Komasava ya diamond inazidi kumpa mashavu zaidi baada tu ya chriss brown kuucheza wimbo wake na kuwa gumzo duniani kutokana na ukubwa wa breezy. Jason derulo amekubali kufanya wimbo na diamond kwenye kipindi hiki ambacho ngoma yake ya kovasava ikishika chart kila kona.
Ukiachana na Derulo msanii mwingine ambaye ni rapa mkali wa marekani swalee ameomba kuweka verse kwenye wimbo huo wa komasava.Wimbo huu umekuwa mkubwa ukiwa hauna video yake.
Faida ya kuwekeza kwenye mziki unamlipa sana
Ukiachana na Derulo msanii mwingine ambaye ni rapa mkali wa marekani swalee ameomba kuweka verse kwenye wimbo huo wa komasava.Wimbo huu umekuwa mkubwa ukiwa hauna video yake.
Faida ya kuwekeza kwenye mziki unamlipa sana