze au aache aende zake CAS.

Kama Eng. Hers alivyomwambia....

Hakuna njia nyingine, Hakuna[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Upande wa Fei unasema hawajaanzia TFF walianzia Yanga kwa barua na email, Yanga ndo ikakimbilia TFF. Ila mashabiki wanasema Fei akakae na Yanga sio TFF.

Hawataki kumsikiliza kabisa huyu mtoto, anachofanywa kinageuzwa geuzwa ili kuhalisha kuua kipaji na kipato chake kwa sababu kaikataa Yanga. Na vile hawezi kujieleza ndo kabisa anakuwa kashika makali.

Imenikumbusha Tanzania ya miaka ya 98-2005, msanii usipolamba viatu vya watu fulani fulani unapotea. Na kesi yako itaonekana wewe ni mjinga tu.
Katika hili sakata nilichogundua Hersi ana chuki kubwa sana na bwana mdogo na hii itakuwa imeanzia mbali sana.Yale maneno ya "utarudi kwenu Mpemba wewe" akimshutumu kuuza mechi yanakuwa yamebeba chuki kubwa sana ndani yake na ni Feisal peke yake anaeweza kuelewa ndiyo maana yupo tayari kipaji kife kuliko kurudi Yanga Hersi akiwepo. Kinachonishangaza ni ile ujasiri wa kumsimanga kijana na Upemba wake na yeye akasahau kuwa ni Msomali.

Mashabiki wa Yanga wana choangalia ni "Uzuri wa Hersi kupitia uwezeshwaji wa Yanga kupitia fedha za Boss wake GSM" Madhaifu yote ya Hersi katika hili sakata wanambebesha Kijana.Kama mpaka kuna watu walimchangia Feisal ile 100m tena wengine kutoka humo humo Yanga basi ni swala la muda tu kutakuja mgogoro mwingine mkubwa zaidi na hapo ndipo wengi watakuja kuanza kuunganisha dots za malalamiko ya Feisal na kuupata ukweli.Acha tuupe muda nafasi.
 
Katika hili sakata nilichogundua Hersi ana chuki kubwa sana na bwana mdogo na hii itakuwa imeanzia mbali sana.Yale maneno ya "utarudi kwenu Mpemba wewe" akimshutumu kuuza mechi yanakuwa yamebeba chuki kubwa sana ndani yake na ni Feisal peke yake anaeweza kuelewa ndiyo maana yupo tayari kipaji kife kuliko kurudi Yanga Hersi akiwepo. Kinachonishangaza ni ile ujasiri wa kumsimanga kijana na Upemba wake na yeye akasahau kuwa ni Msomali.

Mashabiki wa Yanga wana choangalia ni "Uzuri wa Hersi kupitia uwezeshwaji wa Yanga kupitia fedha za Boss wake GSM" Madhaifu yote ya Hersi katika hili sakata wanambebesha Kijana.Kama mpaka kuna watu walimchangia Feisal ile 100m tena wengine kutoka humo humo Yanga basi ni swala la muda tu kutakuja mgogoro mwingine mkubwa zaidi na hapo ndipo wengi watakuja kuanza kuunganisha dots za malalamiko ya Feisal na kuupata ukweli.Acha tuupe muda nafasi.
Ni kusubiri.
 
TFF wapuuzi wamemnyima Fei haki yake kwa kuibeba utopolo, sasa wacha waubebe mzigo wa ujinga wao.
Feisal anasukuma kete zake vizuri sana.Nadhani sasa waliokuwa wanawadharau washauri wake kisheria wataanza kuona kete zinavyosukumwa huko CAS.Natumaini Mgongolwa ataenda kuokoa Jahazi la TFF
 
Hakuna mkataba hapa, TFF na Yanga ndio bado mnaung'ang'ania kwa uhuni, swala likifika CAF jambo litakua mkataba umevunjika tayar na ni nani ana makosa kati ya Feisal na Yanga? Na yupi aadhibiwe.
Sio TFF na Yanga wanaung'ang'ania...ni Sheria za Mikataba zinaelekeza hivyo...

Hata CAS hawavunji mikataba....wanaangalia TARATIBU, Kanuni zinaelekeza nini...
 
Sio TFF na Yanga wanaung'ang'ania...ni Sheria za Mikataba zinaelekeza hivyo...

Hata CAS hawavunji mikataba....wanaangalia TARATIBU, Kanuni zinaelekeza nini...
Kwenu haina maana kuwa nani atauvunja mkataba sababu Mpaka sasa According to Fei, Kuna option tatu tu.

1. MUMKOSE FEI KWA KUPOKEA PESA YAKE.
2. MUMKOSE FEI KWA KULAZIMISHWA NA CAS.
3. MUMKOSE FEI KWA YEYE KURUDI MTAANI.

SUALA LA KUMKOSA HALIEPUKIKI LABDA ABADILI MSIMAMO.
 
Back
Top Bottom