Jasmine Razack: Feitoto amekwisha fungua kesi CAS dhidi ya TFF na sio Yanga!

Jasmine Razack: Feitoto amekwisha fungua kesi CAS dhidi ya TFF na sio Yanga!

Nimeisoma mkuu. Sasa in relation na issue ya Fei, kuna mambo kadhaa inafaa kujiuliza

1. Why Fei alienda TFF badala ya CAS?. Let's say alikuwa anafatisha chain of command, hapa linaibuka swali la pili,

2. Why mashtaka yake cas yamekuwa against TFF na sio Yanga?
 
Acha janja bhanaa wee download na usome, afu urudi hapa kuchangia tenaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amenitumia tena kwa format ya image, nimeisoma na kuijibu.
 
Nimeisoma mkuu. Sasa in relation na issue ya Fei, kuna mambo kadhaa inafaa kujiuliza

1. Why Fei alienda TFF badala ya CAS?. Let's say alikuwa anafatisha chain of command, hapa linaibuka swali la pili,

2. Why mashtaka yake cas yamekuwa against TFF na sio Yanga?
cocastic
 
Nimeisoma mkuu. Sasa in relation na issue ya Fei, kuna mambo kadhaa inafaa kujiuliza

1. Why Fei alienda TFF badala ya CAS?. Let's say alikuwa anafatisha chain of command, hapa linaibuka swali la pili,

2. Why mashtaka yake cas yamekuwa against TFF na sio Yanga?
Mkuu kwanza unatakiwa ujue sio kila kesi inaanzia directly CAS

Ebu fikiria CAS ndio mahakama kuu ya kimichezo kwa kila Club hapa duniani, kila migogoro inayotokea kwenye Clubs ikiwa inaenda CAS unafikiri wataweza kumudu hiyo jam?

Na ndio maana wakaweka gharama kubwa za kufungua kesi ili kupunguza jam isiyo na lazima.

Na kuweka utaratibu wa mambo mengine yatafutiwe ufumbuzi kupitia shirikisho la soka la ndani ya nchi husika ulipotolea mgogoro.

Hivyo CAS iwe ni kwa ajili ya CAS sensitive au sehemu ya rufaa ya mwisho (maana hata kwenye shirikisho pia kuna rufaa)

Lakini pia kwenye ishu ya Hakan, sio Hakan ndiye aliyeenda kufungua kesi CAS. Ni Club yake ya Trabzonspor FC ndio iliyomshtaki.

Sasa ukisema tuje kwenye hoja hako hapo utaona yale malalamiko ya Yanga waliyopeleka TFF kumtuhumu Feisali kuvunja mkataba bila kufuata taratibu, ndio waliyopaswa kuyapeleka CAS kumshitaki Feisali.

Ila kwakua wao wameridhika na hukumu iliyotolewa kupitia kamati ya nidhamu ya TFF basi wao hawana interest ya kuendelea zaidi na hii case kwasababu wamepata kile wanachokitaka.

So kwakua Feisali hajaridhishwa na yale maamuzi ndio ya ile kamati ameamua aende CAS kukata rufaa kupinga ile hukumu ili apate haki yake anayodhani amenyimwa.
 
Si kweli.
Mkataba wake unaruhusu mchezaji kuvunja mkataba.Kilichofanyika ni ubabe tu kukataa kutumika kifungu hicho.Yanga walichemka kuweka kipengele kinachomruhusu kuvunja mkataba kwa kulipa milioni 100 na mishahara mitatu.

Suala la makubaliano ni siasa za mpira tu kwani ukweli upo katika mkataba.
Umesema ukweli kabisa. Swala La kuvunja mkataba wa Feitoo halina tofauti na Neymar alivyo toka barcelona kwenda PSG
 
Lakini pia kwenye ishu ya Hakan, sio Hakan ndiye aliyeenda kufungua kesi CAS. Ni Club yake ya Trabzonspor FC ndio iliyomshtaki.

