mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Basi naomba uwe mshauri wangu kuhusu haya maswalaSasa nikisemaga kitu natukanwa kama nini yaani humu sidhaminiwi .
Napia jingine sikuwa najua nilijua mwaka jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi naomba uwe mshauri wangu kuhusu haya maswalaSasa nikisemaga kitu natukanwa kama nini yaani humu sidhaminiwi .
Napia jingine sikuwa najua nilijua mwaka jana
Mwezi wa 11 nitajitahidiBasi naomba uwe mshauri wangu kuhusu haya maswala
HahahahahaJasusi anaenda kuchapiwa rasmi.
Hapa umeniacha mwezi wa11. Umekujaje😅 au ndio mwezi wa kuanza kaziMwezi wa 11 nitajitahidi
Duh ....anawapanga tuMkuu unachosema ni kweli na nimegundua Wanawake sasa hivi wanakuwa na backup kabisa. Akiona huku hakueleweki anahamia kule na bado ataendelea kutafuta backup nyingine tena.
Nilijua huu uhusiano mwezi wa 11 alipomtajaHapa umeniacha mwezi wa11. Umekujaje😅 au ndio mwezi wa kuanza kazi
Ila huyuNilijua huu uhusiano mwezi wa 11 alipomtaja
Eti??Ila huyu
Mara nyingi mtu anayekuwa public huwa anakuwa na mtu anayemvulia chupi.Madhara ya kuwa public haya dadeq wallah!!
Wadau wanajua aliyekukaza na anayekukaza kwa sasa 😆
Famchezo nini!!
JF mmemaliza mwaka na mambo myapendayo...
chizi hapa umenifurahisha,baadhi ya wanaume wa sasa wanatabia zakike kupitilizaUnachofanya ni kituko, kitu cha ajabu. Yaani unaanzaje kuja zungumzia mahusiano ya mwanaume na mwanamke? Huu ni umbea, uzandiki, ukuda, ushaku naku na ukosefu wa maadili. Si jambo la kawaida. Wanaume hatufanyi hivi. Umejishusha sana na kuchukua role ya wanawake wa uswahili wasio na kazi. Unataka upate ujiko kupitia mahusiano ya watu? We ni chawa wa jamaa? Huyo dada si anaweza kukusuta?
Dogo amechemsha sana. Anawezaje anzishia uzi mahusiano ya watu? Tena yeye kijana wa kiume? Nimesikitika sana. Haya mambo huwa nakemea sana hata mtu kuja kuzungumzia mahusiano ya msanii... Ni aibu kwa mwanaume kuzungumzia mahusiano ya watu wengine. Ni aibu kubwa sana.chizi hapa umenifurahisha,baadhi ya wanaume wa sasa wanatabia zakike kupitiliza
Hii komenti mkuu!Mimi bora mdada aniaxhe mwenyewe hasa anayenipenda. Siwezi kumuacha mtu anayenipenda. Nitajilaumu sana
HahahahaMara nyingi mtu anayekuwa public huwa anakuwa na mtu anayemvulia chupi.
Ila wanaojifanya watu wa Privacy wanawapanga hata watano hamjuwani na kila mmoja ana jukumu lake, kuna wa kulipa Kodi, kuna wa Salon, kuna wa kumkuna vizuri na kuna ATM yake chuma ulete.
Huyu binti anaonekana yuko really.
SupportedThis is too low Robert!unamengi yakuandika kuliko kushadadia Kuachana Kwa wapendanao,halafu unajifanya watibeli tunapreach love ndio love Gani hii?halafu kuna kijamaa kingine nacho nimeona kimefurahia sana hii habari acheni mambo yenu bhanaa
SupportedJAMAA NIMEMSHANGAA SANA! AU NIFA ALIWAHI KUMNYIMA??
NI AIBU KWA MWANAUME KUJADILI UHUSIANO WA MTU MWINGINE, KIBAYA ZAIDI NI KAMA ANAONESHA KUFURAHISHWA KUACHANA KWAO.
WHAT IF KESHO WAKIRUDIANA, ATATUAMBIA NINI HAPA!?
#WANAUME TUMEBAKI WACHACHE SANA.