Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

Najua kuna waliovaa uhusika wa Simbi namuona kabisa Charrote
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe si mimi tu ninayepata tabu!
Ameshaweka mama amesema nyingine kesho et kimoja kinatosha inabidi uridhike tu hamna namna
 

Nitaanzia hapa baadae.
Samahani kwa kutotoa mrejesho, lakini nikitulia nitakuja kuelezea mtazamo wangu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Saana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani huyu jamaa akitoa riwaya anacheleweshaga inayofuata kama hivi? Manaake mi naona kama anafanya makusudi si kwa kutukalisha muda wote huu afu anatoa moja tu.
Mkuu pengine jamaa mambo mengi hivyo akipata chansi ndo tunapata kama hiki cha jogoo
 
Mkuu pengine jamaa mambo mengi hivyo akipata chansi ndo tunapata kama hiki cha jogoo
Aise ni nouma sana, mi naona bora hata jogoo anamuridhisha jike kuliko hii ya kuchungulia tu na kupotea.
Labda kweli mambo mengi, lakini kiukweli anatukata stimu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…