Sasa ukisema tuje kwenye hoja hako hapo utaona yale malalamiko ya Yanga waliyopeleka TFF kumtuhumu Feisali kuvunja mkataba bila kufuata taratibu, ndio waliyopaswa kuyapeleka CAS kumshitaki Feisali.

Ila kwakua wao wameridhika na hukumu iliyotolewa kupitia kamati ya nidhamu ya TFF basi wao hawana interest ya kuendelea zaidi na hii case kwasababu wamepata kile wanachokitaka.

So kwakua Feisali hajaridhishwa na yale maamuzi ndio ya ile kamati ameamua aende CAS kukata rufaa kupinga ile hukumu ili apate haki yake anayodhani amenyimwa.
Case ya huyo mturuki na huyu Mzenji zinaendana lakini zinatofauti kubwa moja. Huyo mturuki alivunja mkataba na kwenda kusajili kwingine. Huyu Mzenji hajavunja mkataba, ila ni kama vile alikuwa anapima upepo au kina Cha maji tu.

Na ndio maana unaona hayupo kwenye timu yoyote mpaka sasa. Na hata Yanga, wasingeweza kwenda CAS kwa issue ya utovu wa nidhamu, wakaenda TFF.

Fei hayupo serious na hajui anachokifanya. Ukitaka kuamini ilo, angalia mwendo wa swala lake kutokea upande wake. Weka ushabiki pembeni, alaf tuliangalie kwa utashi usio na maslahi ya utani wa jadi.

1. Sakata lilipoanza, alisema ameondoka kwa amani baada ya kutimiza masharti ya kimkataba (namna ya kuuvunja)

2. Yanga walipogoma na kurudisha hela aliyodeposit, Fei akaanza kusema kilichomuondoa Yanga ni maslahi maana analipwa kidogo sana tofauti na uwezo wake.

3. Baadae akaja na kusema hana tena mapenzi na Yanga, na hayupo tayari kucheza Yanga hata iweje, wamuache aondoke.

4. Akarudi na kubadili kauli, Hersi akiondoka tu, yeye yupo tayari kurudi kucheza Yanga. Maana kikwazo kwake ni Hersi

5. Hapo hapo akasema, yeye hajui kusoma Kiingereza. Walikubaliana miaka 2, ila Yanga wakasainisha 3.

6. Mara Yanga walikuwa wanamlaumu anafungisha timu.

Sasa hebu jaribu kuangalia hizo sababu zote hapo juu, hasa hiyo 5 na 6. Hiyo namba 6, hata kama wewe ni shabiki wa Simba, katika ile unbeaten 49, nani alikuwa on form sana kwenye dimba kuliko Fei?. Takribani miaka miwili hatujapoteza mechi, sasa yeye alikuwa anafungisha mechi zipi

Na hiyo hoja namba 5, kwa mtu yeyote makini hiyo ndio hoja ya kumuona Fei ni muongo. Wakati yeye na jopo lake wanaupitia mkataba wake kuangalia weakness, ilo hawakuliona? Mbona kwenye vikao vyote na TFF halikuwahi kuongelewa hata mara moja wakati ni hoja muhimu sana?

Na hata huko cas alipoenda, imekuwa rahisi yeye kuishitaki TFF maana hana hoja ya msingi kuhusu Yanga. And am sure hata huko ataangukia pua tu.

Broh taarifa yenye versions tofauti tofauti, huo uongo. Taarifa ya ukweli huwa inajisimamia. Dogo yupo under influence, na angekuwa na akili, basi wangeenda direct, officially kuongea na Yanga. Kule najua solution ingepatikana. Hata kama kweli hakuna timu inamtaka, angeweza kununua mkataba wake mwenyewe kwa dau watakalo kubaliana.

Ila hii kwenda CAS ni kupoteza hela na muda. Kina Sureboy,Morris na Mudathir waligoma huko Azam, wakasimamishwa. Lakini hakuna choko choko walizoleta, tofauti na huyu Fei.

Kitu cha mwisho ambacho naomba ujiulize. Hivi kwanini sakata lake huwa analiibua kila Yanga inapokuwa inakabiliwa na mechi muhimu? Against Azam, Simba, Monstir, USMA?
 
TFF wametimiza jukumu lao la kumrudisha kwenda kuzungumza na Yanga. Pia Yanga wametimiza jukumu lao kumuita kwa ajili ya mazungumzo, Maana mkataba huvunjwa kwa makubaliano ya pande mbili.Swala linabaki kwa mchezaji kuweka jeuri, asipokuwa makini huko CAS anaweza kuhukumiwa adhabu kubwa zaidi.

Acha kumeza mkuu, unaelewaje wanaposema makubaliano ya pande sote mbili?

Mkataba upo wazi, tunaweza zungumza kuhusu kuvunja, tusipoelewana kile kilichopo kwenye mkataba kinatekelezwa.

Fei ameshaamua haihitaji mjadala zaidi, anaamua kadiri nafasi ya mkataba.

Sio lazima kuvunja mkataba kwa maongezi, bali kile mlichokuwa mmeshasaini.

Tuache stori za kuongeaongea kama mnachumbiana[emoji1][emoji1]
 
1. Yanga ndo walienda wakaambiwa huyo ni mchezaji wenu na Fei akaambiwa kaa na mwajiri wako ww ni mchezaji wao.

2. Wakakaa masaa 6 ikishindikana Fei akarudi TFF kuomba taratibu za kuvunja mkataba TFF wakamwambia nenda Yanga,

3. Fei akakata rufaa TFF wakamwambia hili suala tumemaliza nenda Yanga.

Fei akaenda CAS.

Umeiweka vema sana. TFF walipaswa kutoa maelekezo ya tafsiri ya mkataba maana tayar Fei alishashindwana na Yanga.

Wao wanamlazimisha arudi.
 
Baada ya hukumu pale CAS tutafanya maandamano hadi kibanda maiti kuipongeza CAS. [emoji3][emoji3]
 
Umeiweka vema sana. TFF walipaswa kutoa maelekezo ya tafsiri ya mkataba maana tayar Fei alishashindwana na Yanga.

Wao wanamlazimisha arudi.
Mikataba ya huko ktk Soka mchezaji ni mali ya Klabu ...
Huwezi kuondoka kienyeji kwa watu wanaokugharamikia, Mpira ni Uwekezaji na Biashara ckuiz.

Yanga Ina uwezo wa kumuuza , kumtoa kwa mkopo, kumboreshea maslahi, au kumwacha autumikie mkataba wake the aondeke huru...( Free Agent)

Ndio maana inasisitizwa makubaliano ya Pande mbili, hakuna pande Moja ktk Mkataba wa mchezaji na Timu...ndio maana TFF au CAS wanaingia ktk usuhulishaji...

TFF wako sahihi....

Fei na wawakilishi wake wanashupaza Shingo kwa TFF tu,

Hivyo naona wakipasuka, soon[emoji16][emoji1787]
 
Case ya huyo mturuki na huyu Mzenji zinaendana lakini zinatofauti kubwa moja. Huyo mturuki alivunja mkataba na kwenda kusajili kwingine. Huyu Mzenji hajavunja mkataba, ila ni kama vile alikuwa anapima upepo au kina Cha maji tu.

Na ndio maana unaona hayupo kwenye timu yoyote mpaka sasa. Na hata Yanga, wasingeweza kwenda CAS kwa issue ya utovu wa nidhamu, wakaenda TFF.

Fei hayupo serious na hajui anachokifanya. Ukitaka kuamini ilo, angalia mwendo wa swala lake kutokea upande wake. Weka ushabiki pembeni, alaf tuliangalie kwa utashi usio na maslahi ya utani wa jadi.

1. Sakata lilipoanza, alisema ameondoka kwa amani baada ya kutimiza masharti ya kimkataba (namna ya kuuvunja)

2. Yanga walipogoma na kurudisha hela aliyodeposit, Fei akaanza kusema kilichomuondoa Yanga ni maslahi maana analipwa kidogo sana tofauti na uwezo wake.

3. Baadae akaja na kusema hana tena mapenzi na Yanga, na hayupo tayari kucheza Yanga hata iweje, wamuache aondoke.

4. Akarudi na kubadili kauli, Hersi akiondoka tu, yeye yupo tayari kurudi kucheza Yanga. Maana kikwazo kwake ni Hersi

5. Hapo hapo akasema, yeye hajui kusoma Kiingereza. Walikubaliana miaka 2, ila Yanga wakasainisha 3.

6. Mara Yanga walikuwa wanamlaumu anafungisha timu.

Sasa hebu jaribu kuangalia hizo sababu zote hapo juu, hasa hiyo 5 na 6. Hiyo namba 6, hata kama wewe ni shabiki wa Simba, katika ile unbeaten 49, nani alikuwa on form sana kwenye dimba kuliko Fei?. Takribani miaka miwili hatujapoteza mechi, sasa yeye alikuwa anafungisha mechi zipi

Na hiyo hoja namba 5, kwa mtu yeyote makini hiyo ndio hoja ya kumuona Fei ni muongo. Wakati yeye na jopo lake wanaupitia mkataba wake kuangalia weakness, ilo hawakuliona? Mbona kwenye vikao vyote na TFF halikuwahi kuongelewa hata mara moja wakati ni hoja muhimu sana?

Na hata huko cas alipoenda, imekuwa rahisi yeye kuishitaki TFF maana hana hoja ya msingi kuhusu Yanga. And am sure hata huko ataangukia pua tu.

Broh taarifa yenye versions tofauti tofauti, huo uongo. Taarifa ya ukweli huwa inajisimamia. Dogo yupo under influence, na angekuwa na akili, basi wangeenda direct, officially kuongea na Yanga. Kule najua solution ingepatikana. Hata kama kweli hakuna timu inamtaka, angeweza kununua mkataba wake mwenyewe kwa dau watakalo kubaliana.

Ila hii kwenda CAS ni kupoteza hela na muda. Kina Sureboy,Morris na Mudathir waligoma huko Azam, wakasimamishwa. Lakini hakuna choko choko walizoleta, tofauti na huyu Fei.

Kitu cha mwisho ambacho naomba ujiulize. Hivi kwanini sakata lake huwa analiibua kila Yanga inapokuwa inakabiliwa na mechi muhimu? Against Azam, Simba, Monstir, USMA?
Hata kama asingeenda kusajili sehemu yeyote kinachoangaliwa ni kuvunja mkataba

Kuna kipengele kimoja kinaelezea kuwa "jaribio lolote la kuvunja mkataba iwe kwasababu au bila sababu, mchezaji hana obligation ya kuendelea kuwa muajiriwa wa hiyo Club"

Kwa hiyo hapo kilichoangaliwa ni kitendo cha kuvunja mkataba sio kusaini mkataba na timu nyingine.

Lakini pia nataka nikukumbushe tu kuwa mchezaji anaweza akavunja mkataba na kuwa free bila kusaini na Club yoyote hii inaitwa "kununua mkataba wako"

Halafu pia sio kweli kuwa Hakan hana timu mpaka sasa, juzi tarehe 27 alikuwa uwanjani dhidi ya Atlanta.

Kuhusu madai ya Feisali

Feisali alisema amevunja mkataba kulingana na vipengele vya mkataba viliavyoandikwa.

Vipengele vilisema ili mkataba uvunjwe unatakiwa kurudisha signing fee ambayo mi 100M plus mshahara wa miezi mitatu ambayo ni 12M

Hayo ndio yaliokuwa masharti kwenye mkataba wake yanayomtaka atimize ili mkataba uvunjwe

Na hata Yanga nao wanakiri kuwa ni kweli vifungu hivi vipo ila wao wanadai havikupaswa vichukuliwe peke yake bila kuangalia na vitu vingine.

Kwa hiyo hapa hata mkataba nao una dosari

Lakini pamoja na hiyo tukirudi kwenye ile sheria ya FIFA inayosema "jaribio lolote la kuvunja mkataba iwe kwasababu au bila sababu mchezaji hana obligation ya kuendelea kuwa mwajiriwa wa Club hiyo"

Maamuzi ya kusema Feisali bado ni mchezaji wa Yanga hayakufuata misingi na kanuni za FIFA
 
Hata kama asingeenda kusajili sehemu yeyote kinachoangaliwa ni kuvunja mkataba

Kuna kipengele kimoja kinaelezea kuwa "jaribio lolote la kuvunja mkataba iwe kwasababu au bila sababu, mchezaji hana obligation ya kuendelea kuwa muajiriwa wa hiyo Club"

Kwa hiyo hapo kilichoangaliwa ni kitendo cha kuvunja mkataba sio kusaini mkataba na timu nyingine.

Lakini pia nataka nikukumbushe tu kuwa mchezaji anaweza akavunja mkataba na kuwa free bila kusaini na Club yoyote hii inaitwa "kununua mkataba wako"

Halafu pia sio kweli kuwa Hakan hana timu mpaka sasa, juzi tarehe 27 alikuwa uwanjani dhidi ya Atlanta.

Kuhusu madai ya Feisali

Feisali alisema amevunja mkataba kulingana na vipengele vya mkataba viliavyoandikwa.

Vipengele vilisema ili mkataba uvunjwe unatakiwa kurudisha signing fee ambayo mi 100M plus mshahara wa miezi mitatu ambayo ni 12M

Hayo ndio yaliokuwa masharti kwenye mkataba wake yanayomtaka atimize ili mkataba uvunjwe

Na hata Yanga nao wanakiri kuwa ni kweli vifungu hivi vipo ila wao wanadai havikupaswa vichukuliwe peke yake bila kuangalia na vitu vingine.

Kwa hiyo hapa hata mkataba nao una dosari

Lakini pamoja na hiyo tukirudi kwenye ile sheria ya FIFA inayosema "jaribio lolote la kuvunja mkataba iwe kwasababu au bila sababu mchezaji hana obligation ya kuendelea kuwa mwajiriwa wa Club hiyo"

Maamuzi ya kusema Feisali bado ni mchezaji wa Yanga hayakufuata misingi na kanuni za FIFA
We unatakaje sasa!?
 
Lakini pia nataka nikukumbushe tu kuwa mchezaji anaweza akavunja mkataba na kuwa free bila kusaini na Club yoyote hii inaitwa "kununua mkataba wako"
Sasa kinachomzuia Fei kununua mkataba wake ni kipi?. Kama hana timu inayomtaka, basi walau aununue yeye, then awe free agent.

Hebu jaribu kureverse situation, what if Yanga ndio wangeamua kuwa hawataki kuendelea na Fei, nini kingefanyika kutimiza ili jambo?


Halafu pia sio kweli kuwa Hakan hana timu mpaka sasa, juzi tarehe 27 alikuwa uwanjani dhidi ya Atlanta.
Hapa mtani nadhan umeniquote vibaya, maana hakuna sehemu niliyosema jamaa hana timu

Kuhusu madai ya Feisali

Feisali alisema amevunja mkataba kulingana na vipengele vya mkataba viliavyoandikwa.

Vipengele vilisema ili mkataba uvunjwe unatakiwa kurudisha signing fee ambayo mi 100M plus mshahara wa miezi mitatu ambayo ni 12M

Hayo ndio yaliokuwa masharti kwenye mkataba wake yanayomtaka atimize ili mkataba uvunjwe
Kama hayo ndio yalikuwa matakwa ya kuvunja mkataba, huoni kama Fei angekuwa na nguvu sana kwenye hii kesi? I mean wala asingekuwa anabadili ajenda kila kukicha.

Refer kesi ya Morison na Yanga. Ni kweli Morrison alikosea, lakini yale makaratasi waliyoandikishiana mikataba ya awali yalikuwa yana mfavor yeye. Na ndio maana hata yeye na washirika wake Simba, walikuwa so confident, hadi kufikia hatua ya kumtambulisha kama mchezaji wao.

Yanga waliposhindwa mbele ya TFF, wakapeleka kesi CAS kutafuta suluhu kule. Ila huyu dogo, kachemka mbele ya TFF, then anaenda cas kuishitaki TFF, na sio Yanga tena ambae ndio primary target yake, why?

Kama Yanga wanamshikiria kimakosa, na yupo so confident kuuvunja ule mkataba. Hizi kauli za akiondoka Hersi, yeye yupo tayari kurudi Yanga zinatoka wapi?. Hivi unapataga logic kwenye malalamiko ya Fei?


Na hata Yanga nao wanakiri kuwa ni kweli vifungu hivi vipo ila wao wanadaihavikupaswa vichukuliwe peke yake bila kuangalia na vitu vingine.
Kama Yanga wamesema hivyo, huoni kama kuna mantiki? Maana wao pia wanaujua huo mkataba? Je, umefanikiwa kuvijua hivyo vitu vingine vinavyopaswa kuangaliwa?


Kwa hiyo hapa hata mkataba nao una dosari
Lengo ni yeye kuondoka Yanga, kama mkataba una dosari, why hao mawakili zake wasitumie hizo dosari kukamilisha takwa la mteja wao, ili aondoke Yanga?

Kazi za mawakili ni kuangalia mianya ya kuwafanya washinde kesi, why hizo dosari hawazitumii?

Juzi aliongea key point, kuwa walikubaliana mkataba wa miaka miwili, wao wakaweka mitatu. Hata kama hajui kusoma, inamaana pia asingeweza kuhesabu kuwa miwili sasa imeisha, huu watatu unatoka wapi? Au Yanga waliplan kumshikia bakora ili acheze huo mwaka watatu?. Plz tumia logic kwenye ili.

Na je, kulikuwa na haja gani kwenda CAS kuishitaki TFF badala ya Yanga? Why wasingeambatanisha nakala ya hukumu ya TFF as reference, huku wakiendelea kuishitaki Yanga, na kuweka mkazo kwenye Nia yao ya kuvunja mkataba?


Lakini pamoja na hiyo tukirudi kwenye ile sheria ya FIFA inayosema "jaribio lolote la kuvunja mkataba iwe kwasababu au bila sababu mchezaji hana obligation ya kuendelea kuwa mwajiriwa wa Club hiyo"
Sawa, mchezaji hatokuwa tena obliged kuendelea kuchezea hiyo timu, ila je, anaondokaje?


Maamuzi ya kusema Feisali bado ni mchezaji wa Yanga hayakufuata misingi na kanuni za FIFA
Hapa sasa ndio nakuona Fei na jopo lake wote ni wahuni. Why huko cas wasingeambatanisha nakala ya hii hukumu, huku wakiendelea kuishitaki Yanga?. Why wamesema hawajapeleka malalamiko yoyote dhidi ya Yanga?

Swali la nyongeza: Fei hataki kuendelea kuchezea Yanga, au hataki Hersi na GSM waendelee kuwa Yanga?. Tokea ili saga limeanza, maelezo yake yana make sense kwako?
 
Ndio mikataba inavunjwaga hivyo?

Sijui watu mnafikiria kwa njia gani sijui.

Fei mwenyewe anasema Hana shida na Yanga ila ana shida na Eng Hersi! Ye aliingia mkataba na Hersi au na Yanga?
Anapokuwa na matatizo na Rais wa taasisi fulani tayari mazingira ya kazi yameharibika kwasababu hakuna namna unaweza kuukwepa mkono wa Rais ndani ya club hiyo zaidi ya kuhama.

Hoja ya kusema kuwa Feisal hakuingia mkataba na Hersi (aliingia na yanga) na kwamba anatakiwa aendelee kubaki Yanga ni ya kipumbavu, kwakua hakuna namna unaweza kuitenga Hersi na Yanga Sc?
 
Back
Top Bottom